HABARI PICHA
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Taifa, Boniface Jacob (Bon Yai), akizungumza na wananchi wa Kyela Mjini mkoani Mbeya wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika leo Juni 7, 2026.
Mkutano huo ni sehemu ya ziara ya viongozi wa chama hicho ya...