amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,275
ha ha ha mie nimependa stanbink tu ha ha ha ha ha ha lazima uondoke na kampuni.
On a serious note yule mbaba alikuwa anataka nikae ofisi moja nae ujue ha ha ha ha ha ha sababu siwezi kukupa i know you can figure out ila siriazi loan officer kuna transport tips,vocha achana na zile za wamama kukupa shukrani inshort mwezi mzima unauendesha bila kuguza zako.
ila kwa kampuni kama finca ni headache huoni kila leo wanaajiri loan officers,kila leo wanacha kazi wanaachishwa
On a serious note yule mbaba alikuwa anataka nikae ofisi moja nae ujue ha ha ha ha ha ha sababu siwezi kukupa i know you can figure out ila siriazi loan officer kuna transport tips,vocha achana na zile za wamama kukupa shukrani inshort mwezi mzima unauendesha bila kuguza zako.
ila kwa kampuni kama finca ni headache huoni kila leo wanaajiri loan officers,kila leo wanacha kazi wanaachishwa
Hahahaaaaaaaa! Hio Loan Office nzuri saaana! Mi nilikua naitaka STANBIC PALE sema wanaiita Corporate sales wakanibania nyama walee! Ila ni bomba sanaaaa! Ukisharipoti unarudi home kulala.
Ukiwa mtoto wa mujini huwezi kukosa wateja wa chochote! Kama mikopo si unaenda sokoni tu kuongea nao wanavohaha kusaka hio mikopo! Acha hongo unzokula kuwapitishia hio mikopo. Ukiwa na akili nyingi huitaji nguvu nyingi.