Kwa CV hii kuna pointi kweli huko Arumeru

Kwa CV hii kuna pointi kweli huko Arumeru

Wewe mtoa mada watafuta vyeti vya watu siyo?? Nadhani una lengo lako ukiwa na ngozi pevu kama jamaa zako.
Mimi ni Form IV pia na nina miaka 16 kama Manager wa Kampuni na napigiwa Salute.
 
Hebu chukua mtu na Elimu kama ya Prof.Maghembe afu weka jembe kama vincent Nyerere,thn nipe majibu nani ana uelewa mkubwa katika kupembua mambo.
 
"Jambo moja ambalo ni la msingi ni kwamba elimu ya darasani kwa tulipofikia na dunia tuliyo nayo leo ni ya msingi hata tufanyeje.Lakini la pili ambalo ni hakika,unatumiaje hiyo elimu yako uliyoipata.unaweza ukawa na elimu na uelewa mdogo lakini ukautumia vizuri kwa asilimia 100% na kuleta matunda kuliko kuwa na PHD ambayo hata haitumiki.Kwanza huko ni kupoteza rasilimali,kwa muda ulioutumia kuitafuta ,ungefanya jambo ambalo ni productive ungelichangia taifa.
Lakini pia tuangalie lengo la elimu ni nini?
Nikutusaidia kutambua mazingira yanayotuzunguka, na hivyo kuweza kutatua matatizo tuliyo nayo.kama una PHD ya sheria,Uhandisi,Udaktari na fani nyinginezo na huwezi kututatulia matatizo yetu ni kazi bure.
Tukumbuke pia ,wale wote tunaowaita great thinkers ,wengine wakati huo hata hawakua na elimu ya darasani lakini waliweza kutufanyia mambo makubwa.
Suala lililopo hapa ni kutatua matatizo tuliyo nayo.Tuna wasomi ambao hata wameshindwa kutusaidia kwenye mikataba ya madini.tunapata 4% instead of 50/50 halafu ndio hao tunakaa kuwatetea hapa,huu ni upuuzi wa hali ya juu.Tuna wasomi wanaoshindwa kuhakikisha watu waliotufikisha hapa,kwa ufisadi wanaondolewa madarakani, wao ndio wanawatetea,I will opt for Vicent kwani na elimu yake ndogo anaweza akasimamia anchokiamini.tunahitaji mtu mwenye Common sense as "Common sense is not common to common people like you"

Cheichei umenena yaliyo mema.
 
Jiulize hao wenye cv Oxford University walifanyia nini Taifa. Hatahivyo, elimu sio vyeti bali jinsi unavyoitumia kutatua matatizo ya jamii yako na kukuwezesha kuishi na watu vizuri.
 
Hivi Prof. Maji Marefu, Mbunge CCM ana elimu gani??

Samahani Prof. nauliza tu usijenirushia................. najaribu kucheck elimu za wabunge wa CCM na jina lako likaja mapema!!!
 
This thread has cleary hit the mark, no wonder Magamb.a foam at their mouths. It was such an irrational decision to appoint unlettered person like Vincent Nyerere to lead political elections campaigns which, by their nature, oftenly call for intense and scholarstic clarification of weighty matters ranging from national to international. I am wondering how the likes of him will succeed in eloquent crystallization of issues related to economy, technology, politics etc with bare Form 4 education.

FF kazini. Mko wengi sana huko magambani wenye ulimbukeni huu kuwa kujua kuongea kiinglishi ndio usomi coz sikuona sababu yoyote ya maana ya kuandika kwa lugha ya kigeni ilihali mada inajadiliwa kwa lugha ya kiswahili. Kuna wabunge wengi sana wasomi but hawana elimu wala upeo wa uongozi. Kwangu mimi kiongozi mzuri ni yule mzalendo kwa nchi yake na mwenye uchungu na maendeleo ya wale anaowaongoza.
 
Mimi siyo mtaalam wa Lugha, hivi mlinzi wa getini anaweza kuitwa Security Officer?
Chuki zitawauwa mkiwa bado vijana wadogo, vyovyote vile iwavyo SUGU ndio mbunge wa Mbeya mjini na analamba zile million 7 kwa mwezi na anatembelea Land cruiser VX Amazon na ana BMW X5.
Hayo mengine ni mazungumzo baada ya habari tu.
 
Hivi Prof. Maji Marefu, Mbunge CCM ana elimu gani??

