LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,468
- 812
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kutokea upepo mkali pamoja na mawimbi makubwa baharini katika maeneo yote ya Pwani kuanzia kesho na kesho kutwa.
hao nao sijui huwa wanaoteshwa!? Mara nyingi wamekuwa waongo sana.