KUNA TETE KUWA LOWASSA ANAMWAANDAA MTOTO WAKE KUGOMBEA UBUNGE-MONDULI
Kutokana na kashfa nyingi zinazomkabili Lowassa anasita kugombea tena Ubunge-Monduli 2010,hivyo anamwandaa Mtu (Mtoto)wake kwa ajili ya kugombea.Hata hivyo wananchi wa Monduli wasioendekeza takrima wanaonekana kutaka waongozwe na Mbunge safi na asiye tokana na Mtu yeyote mwenye kashfa ya ufisadi au kashfa yoyote ile.Mwenye undani wa suala hili aturushie.
Kutokana na kashfa nyingi zinazomkabili Lowassa anasita kugombea tena Ubunge-Monduli 2010,hivyo anamwandaa Mtu (Mtoto)wake kwa ajili ya kugombea.Hata hivyo wananchi wa Monduli wasioendekeza takrima wanaonekana kutaka waongozwe na Mbunge safi na asiye tokana na Mtu yeyote mwenye kashfa ya ufisadi au kashfa yoyote ile.Mwenye undani wa suala hili aturushie.
Last edited by a moderator: