Arafat
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 2,581
- 758
Tetesi zinazoaminika ni kuwa Polisi nchni nzima wameweka Mgomo Baridi kupokea hile Posho ambayo Bunge waliambiwa ni Tsh.150,000 wakati wao wanapewa Tsh.100,000, Mgomo umeanza tokea tarehe 15 Mwezi huu baada ya kutolewa posho ya August, wamegoma kupokea wamekubalia kutokupokea hiyo fedha nchni nzima hadi kieleweke.
Thathimini inaonyesha Polisi watakuwa na mass vote kwa Chadema 2015 kama msimamo wao utaendelea kama ulivyo hivi sasa. wamesema wapo tayari kufanya kazi bure bila hiyo Posho.
Neema inanukia maana wakianzisha Polisi nadhani na Jeshi watafuta sisi tutabaki na kazi ya kupiga makofi tu! Hongereni sana Polisi nyie na Waalimu ndio mmekuwa Mlima unaotushinda kupanda kila mwaka.
Thathimini inaonyesha Polisi watakuwa na mass vote kwa Chadema 2015 kama msimamo wao utaendelea kama ulivyo hivi sasa. wamesema wapo tayari kufanya kazi bure bila hiyo Posho.
Neema inanukia maana wakianzisha Polisi nadhani na Jeshi watafuta sisi tutabaki na kazi ya kupiga makofi tu! Hongereni sana Polisi nyie na Waalimu ndio mmekuwa Mlima unaotushinda kupanda kila mwaka.