Idimi
Platinum Member
- Mar 18, 2007
- 15,506
- 11,439
mmamkubali, huyu ni mpambanaji
Sure, nakumbuka alivyomchachafya Salum Londa (Meya wa Manispaa ya Kinondoni) kwa kuuza maeneo ya wazi pale Kawe. She deserves to be in power.
mmamkubali, huyu ni mpambanaji
ila sauti yake inanitia mashaka:
huenda anavuta bangi
au mtu wa zantel to zantel
Naamini uliimanisha Mbunge05-novemba-2010: feed back
Hatimaye mpaka leo hii, halima mdee ni mbungu mteule wa jimbo la kawe.
![]()
Namuita iron lady!!! huyu mheshimiwa anayemaliza muda wake kama mbuge wa kuteuliwa, sasa anagombea kupitia chadema kwenye jimbo ambalo yule anayemalizia kaamua kulikimbia (kwa kumwogopa halima???) na kugombea kupitia nafasi ya NGOs.
![]()
kihistoria ametoka kwenye familia ya ccm lakini akaamua kutoka kivyake; akiweka 'historia' kisogoni (kwanini asiitwe bold/iron lady?)
![]()
![]()
![]()
akiwa mjengoni amefanikiwa kutoa mchango wa mawazo kwa ujasiri wa hali ya juu kiasi cha kufikia kukwaruzana na kigogo wa ccm ambaye aliamua kumpeleka 'nusu-mahakama' (kwa 6) lakini kwa ujasiri wake mhe. mdee (as she then was), ilibidi mzee wa bumbuli alazimike ku 'drop charges'
my take:
huyu mdada anafaa kupewa nafasi ya ubunge katika jimbo la uchaguzi la kawe; she is bold and yet beautiful!!!
(huo mtazamo wangu tu usijali sana!!!)
05-novemba-2010: feed back
Hatimaye mpaka leo hii, halima mdee ni mbunge mteule wa jimbo la kawe.
du, nadhani ni mke mtu lakini!
Wewe unajiita mtu-wa-pwani JF senior Expert member halafu busara ndiyo hiyo imemomonyoka, kuwa mstaarabu kusema mwenzako anavuta bangi usifikiri ni hekima,(No reseach no right to say) kuwa muungwana na mwadilifu kame expert senior. Ushauri wa bure huu.