Aje Remix Official Video

Aje Remix Official Video

Msimtengee Kueni Wavumilivu.....Sidhani kama Hili ni Tatizo la Management what i see ni kuwa kiba Sio mbunifu at all! Ni majivuno na kujiona anajua ndio sababu ya kutotaka kuupokea ushauri wowote unaoenda kwake? Mashabiki wa kweli wa Ali Kiba toka Lini wametoka wakimshauri kubadilika juu y video anazo zifanya Lakini kila siku amekuwa akidrop?

Hapa thamani ya Bifu lake na Diamond ndo linaonekana Sitashngaa kuona hii video Ina views Wengi sana Youtube.....Coz watu watataka kuangalia uupuzi alio Fanya na watacompare na Diamond japo now Diamond anatafuta views 3M kwenye Vevo ila hii Aje Remix itakuja kwa kasi kutokana na Watu kutaka kujua nn kipo ndani ya Lakini sio kwa sababu ya Video ni nzuri

Ali Kiba Hadi Video inavuja???
Haijavuja mkuu kaachia officially
 
Nyimbo Kali,video Kali,ila kaniudhi tu mshkji MI hayupo,,, tatizo tumezoea kuona video za magar maghorofa na mademu wanalewa kwenye swimmin pool,,,Ila video kali
 
Nyimbo Kali,video Kali,ila kaniudhi tu mshkji MI hayupo,,, tatizo tumezoea kuona video za magar maghorofa na mademu wanalewa kwenye swimmin pool,,,Ila video kali
AliKiba ana gubu sana, Mwinyi na anapenda sana kunyenyekewa kuliko kujishusha - Unaweza kukuta walishakosana!
 
Nakupenda ali kiba napenda nyimbo zako,nakumbuka kwa mara ya kwanza nakusikia ktk nyimbo ya abby skilliz maria nilikukubali sanaa,ila nimechoka kua mnafiki na kukukingia kifua kwa ajili ya mapenzi yangu kwako,nadhani tukikuambia ukweli unaweza badilika,kwa hii video ni heri ungetoa ata video yako ukiwa upo uwanjani unafanya mambo yako yaani ukiwa na muheza unapiga ball lakini kwa hii umetuangusha mashabiki wako kwa kiwango cha p.h.d. why utufanyie haya nahisi unatuhujumu?
Haters mtalala na viatu leo
 
Msimtengee Kueni Wavumilivu.....Sidhani kama Hili ni Tatizo la Management what i see ni kuwa kiba Sio mbunifu at all! Ni majivuno na kujiona anajua ndio sababu ya kutotaka kuupokea ushauri wowote unaoenda kwake? Mashabiki wa kweli wa Ali Kiba toka Lini wametoka wakimshauri kubadilika juu y video anazo zifanya Lakini kila siku amekuwa akidrop?

Hapa thamani ya Bifu lake na Diamond ndo linaonekana Sitashngaa kuona hii video Ina views Wengi sana Youtube.....Coz watu watataka kuangalia uupuzi alio Fanya na watacompare na Diamond japo now Diamond anatafuta views 3M kwenye Vevo ila hii Aje Remix itakuja kwa kasi kutokana na Watu kutaka kujua nn kipo ndani ya Lakini sio kwa sababu ya Video ni nzuri

Ali Kiba Hadi Video inavuja???
Mimi ni mmoja wa watu walikwenda kucheki upuuzi wa Diamond kwenye ile video yake ya kipuuzi
 
Mie sijaelewa umuhimu wa hii aje remix ! Coz video ya kwanza MI hayupo hii nayo Yale Yale sasa swali la mwisho remix mabadiliko yapo wapo Ni video Au beats nini dhumuni ya remix
 
Mie sijaelewa umuhimu wa hii aje remix ! Coz video ya kwanza MI hayupo hii nayo Yale Yale sasa swali la mwisho remix mabadiliko yapo wapo Ni video Au beats nini dhumuni ya remix
Jamaa ana pressure, hofu na kimuhemuhe, hana ngoma nyingine nzuri - anatafuta tu kakisingizio kakubuy time
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom