Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,738
- 12,428
wakuu habari za asubuhi, bado nasubiria msaada jamani
kupata kazi humu dada kwakweli ni ngumu sana, wengi wataishia kukutongoza tu, vp umejaribu ktk site nyingine za ajira
wakuu habari za asubuhi, bado nasubiria msaada jamani
kupata kazi humu dada kwakweli ni ngumu sana, wengi wataishia kukutongoza tu, vp umejaribu ktk site nyingine za ajira
Nilikuuliza kuwa uzoefu wa sales and promotion umeupata wapi au branding pia ambao umesema unao umeupata wapi. Suala la mwisho nilikuuliza unaishi wapi kwa sasa
Sawa nimekupata vizuri, oky sawa ninampango wa kuanzisha ofisi muda mfupi ujao itahusika na mambo mengi iliyopo inahusika na credit and finance. Sasa lengo ninataka kuongeza biashara ya bima na debt collection ninadhani utanifaa ofisi itakuwa wilaya ya temeke unaweza tuma application ili niwe na request yako pia unaweza tuma email ya request kwenda kaeinvestment@gmail.com adress kwa Chief Executive Officer, KAE INVESTMENT LIMITED P o box 23782 Dar Es Salaam-Tanzania. All application zipitie email. Thanks you are warmly welcome
Wakuu bado nasubiria msaada kutoka kwenu
dada jaribu kuapply kazi za almashauri wiki hii zimetoka nyingi,mfano arusha,kwimba au mwanza walikuwa wanataka mtu mwenye certificate,PIA jitahidi kuongeza eiimu kama utapata kazi,jiunge na open university Ada zao Ni ndogo sana
Postal Clerk III (x 20 ) Job in Dar Es Salaam, Tanzania Nafasi 20. Changamka dada yangu
Kazi gani hizo Mkuu na zimetangazwa wapi, naomba unisaidie kuniwekea link yake mkuu
HV kwa walioomba hiz position mlipata? naomba mrejesho kwa waliopata mm niliomba ila till now zzzzz
kama kazi posta uliomba,ngoja nikuulizie kwa jamaa yangu yupo pale anafanya kazi
nisamehe Mkuu kama nimekukwaza kwa comment hiyo
yeye alipata?
ungekua mwenyeji wa arusha loh tungefanya kitu.
ni kweli usitaje makabila ya wstu,chizi mmoja akikuzingua.Acha kashifa... Usi generalize kila kitu. Kama muhaya ndo ana kazi na amekuona unafaa unadhani atakuchukua akisoma comment hii?..... Mambo mengine tunajiharibia hvi hvi.
hapana,yeye ana siku nyingi sana kazini,nataka kumuuliza kama anaweza kukuunganishia