Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,239
- 113,613
hujauliza ni bei gani anapewa, niliona marupurupu ya wabunge, sijui ni hapa JF, sikumbuki. Nilichoka. Kwa mwezi nadhani wanapata kama 3.8 m (Tshs).
who let you out?
hujauliza ni bei gani anapewa, niliona marupurupu ya wabunge, sijui ni hapa JF, sikumbuki. Nilichoka. Kwa mwezi nadhani wanapata kama 3.8 m (Tshs).
WomenofSubstanc; [COLOR="Red" said:Serikali ingeangalia ni kwa vipi taasisi nyingine esp. mashirika ya kimataifa wameweza kufanya watumishi wake wahudhurie mikutano, seminar etc bila kulipwa posho yoyote kwa maana ni sehemu ya kazi na ukipokea malipo utachukuliwa hatua za nidhamu ikiwa ni pamoja na kukatwa mshahara.Huu ni utamaduni ambao umeshajengeka serikalini na hata kwenye local NGOs wa kutegemea kulipwa hata kama mafunzo ni kwa manufaa ya mhudhuriaji.Inabidi kubomoa utamaduni huu na hii itawezekana kwa kulipa watu living wages[/COLOR].
Hivi watu hawafanyi semina za ndani? Mahali ninapofanya kibarua changu kila wiki (jumatatu) tuna mkutano wa kuwakena sawa na kutathmini mambo yaliyopita n.k halafu kila mwezi tuna "communication meetings" halafu kuna mikutano ambayo watu wa HQ wanakuja kuendesha. Yote hii inafanywa hapa hapa kwenye jengo letu na hakuna cha per-diem wala posho yoyote. Kwa sababu ni sehemu ya kazi zetu.
Sasa sijui ni kwa kiasi gani au tofauti gani ya semina ipo ambayo inafanya semina za ndani zilipiwe per-diems au kutowezekana kwa semina ndani. Ungeniuliza mimi ningesema:
a. Kila ofisi lazima iwe na ukumbi wa kutosha wa mikutano ya ndani.
b. Semina na mikutano ipangwe kufanyika ndani ya wiki na muda wa kazi kwenye eneo husika (hata kwa makundi makundi)
c. Semina hizo hazina malipo yoyote yale.
d. Semina za nje ziwe zimepangwa kwenye kalenda mwaka mmoja kabla na anayeenda ajulikane na kwanini yeye aende (leo hii kwa mfano ATCL imepeleka watu kusoma SA, wakati haina ndege za kurusha!)
e. Lazima kuwe na kipaumbele na kujali matokeo ya semina hizo. Kama mtu ameenda kwenye semina ya kujifunza ziaid jinsi General Accounting Principles zinafanya kazi katika utawala wa kidemokrasia ni matarajio yetu kuwa akirudi tuone mabadiliko; kama hakuna mabadiliko semina ilikuwa ya nini? NI lazima tujifunze kupima matokeo (measuring results). Kama watu wameenda kujifunza kilimo cha kisasa halafu wakarudi na kulima kwa mtindo wa zamani, ile semina imewasaidia nini?
EE bwana unataka tukale wapi? au kwa sababu huna access na vijisenti hivyo?Hata hizo seminaries zitakazokuwa approved matumizi yake yawekwe bayana kama mtu amepata fedha ambayo matumizi yake hayakuwa direct to the seminaries yalipiwe KODI stahili. Hapa ndo tutaanza vizuri bin haki.
EE bwana unataka tukale wapi? au kwa sababu huna access na vijisenti hivyo?
Hivi watu hawafanyi semina za ndani? Mahali ninapofanya kibarua changu kila wiki (jumatatu) tuna mkutano wa kuwakena sawa na kutathmini mambo yaliyopita n.k halafu kila mwezi tuna "communication meetings" halafu kuna mikutano ambayo watu wa HQ wanakuja kuendesha. Yote hii inafanywa hapa hapa kwenye jengo letu na hakuna cha per-diem wala posho yoyote. Kwa sababu ni sehemu ya kazi zetu.
Sasa sijui ni kwa kiasi gani au tofauti gani ya semina ipo ambayo inafanya semina za ndani zilipiwe per-diems au kutowezekana kwa semina ndani. Ungeniuliza mimi ningesema:
a. Kila ofisi lazima iwe na ukumbi wa kutosha wa mikutano ya ndani.
b. Semina na mikutano ipangwe kufanyika ndani ya wiki na muda wa kazi kwenye eneo husika (hata kwa makundi makundi)
c. Semina hizo hazina malipo yoyote yale.
d. Semina za nje ziwe zimepangwa kwenye kalenda mwaka mmoja kabla na anayeenda ajulikane na kwanini yeye aende (leo hii kwa mfano ATCL imepeleka watu kusoma SA, wakati haina ndege za kurusha!)
e. Lazima kuwe na kipaumbele na kujali matokeo ya semina hizo. Kama mtu ameenda kwenye semina ya kujifunza ziaid jinsi General Accounting Principles zinafanya kazi katika utawala wa kidemokrasia ni matarajio yetu kuwa akirudi tuone mabadiliko; kama hakuna mabadiliko semina ilikuwa ya nini? NI lazima tujifunze kupima matokeo (measuring results). Kama watu wameenda kujifunza kilimo cha kisasa halafu wakarudi na kulima kwa mtindo wa zamani, ile semina imewasaidia nini?
Next level eeeeeh...hao ndio wale wale wanapishana huko mawizarani na taasisi za serikali wanaulizana.."jamani hakuna kasemina mahali? Mifuko mitupu!" Sasa muulize ni ya nini anaulizia au ipi hiyo atasema "yoyote tu" tumekaa sana humu ndani! Niliwahi kusikia huwa wanakwenda kwa zamu kuna wakati hata wapika chai waliokaa muda mrefu wanachukuliwa kwenda kuhudumia huko (Morogoro, bagamoyo) ili nao wapate chochote!