Recent content by Mshana Jr

  1. Mshana Jr

    Kuna mambo ukifatilia kwenye usafi ni kama kinyume chake

    Ila mafuta si kwa ajili ya usafi ni kwa ajili ya kulainisha ngozi nk
  2. Mshana Jr

    Kifo ni somo kubwa kwa sisi tulio hai

    Vp wale waliouliwa October 29
  3. Mshana Jr

    Tujiandae na 'lock down' nyingine kubwa

    https://www.facebook.com/share/r/1DSsZwhozr/
  4. Mshana Jr

    CHADEMA Special Thread

    George Sanga, msaliti wa Watanzania, amezua mjadala mpana katika jamii kufuatia hatua yake ya kubadili msimamo na kuacha njia ya mapambano ya haki na demokrasia. Kitendo chake kinatazamwa na wengi kama usaliti mkubwa dhidi ya jitihada za pamoja zilizojengwa kwa muda mrefu kwa gharama na mchango...
  5. Mshana Jr

    Nilifiwa na ndugu yangu lakini Ile sehemu ya kushea maiti pale mochwari palikuwa na shanga nyingi sana

    Sasa nani ataenda kuzishika na kuzichezea huko kaburini😂
  6. Mshana Jr

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Nadhani atakayeguswa kwa namna yake ndio aende!
  7. Mshana Jr

    Fikiria: Mkeo anafanya usafi, anasogeza kochi, ghafla anakutana na chupi ya kike ambayo haijawahi kuonekana

    Hii niliandika 2014 ingekuwa sasa ningeambiwa ni AI😆 Post in thread 'Ile chupi ikaanguka mbele ya wote...' Ile chupi ikaanguka mbele ya wote...
  8. Mshana Jr

    Ile chupi ikaanguka mbele ya wote...

    Kidhibiti nikiache tena😂
  9. Mshana Jr

    Ile chupi ikaanguka mbele ya wote...

    Niangusage...😂
  10. Mshana Jr

    Fikiria: Mkeo anafanya usafi, anasogeza kochi, ghafla anakutana na chupi ya kike ambayo haijawahi kuonekana

    Ila JF burudani sana😂 Zamani kabla ya akili mnemba nilikuwa naambiwa naandika vitu vya kufikirika visivyo na uhalisia😀 Baadae nikawa naambiwa na Google sana😀 Kisha nikaambiwa naokoteza vihabari vya mitandaoni Haikuishia hapo nikaambiwa na copy na ku paste habari za wengine😀 Siku hizi new model...
  11. Mshana Jr

    KERO Ofisi ya kupokelea mizigo ya mabasi ya Happy Nation jijini Dar es Salaam si salama kwa uhifadhi wa mizigo

    Ofisi za Happy Nation ya kupokelea mizigo DSM siyo salama kwa mizigo. Mzigo ya wateja umerudikwa nje na kunyeshewa mvua. Ndani ya store ya mizigo,mizigo ya mafuta na isiyokuwa na mafuta imechanganyika. Mizigo ya samaki imechanganywa na isiyokuwa ya samaki.🥺
Back
Top Bottom