Kiresua
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 1,183
- 261
Pole sana, wa2 wengi wanashindwa interrview kabla hata hawajaenda kwenye usaili wenyewe! wewe najua umeathirika kisaikilojia, nakuambia tena usikea vizuri, hakuna tatizo kbs, wee nenda hivyo hivyo kwani wanaointerviy si ni wa2 kama wewe wana hisia kama wewe kwa hiyo usikubali kushindwa kirahisi! nenda kashinde kazi!
Mm niliwahi kungatwa na Nyuki kwenye jicho siku namkaribisha mchumba wangu nyumbani kwa utambulisho, kwa kweli ilikuwa ni fedheha sana! lkn mambo yaliisha na sasa ni mke!
Dont be afraid gogo! go go go and do it!
Mm niliwahi kungatwa na Nyuki kwenye jicho siku namkaribisha mchumba wangu nyumbani kwa utambulisho, kwa kweli ilikuwa ni fedheha sana! lkn mambo yaliisha na sasa ni mke!
Dont be afraid gogo! go go go and do it!