mwana wa mtemi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 374
- 204
Kila la kheri tunahiaji updates
Hatimaye ccm leo tumehitimisha kampeni kwa bashasha kubwa na mapokezi ya hali ya juu katika kata ya mgongo kijiji cha kisonga shelui baada yakuzunguka katika vijiji vyote nane tulivyosimamisha wagombea.
Ni wazi kwamba tunaenda kushinda kwa kishindo katika vijiji vyote nane,kama kuna chama kimesimamisha nao wagombea basi wajiandae kuvuna aibu na kama wanabisha tukutane tena hapa hapa kesho tupeane tathmini.
Hakika Naibu katibu mkuu Mwigulu Nchemba wewe ni kipenzi cha wana Iramba wanakupenda na wanakuhitaji.
VIVA CCM!
Nyie vijana mbona hizi code language zinatupa shida sisi wengine kutoka kundi la bbc: Swagger ndo nini?
swagger ni neno lililotoholewa kutoka kwenye kifupisho 'SWAG'..Kotoka huko amerika kama identity ya kundi la mashoga. Waliandika kwenye nguo,kofia n.k. Kirefu chake ni 'secretely we are gays',swag! Ni hatari kubwa kwa kijana kujisifia aki2mia hlo neno! Tena hasa hasa akiwa kiongozi! Kama si mshabiki wa mapenzi ya jinsia moja basi hupendelea yale ya kinyume na maumbile! Kama si hivyo basi 'si mtafiti' ,anatumia lugha asizojua maana yake ili aonekane kijana.
Wewe binti ni shughuri gani halali inayokuingizia pesa ya kuendesha maisha yako ya kila siku? maana tuhubiri yale tunayotenda, tusiamasishe watu kujituma wakati wengine mnaishi kwa ujanja ujanja tu.Hatimaye ccm leo tumehitimisha kampeni kwa bashasha kubwa na mapokezi ya hali ya juu katika kata ya mgongo kijiji cha kisonga shelui baada yakuzunguka katika vijiji vyote nane tulivyosimamisha wagombea.
Ni wazi kwamba tunaenda kushinda kwa kishindo katika vijiji vyote nane,kama kuna chama kimesimamisha nao wagombea basi wajiandae kuvuna aibu na kama wanabisha tukutane tena hapa hapa kesho tupeane tathmini.
Hakika Naibu katibu mkuu Mwigulu Nchemba wewe ni kipenzi cha wana Iramba wanakupenda na wanakuhitaji.
VIVA CCM!
Naamini muda si mrefu utajua ni jinsi gani CCM huwa wanashinda uchaguzi,ukweli huo ndio utakaokusuta Dhamira yako,lakini kwa kuwa njaa zinakusumbua utaendelea kubaki huko huko!Hatimaye ccm leo tumehitimisha kampeni kwa bashasha kubwa na mapokezi ya hali ya juu katika kata ya mgongo kijiji cha kisonga shelui baada yakuzunguka katika vijiji vyote nane tulivyosimamisha wagombea.
Ni wazi kwamba tunaenda kushinda kwa kishindo katika vijiji vyote nane,kama kuna chama kimesimamisha nao wagombea basi wajiandae kuvuna aibu na kama wanabisha tukutane tena hapa hapa kesho tupeane tathmini.
Hakika Naibu katibu mkuu Mwigulu Nchemba wewe ni kipenzi cha wana Iramba wanakupenda na wanakuhitaji.
VIVA CCM!