Jamaa kwao uovu ni pombe tu, uzinzi aaah. Mmesahau kwamba hata mitume wenu mnaowaamini walikuwa wanywa pombe, lakini hawakuwa wazinzi, mbona nyie wazinzi. Sasa hivi mpo kwenye mfungo wa ramadhani, madada poa wanalalamika huko kitaa kwamba soko hakuna. Huu unaweza kuwa ushahidi kwamba soko kubwa...
Mkuu nchi gani hiyo unayoongelea? Kama ni Tanzania, basi hizi zitabaki tu kuwa ni day dreams. Hakuna kitu kama hicho kwa nchi na wananchi mazuzu kama watanzania.
Naona jina langu linazidi kupendwa. Nimefurahi kumpata pacha wangu. lakini na wewe uwe msemaji na si kukopi kazi za watu.
Back to the point. Nawashangaa watu wanaomshangaa Kikwete kwa kutokutenga bajeti kwa ajili ya kununulia meli. Hivi hizo meli, kuifanya Kigoma kuwa Dubai na mengineyo mengi...
Unajua siku za huko nyuma bodaboda zilizuiwa kabisa kutumiwa kwa kubebea abiria. Na pia utaratibu wa matumizi yake ulikuwa unadhibitiwa sana katika maeneo ya mijini. Lakini wakati wa kampeni za uchaguzi, CCM walizinunua kwa wingi na kuwapa vijana wa kuwasaidia kwenye kampeni, na hata wale...
Jaribu kumpa outing, mbadilishe mazingira ya mahali mnapofanyia. Nina experience ya mchumba wangu wa zamani, yaani nilikuwa naye kwa karibu mwaka mzima sikuwahi kumfikisha, siku nilipomtoa out tu, kitu kikajibu mapema kabisa, hadi nikashangaa. Kwa hiyo yeye hakuwa comfortable na yale mazingira...
Alifuta kodi ya kichwa. Wakati anaingia madarakani alikuta nchi ipo katika hali mbaya, wananchi wanalipia hadi baiskeli. Listi ya kulipia kodi ilikuwa ni lazima utembee nayo utafikiri unatembea na kitambulisho cha taifa. Mkapa is a hero, alirahisisha sana maisha ya watanzania.
Tuombe Mungu...
Upumbavu huu ndo unaopelekea vijana wetu wengi kuikimbia sayansi. What is special in civil or mechanical engineering that is not in Education, sociology or BSc general etc? Kuna kasumba ya kipumbafu sana waliyoijenga some professors, kutafuta kuheshimiwa kutokana na idadi ya disco alizotoa. Kama...
Mnadanganyana tu wakubwa. Polisi wa nchi gani hao wanaoweza kutia mgomo? Hawa polisi wa Tanzania ninaowafahamu mimi? Kama wanajeshi tu wananyanyasika lakini wanaendelea kuwa watiifu kama mbwa mbele ya anayemlisha, watakuwa polisi?
Hakuna polisi mwenye ubavu wa kutia mgomo baridi au mgomo moto.
Mkuu inaonekana ulioa kabla hujakomaaa eeh? yaani matatizo ya wewe na mke wako, tena madogo kama hayo unakuja kuomba msaada hapa? Mbona wakati unatafuta hukutuomba msaada? wewe ndo unamfahamu zaidi mke wako, nenda mkamalizane naye? kwa hiyo sisi tukisema ulioa jini, nenda kafukuze utafanyeje...
Mzee inaonekana ushaharibu mambo huko pole sana. Yah, ni possible kwa mwanamke kupata mimba siku ya 22 au 23 ya mzunguko wake. Si wanawake wote wana mzunguko sawasawa. Wapo wale ambao mzunguko wao unakwenda siku 21, wengine 28 na wengine 35 na kuna wengine ambao siku zao zinabadilika kila mwezi...
You are right mkuu, takwimu ni kitu cha mhimu sana. Najaribu kuangalia kama Nape atakuwa tayari kuja kutetea chama chake hapa jamvini.
Otherwise nitaendelea kumchokonoa source wangu ili anipe info zaidi. Hata hivyo source mwenyewe ni mwelevu kiasi chake, naamini atakuwa pia ni member wa JF...
Jamani umeme ulinibania kiasi cha kunifanya nipotee kabisa katika jukwaa letu tukufu. Lakini Mungu bariki mgao umepungua leo nimeweza kurudi ulingoni.
Kwa taarifa zisizo rasmi lakini kutoka katika vyanzo vya habari vyenye uhakika, ni kwamba Chama Cha Mapinduzi hivi sasa kinakabiliwa na wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.