Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
1. Ali-maintain inflation tangu aingie Ikulu mpaka anatoka,
2. Aliwezesha nchi kujenga barabara kwa fedha za ndani,
3. Makusanyo ya kodi yalipanda kwa kasi sana,
4. Heshima ya Serikali ilirudi,
5. Alitujengea uwanja mpya wa soka,
6. Alijenga daraja la Mkapa lililoshindikana tangu uhuru,
7. Alianzisha mpango wa MMEM na MMES ili kuinua Elimu ya Msingi na Sekondari,
8. Alianza kujenga Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM),
9. Alikuwa ni mtu wa msimamo,
10. Nk.
Hongera sana Ben, wenzako tunaumia sana kwa kuwa hatuna kiongozi kwa sasa, tunajiongoza wenyewe, lakini Historia itakukumbuka kwa mazuri uliyoifanyia nchi yetu, japokuwa wengi wetu hukumbuka mabaya kuliko mazuri, mimi nimeamua kukumbuka mazuri tu!
2. Aliwezesha nchi kujenga barabara kwa fedha za ndani,
3. Makusanyo ya kodi yalipanda kwa kasi sana,
4. Heshima ya Serikali ilirudi,
5. Alitujengea uwanja mpya wa soka,
6. Alijenga daraja la Mkapa lililoshindikana tangu uhuru,
7. Alianzisha mpango wa MMEM na MMES ili kuinua Elimu ya Msingi na Sekondari,
8. Alianza kujenga Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM),
9. Alikuwa ni mtu wa msimamo,
10. Nk.
Hongera sana Ben, wenzako tunaumia sana kwa kuwa hatuna kiongozi kwa sasa, tunajiongoza wenyewe, lakini Historia itakukumbuka kwa mazuri uliyoifanyia nchi yetu, japokuwa wengi wetu hukumbuka mabaya kuliko mazuri, mimi nimeamua kukumbuka mazuri tu!