Samahani Prof. nauliza tu usijenirushia................. najaribu kucheck elimu za wabunge wa CCM na jina lako likaja mapema!!!
Usimuonee Prof peke yake, hata kule Iringa kuna Deo Sanga Jah People hawa wote ni standard seven Graduate.
 
majitu mengine hukosa la kuongea na kuanza kujadili ujinga tupe cv ya maji marefu mbunge wa ccm
 
Member picture
1644.jpg

[TD="bgcolor: #e9f0f0"] Salutation [/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Honourable[/TD]

[TD="bgcolor: #e9f0f0"] First Name: [/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Osmund[/TD]

[TD="bgcolor: #e9f0f0"] Middle Name :[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Joseph[/TD]

[TD="bgcolor: #e9f0f0"] Last Name: [/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Mbilinyi[/TD]

[TD="width: 20%, bgcolor: #e9f0f0"] Member Type: [/TD]
[TD="width: 38%, bgcolor: #e9f0f0"]Constituency Member[/TD]

[TD="bgcolor: #e9f0f0"] Constituent: [/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Mbeya Mjini[/TD]

[TD="bgcolor: #e9f0f0"] Political Party: [/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]CHADEMA[/TD]

[TD="bgcolor: #e9f0f0"] Office Location: [/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Box 815, Mbeya[/TD]

[TD="bgcolor: #e9f0f0"] Office Phone: [/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]+255 716 627344[/TD]

[TD="bgcolor: #e9f0f0"] Ext.: [/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"][/TD]

[TD="bgcolor: #e9f0f0"] Office Fax: [/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"][/TD]

[TD="bgcolor: #e9f0f0"] Office E-mail: [/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]jmbilinyi@parliament.go.tz[/TD]

[TD="bgcolor: #e9f0f0"] Member Status: [/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Current Member[/TD]

[TD="bgcolor: #e9f0f0"] Start date: [/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"][/TD]

[TD="bgcolor: #e9f0f0"] End date: [/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"][/TD]

[TD="bgcolor: #e9f0f0"] Date of Birth [/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1 May 1972[/TD]
School Name/Location Course/Degree/Award

[TD="bgcolor: #b4c6db, colspan: 5"] EDUCATIONS [/TD]

[TD="width: 15%, bgcolor: #b4c6db"] Start Date [/TD]
[TD="width: 13%, bgcolor: #b4c6db"] End Date [/TD]
[TD="width: 10%, bgcolor: #b4c6db"] Level [/TD]

[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Ligula Primary School[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Primary Education[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1981[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1984[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]PRIMARY[/TD]

[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Sokoine Primary School[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Primary Education[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1984[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1986[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]PRIMARY[/TD]

[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Sisimba Primary School[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Primary Education[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1986[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1987[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]PRIMARY[/TD]

[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Mbeya Secondary School[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]O-Level Education[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1988[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1990[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]SECONDARY[/TD]

[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Sabasaba Secondary School[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]O-Level Education[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1990[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1991[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]SECONDARY[/TD]


Ndugu hili ndio mbumbumbu kabisa, lilipata four likaresit likachemsha.

Hili
 
Ndio maana Mkapa alikuwa na mashaka kama vicent ni wa ukoo wa Nyerere elimu yake imejaa viraka anahitaji kwenda shule kama alivyofanya Mbowe. Elimu haina mwisho lakini inategemea kama anapenda shule

Hv Vicent Nyerere amegeuka kuwa mgombea ubunge Arumeru au mmeamua kumtetea tu mkapa muasisi wa UFISADI Tanzania. Hoja ni je aliyosema Vicenti kuhusu Mkapa ni kweli au uongo na kama ameboronga ndo muanze kumchambua acheni kufunika mambo kijanja hapa. Ukweli utabakia palepale kwamba Mkapa amechemsha mnoooooooooo! na akicheza vijana watamdhalilisha!!!
 
jamani msimsahau yule chokoraa jizi la magari pale Arusha mjini, sijui na yeye ana elimu gani? hatokuwa mbali na sugu na VN.
 
majitu mengine hukosa la kuongea na kuanza kujadili ujinga tupe cv ya maji marefu mbunge wa ccm


[TD="bgcolor: #B1C3D9, colspan: 3"] GENERAL [/TD]

[TD="bgcolor: #E9F0F0"] Salutation [/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0"]Honourable[/TD]
[TD="width: 42%, bgcolor: #E9F0F0"] Member picture
1738.jpg
[/TD]

[TD="bgcolor: #E9F0F0"] First Name: [/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0"]Stephen[/TD]

[TD="bgcolor: #E9F0F0"] Middle Name : [/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0"]Hilary[/TD]

[TD="bgcolor: #E9F0F0"] Last Name: [/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0"]Ngonyani[/TD]

[TD="width: 20%, bgcolor: #E9F0F0"] Member Type: [/TD]
[TD="width: 38%, bgcolor: #E9F0F0"]Constituency Member[/TD]

[TD="bgcolor: #E9F0F0"] Constituent: [/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0"]Korogwe Vijijini[/TD]

[TD="bgcolor: #E9F0F0"] Political Party: [/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0"]CCM[/TD]

[TD="bgcolor: #E9F0F0"] Office Location: [/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0"]P.O. Box 60, Korogwe, Tanga[/TD]

[TD="bgcolor: #E9F0F0"] Office Phone: [/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0"]+255 784 459090/+255 712 006666[/TD]

[TD="bgcolor: #E9F0F0"] Ext.: [/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0"][/TD]

[TD="bgcolor: #E9F0F0"] Office Fax: [/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0"][/TD]

[TD="bgcolor: #E9F0F0"] Office E-mail: [/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0"][/TD]

[TD="bgcolor: #E9F0F0"] Member Status: [/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0"][/TD]

[TD="bgcolor: #E9F0F0"] Date of Birth [/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0"]
[/TD]

