Married woman are inferior,they dont know their right.
Mwanamume anapiga masimu yupo ndani anapulizwa na feni anasema yupo kwa foleni.
While katoka kukoroma,Mwanamume harudi kwake muwiki mwanamke bado anamulimia mumewe simply just because she cant stand with her own feet.
Mwanamume anamunyanyasa anangangania kubaki simply because she is afraid to suffer for her stomach.
Brave woman hawaolewi wanamume wanawaogopa.
Married woman are inferior,they dont know their right.
Mwanamume anapiga masimu yupo ndani anapulizwa na feni anasema yupo kwa foleni.
While katoka kukoroma,Mwanamume harudi kwake muwiki mwanamke bado anamulimia mumewe simply just because she cant stand with her own feet.
Mwanamume anamunyanyasa anangangania kubaki simply because she is afraid to suffer for her stomach.
Brave woman hawaolewi wanamume wanawaogopa.
ndala hubaki na heshima yake chooni tu!
ukitoka nayo nje unaulizwa vipi mbona na malapa njiani?
Whaaaat! UMENOAAAA! wanawake wenye ndoa wako smart kishenzi yani! Na ndo mana mwenzako kawekwa ndani! Hivi unadhani ndoa mcheezo eee! Neno 'mke wangu' ukiliskia kwa mume wa mwenzio unajiskiaje? Sifa kubwa ya mwanamke kwa taarifa yako KUOLEWA kuwa NA MUME na FAMILIA YAKO mwenyewe! Siyo kuwekwa kimada a.k.a NYUMBA NDOGO KULA MAKOMBO loh!
Umenikosha sana munkali
thts my gal!!arusha oyeeethubutuuuuu!!brave woman ndio
tupo ndoani bibieee!!!mutuwache na ndoa zetu
hatujafwata magari shost,only love n' care!!nyie
bakini kuiba vichochoroni na kung'atwa na mbu wa gesti bubu!!
are you one of them?
musemo wao gari kwanza nyumba kwa mume
Umenikosha sana munkali
Sio kweli hata kidogo! Labda ukijibu maswali haya utapata jibu...
Nini maana ya brave?
Je kuna m/me anapenda kuoa mbumbumbu?
Then mimi natafuta hao ma-brave ili niwe na ndoa bora for the sake of ma children!
Then tofautisha m/ke kiburi na brave.
mubadohaivi umeshajifungua......
si ulisema una mimba ya mume wa mtu.just asking
thubutuuuuu!!brave woman ndio
tupo ndoani bibieee!!!mutuwache na ndoa zetu
hatujafwata magari shost,only love n' care!!nyie
bakini kuiba vichochoroni na kung'atwa na mbu wa gesti bubu!!
Unajua kuna nungayembe as you put it, ama small hausi ambayo inafaa kupandishwa daraja ikawa big hausi. Ila huu ni unga wa ngano ulioshakandwa, ukaanguka. The only use ni kuzibia tundu kwenye kikaango! Haufai!