Nyuki
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 367
- 14
Nafikiri amuombe hakimu amfunge kabisa kama lengo nikufikisha message!
Hakuna zaidi yakutaka umaarufu hapo!Hizi zote ni mbwembwe,
nimeusoma vizuri waraka wa mh Lema kimsingi hana zaidi yakusaka umaarufu.
Mh Lema jamii itakutambua kama ni makini kweli ila sio kwa style hizo!
mkuu umaarufu gani unaosema maana kama umaarufu lema tayari maararufu