hakuna uhusiano wowote kati ya kutoenda jkt na kuchaguliwa kwenda chuo,,, wew saiv sahau kuhusu jkt uhakikshe kwamba unajua nn hatima ya loan board kwanz
Kuna shule moja ya advance ipo ARUSHA inajulikana kama ENABOISHU HIGH SCHOOL ni shule nzur ada ni nafuu,,,, Kwenye hyo shule yupo madam anaitwa KELEN anawalipia ada watu ambao hawana uwezo so kama angepata mawacliano yake nahisi dogo huyo angefaidika. Kinachotakiwa ni kuwa muwazi na ueleze...
Habari zenu ndugu.
Mm ni kijana wa miaka 22 bado nasoma chuo kimoja hapa nchini.
Mwaka huu mwezi wa 2 mpenzi wangu aliniambia amepata ujauzito baada kukutana nae kimwil mwaka jana mwez wa 12,,, lakin shida inakuja baada ya kuwaambia ndugu zangu kuhusu suala hilo ambapo mgawanyiko ulitokea baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.