you are right, ila, Lilian alitaka ujumbe wa 'MARRIED' umfikie dada Rita (mambo ya rusha roho!!), magazeti ya 'udaku' yakapata ujumbe na kurusha hewani, babu Mengi akalia mafisadi wamemkalia kooni...wadanganyika tukadanganyika!!, kumbe ni ugomvi wa 'vicheche' vya Mengi!