Recent content by msandawe

  1. msandawe

    Kwanini baadhi ya Watanzania wanampenda Lowassa pamoja na Kashfa zake?

    nadhani kwa kiasi kikubwa ni 7bu anasaidia utatuz wa matatizo ya @cku ya wa2 ambao wanadhan akiwa prezdaa atakuwa msaada mkubwa!
  2. msandawe

    Mbowe: Wabunge wote wa CHADEMA kutokushiriki vikao vya bunge kuanzia kesho, wataelekea Arusha!

    nani anayeratibu msiba; ndg wa marehem au cdm au ushirikiano wao?
  3. msandawe

    CCM kunyakua vijiji vyote nane Iramba Mashariki

    subiri kura zipigwe ndipo utangaze matokeo mkuu
  4. msandawe

    Yu wapi Cheusimangala?

    pole sana kijogoo, hata mi namkumbuka sana huyo binti aliyejazia
  5. msandawe

    GE2010 Askari Police Wawili Walichinjwa Kama kuku Arusha!!

    nilikuja mbio kumbe uzabizabina wa akina shigongo
  6. msandawe

    Mishahara serikalini kulipwa dirishani

    bila shaka huyo waziri ulimshuhudia wewe mwenyewe je alikuambia ni miezi ipi hiyo ya kufanya zoezi hilo?
  7. msandawe

    CUF sasa wawapigia magoti CHADEMA

    cdm wawasamehe cuf na vyama vingine japo walikuwa upande wa ccm wakati wa mchakato wa kupiga kura ya kumchagua spika na naibu wake.vyama vingine vilionesha tabia isiyo ya kipinzani kwa kukiunga mkono ccm lakini kwa vile katika siasa hakuna adui wa kudumu, basi inabidi cdm wafikirie ombi hilo.
  8. msandawe

    Wako wapi waitwao wachungaji ?

    if we are very good at asking for alms from them (whites), why the hell can't we be the recipients of their filthy practices? this is the consequence of our own gluttony. the anglican church in dodoma is disintegrating because of this...we all know!
  9. msandawe

    Utawala wa CCM ni Sawasawa na Utawala wa Makaburu wa Afrika Kusini

    unanitisha mkuu fafanua kidogo.
  10. msandawe

    Flora Mbasha na Edward Lowassa

    hayo ni maendeleo. pongezi dada flora umekula matunda ya uchaguzi mkuu kwa kazi inayoonekana kwa macho. wakuu yafaa tumpongeze kwa hilo tuache roho ya kwa nini!
  11. msandawe

    Anguko kuu la Kikwete na CCM, dalili zimeanza

    inasikitisha kuona mashehe wananunuliwa kwa bei nafuu na kutoa kauli za uchochezi; ni wazi siri kali inahusika moja kwa moja na lawama lazima zifike huko jengo jeupe. alipolalama eti kuna udini ni kwamba alikuwa anaandaa viongozi wa dini wa kwake ili wawezee kuwa- counter wale viongozi wa...
  12. msandawe

    Unawafahamu warangi?

    poti umeenda mbali. hizo ni fikra finyu za kibongo; huwezi ku generalize na kusema hivyo kwani utakuwa umeendeleza haya; wapare wote ni baili wahaya kwa mambo hawashikiki wanawake wa tanga usijaribu wagogo omba omba wahehe wala mbwa wahehe kwa hasira... wakinga wana roho mbaya wasandawe...
  13. msandawe

    Halima Mdee: Bold and Beautiful!

    je halima mdee na wenzake wa cdm wako tayari kukubaliana na matokeo ya kususia ufunguzi wa bunge la 10 hapo juzi; kama wenzao wa ccm walivyotishia juzi?
  14. msandawe

    msandawe nimeamua kuwa mkuu!!!

    nilikuwa nasomapost nyingi bila kujisaili na pia nilichukua siku tatu kujifuza mambo ya profile na setting zake hivvo nina uzowefu kidogo asante
Back
Top Bottom