George Sanga, msaliti wa Watanzania, amezua mjadala mpana katika jamii kufuatia hatua yake ya kubadili msimamo na kuacha njia ya mapambano ya haki na demokrasia. Kitendo chake kinatazamwa na wengi kama usaliti mkubwa dhidi ya jitihada za pamoja zilizojengwa kwa muda mrefu kwa gharama na mchango...
Ila JF burudani sana😂
Zamani kabla ya akili mnemba nilikuwa naambiwa naandika vitu vya kufikirika visivyo na uhalisia😀
Baadae nikawa naambiwa na Google sana😀
Kisha nikaambiwa naokoteza vihabari vya mitandaoni
Haikuishia hapo nikaambiwa na copy na ku paste habari za wengine😀
Siku hizi new model...
Ofisi za Happy Nation ya kupokelea mizigo DSM siyo salama kwa mizigo. Mzigo ya wateja umerudikwa nje na kunyeshewa mvua. Ndani ya store ya mizigo,mizigo ya mafuta na isiyokuwa na mafuta imechanganyika. Mizigo ya samaki imechanganywa na isiyokuwa ya samaki.🥺
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.