wanawake wanaoolewa They are not SMART

wanawake wanaoolewa They are not SMART

ndala hubaki na heshima yake chooni tu!
ukitoka nayo nje unaulizwa vipi mbona na malapa njiani?
 
Married woman are inferior,they dont know their right.
Mwanamume anapiga masimu yupo ndani anapulizwa na feni anasema yupo kwa foleni.
While katoka kukoroma,Mwanamume harudi kwake muwiki mwanamke bado anamulimia mumewe simply just because she cant stand with her own feet.
Mwanamume anamunyanyasa anangangania kubaki simply because she is afraid to suffer for her stomach.
Brave woman hawaolewi wanamume wanawaogopa.

are you one of them?
 
Utafiti wako uko shallow.
Karudie!

Married woman are inferior,they dont know their right.
Mwanamume anapiga masimu yupo ndani anapulizwa na feni anasema yupo kwa foleni.
While katoka kukoroma,Mwanamume harudi kwake muwiki mwanamke bado anamulimia mumewe simply just because she cant stand with her own feet.
Mwanamume anamunyanyasa anangangania kubaki simply because she is afraid to suffer for her stomach.
Brave woman hawaolewi wanamume wanawaogopa.



Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Do you.

Wawe smart, wasiwe smart kivyao.

As long as hawajakuingilia katika reli zako kinakuwasha nini?

I am not a big fan of matrimony, but I can't be obnoxious enough to say married women are not smart. The statement is a sweeping one. Sweeping statements lack specificity and have no business in talking about smartness.

Obnoxious is so not smart.
 
Whaaaat! UMENOAAAA! wanawake wenye ndoa wako smart kishenzi yani! Na ndo mana mwenzako kawekwa ndani! Hivi unadhani ndoa mcheezo eee! Neno 'mke wangu' ukiliskia kwa mume wa mwenzio unajiskiaje? Sifa kubwa ya mwanamke kwa taarifa yako KUOLEWA kuwa NA MUME na FAMILIA YAKO mwenyewe! Siyo kuwekwa kimada a.k.a NYUMBA NDOGO KULA MAKOMBO loh!

Umenikosha sana munkali
 
Sio kweli hata kidogo! Labda ukijibu maswali haya utapata jibu...
Nini maana ya brave?
Je kuna m/me anapenda kuoa mbumbumbu?
Then mimi natafuta hao ma-brave ili niwe na ndoa bora for the sake of ma children!
Then tofautisha m/ke kiburi na brave.

Sawa sawa
 
Unajua kuna nungayembe as you put it, ama small hausi ambayo inafaa kupandishwa daraja ikawa big hausi. Ila huu ni unga wa ngano ulioshakandwa, ukaanguka. The only use ni kuzibia tundu kwenye kikaango! Haufai!

ukiziba tundu kitapuwaje, we mkali wa tungooooo
 
Maneno ya mkosaji hayoooooo.tuachie wenzio vimekushinda kuvila usivitie ila
 
Back
Top Bottom