Mazingira ni maisha
Mazingira ni afya
Mazingira ni mafanikio
Bila afya hakuna maisha na bila maisha hakuna mafanikio
Mazingira yako ndio afya na maisha yako..ndio ustawi na mafanikio yako.. Yatunze yakutunze!💪🏿✔
Kwa kifupi ni kwamba nasi Wanadamu tuliopo kizazi hiki tubadilike na kuachana na kufanya mambo kwa mazoea- "Business as Usual" Matumizi ya rasilimali zetu yazingatie mabadiliko ya Tabianchi tunayoenda nayo ili kuweka uwiano sawa kwetu sisi na kwa vizazi vijavyo
Katika uislamu, kuua mjusi wa nyumbani (al-wazagh) kwa pigo la kwanza kunaandikiwa thawabu mia moja, huku mapigo yanayofuata yakipata thawabu chache zaidi.
Amri hii inalenga kumaliza viumbe hawa kwa haraka ili kuepusha mateso na pia kuondoa wanyama waharibifu au wenye sumu wanaohatarisha afya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.