Kwa kwel wandugu inaumiza na kutisha pia kwan hku kwetu imekuw ni kawaida ndan ya cku2 kusikia ajali kadhaa za pikipik aina ya bodaboda,kinachouwiza zaid hamna aliyepona hiv ni jion hii hii mwngine amekufa cc cjui itakuaje kwn vjana wanateketea cna,kwa ujumla imekuw bora na ukimw mtu anaweza kuish 20yrs ila bodaboda ni asubuh alikuwpo na jioni hayupo!mawazo yenu tafadhal