Yani kuna vitu vingine haviitaji akili kuwaza mtu anakutusi kila mstari wa nyimbo zake,kwa interview ukiulizwa ukiona kiba unaona nini unajibu VITA! Leo hii umefungua kiplatform chako cha kuuza mziki unataka kutubuni watu ili waingie mkenge upige pesa kupitia yeye! Diamond mdomo umkuponza Kiba...
[emoji23][emoji23][emoji134]mie siombi Ila kuna mitupio nikitupia plus kiperfume changu cha usiku tu anajua Leo mama anataka league ichezwe basi full kujiachia [emoji39][emoji39]
Mie sijaelewa umuhimu wa hii aje remix ! Coz video ya kwanza MI hayupo hii nayo Yale Yale sasa swali la mwisho remix mabadiliko yapo wapo Ni video Au beats nini dhumuni ya remix
Kiwanja kinauzwa kipo Kinyerezi mwisho karibu na Songas
Gharama. 15M ina maelewano mazuri ya punguzo la bei Au kulipa kwa awamu.
Size ni miguu 10 kwa 30
Tayari kilianzishiwa ujenzi wa nyumba ya vyumba 8 kighorofa! (Juu kuna vyumba 5 na chini 8)
Kwa anaehitaji tutafutane 0713-240806
Ndio mjiulize kwanini hakuna mvua tangu mwaka Jana pili hao wazungu wenyew wanapinga kilimo cha green house ndio chanzo moja wapo ya global warming ina mana mboe hajui hayo na Tz ipo kwenye kampeni ya kupigana na tatizo la global warming ! Hapo kilimo chake kipo karibu sana na maji anatakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.