[TD="bgcolor: #B4C6DB, colspan: 5"] EDUCATIONS [/TD]

[TD="width: 35%, bgcolor: #B4C6DB"] School Name/Location
[/TD]
[TD="width: 27%, bgcolor: #B4C6DB"] Course/Degree/Award [/TD]
[TD="width: 15%, bgcolor: #B4C6DB, align: center"] Start Date [/TD]
[TD="width: 13%, bgcolor: #B4C6DB, align: center"] End Date [/TD]
[TD="width: 10%, bgcolor: #B4C6DB, align: center"] Level [/TD]

[TD="bgcolor: #E9F0F0"]Kwamndolwa Primary School
[/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0, align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0, align: center"]1970[/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0, align: center"]1976[/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0, align: center"]PRIMARY[/TD]

[TD="bgcolor: #B4C6DB, colspan: 4"] CERTIFICATIONS
[/TD]

[TD="class: text_menu, bgcolor: #B4C6DB"] Certification Name or Type
[/TD]
[TD="class: text_menu, bgcolor: #B4C6DB, align: center"] Certification No. [/TD]
[TD="bgcolor: #B4C6DB, align: center"] Issued [/TD]
[TD="class: text_menu, bgcolor: #B4C6DB, align: center"] Expires [/TD]

[TD="colspan: 7"] No items on list
[/TD]

[TD="bgcolor: #E9F0F0"][/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0"][/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0"][/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0"][/TD]

[TD="bgcolor: #B4C6DB, colspan: 4"] EMPLOYMENT HISTORY [/TD]

[TD="bgcolor: #B4C6DB"] Company Name [/TD]
[TD="bgcolor: #B4C6DB, align: center"] Position [/TD]
[TD="bgcolor: #B4C6DB, align: center"] From Date [/TD]
[TD="bgcolor: #B4C6DB, align: center"] To Date [/TD]

[TD="colspan: 7"] No items on list [/TD]

[TD="bgcolor: #E9F0F0"][/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0"][/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0, align: center"][/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0, align: center"][/TD]

[TD="bgcolor: #B4C6DB, colspan: 4"] POLITICAL EXPERIENCE [/TD]

[TD="class: text_menu, width: 47%, bgcolor: #B4C6DB"]Ministry/Political Party/Location [/TD]
[TD="class: text_menu, width: 31%, bgcolor: #B4C6DB, align: center"]Position [/TD]
[TD="class: text_menu, width: 12%, bgcolor: #B4C6DB, align: center"]From[/TD]
[TD="class: text_menu, width: 10%, bgcolor: #B4C6DB, align: center"]To[/TD]

[TD="bgcolor: #E9F0F0"]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0"]Member of NEC[/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0, align: center"]2008[/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0, align: center"][/TD]

[TD="bgcolor: #E9F0F0"]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0"]Regional Economic Secretary[/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0, align: center"]2008[/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0, align: center"][/TD]

[TD="bgcolor: #E9F0F0"]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0"]Economic Secretary, Korogwe rural[/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0, align: center"]2007[/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0, align: center"][/TD]

[TD="bgcolor: #B4C6DB, colspan: 2"] PUBLICATIONS [/TD]

[TD="class: text_menu, bgcolor: #B4C6DB"]Description [/TD]
[TD="class: text_menu, bgcolor: #B4C6DB"]Published Date[/TD]

[TD="colspan: 7"] No items on list [/TD]

[TD="bgcolor: #E9F0F0"][/TD]
[TD="bgcolor: #E9F0F0"][/TD]

[TD="bgcolor: #B4C6DB, colspan: 4"] SPECIAL SKILLS [/TD]

[TD="bgcolor: #B4C6DB"]Skill Name or Description [/TD]
[TD="class: text_menu, bgcolor: #B4C6DB"]Years Experience [/TD]
[TD="class: text_menu, bgcolor: #B4C6DB"]Acquired Through [/TD]
[TD="class: text_menu, bgcolor: #B4C6DB"]Skill Level[/TD]

[TD="colspan: 7"] No items on list [/TD]

[TD="bgcolor: #EDEEEE"][/TD]
[TD="bgcolor: #EDEEEE"][/TD]
[TD="bgcolor: #EDEEEE"][/TD]
[TD="bgcolor: #EDEEEE"][/TD]

[TD="bgcolor: #B4C6DB, colspan: 5"] RECOGNITIONS [/TD]

[TD="class: text_menu, bgcolor: #B4C6DB"] Recognition Type[/TD]
[TD="class: text_menu, bgcolor: #B4C6DB"] Recognition Date[/TD]
[TD="class: text_menu, bgcolor: #B4C6DB"]Reason[/TD]
[TD="class: text_menu, bgcolor: #B4C6DB"]Action Taken[/TD]
[TD="class: text_menu, bgcolor: #B4C6DB"]Issued by[/TD]

[TD="colspan: 7"] No items on list [/TD]

[TD="bgcolor: #E9F0F0"][/TD]
 
Bora hao wanaotutajia elimu zao za ukweli kuliko hao MaDr wa CCM na PhD zao fake!!
 
Back
Top Bottom