Huyu single mother kanin'gan'gania sana

Huyu single mother kanin'gan'gania sana

Kuna msemo wa kitoto tulikuwa tunasema ukianguka na baiskeli basi weye tayari umejua sasa tuendelee hivi hivi kuchapia na wengine wanafaidika kwa ukosolewaji lugha inapanda jamani imekuja kwa jahazi sijui ngalawa mambo ya pepo za kusi na kaskazi haya.
Mkuu umeonaee?
 
Ungeandika kiswahili tu usingeeleqeka ?
ni kuchanganya kidogo angalau tujue kidogo walau na kiingereza tunaeza rekebisha matumiz yetu ya lugha zote mbili maana zote in muhm
 
nilitaka kukuita unifafanulie alichokiandika kumbe umeshafika?
umeona mkuu how language can be interested to person? bora angenambia sina competence au umahiri so ata yeye hayupo good in English language
 
Ukitoa Mada amua iwe ya kiingereza au kiswahili. Huu mchanganyiko mchanganyiko ni ishara ya kuwa mkubwa kimwili Lakin akili ndogo!!!!! Sijui mna virus gani?
 
Mkipewa offer hamtaki pia mkiwekwa ATM mnalalamika sasa kumbe mnataka nini.... We nipe iyo namba kwanza mm nafuta watu wakuchat nao saa 6 ucku mpaka alfajir...
 
Sijapenda matumizi yako ya lugha,,, huu ni ulimbukeni,, na uhaba wa fkira mbona mnapenda kushusha hadhi lugha yetu.? tumia lugha moja,bhana,,, uandishi huu wanatumia wadada wa vyuo vkuu kamana wew ni mdada niambie
 
Hata ucngeandika broken but huu ni uhaba wa fikira,na ulimbuke,,, unaandika kama wasichana bhana,, tumia lugha moja tu utaeleweka tena vzur
 
Sijapenda matumizi yako ya lugha,,, huu ni ulimbukeni,, na uhaba wa fkira mbona mnapenda kushusha hadhi lugha yetu.? tumia lugha moja,bhana,,, uandishi huu wanatumia wadada wa vyuo vkuu kamana wew ni mdada niambie
sawa boss
 
Ukitoa Mada amua iwe ya kiingereza au kiswahili. Huu mchanganyiko mchanganyiko ni ishara ya kuwa mkubwa kimwili Lakin akili ndogo!!!!! Sijui mna virus gani?
sawa Mkuu sitardia tena
 
Mkipewa offer hamtaki pia mkiwekwa ATM mnalalamika sasa kumbe mnataka nini.... We nipe iyo namba kwanza mm nafuta watu wakuchat nao saa 6 ucku mpaka alfajir...
mi silalamikiii chochote hapa ni utashi wangu wa kawaida tu nilikua tu nahitaji kuonyesha maamuz ya kuzaa na kulea bila baba inavyocost kwa wadada. Hili ni suala dogo tu kudili nalo
 
Kiukweli Katika Vitu Ambavyo Nimeshindwa Ni Kuongea Na Simu Usiku.
Hayo Mapenzi Mimi Sinaga Kabisa.
Mnaishiwa Maneno Mnaanza Enhee,Niambie,Tell Me,Mbona Unaguna,Umelala,Umevaaje,Umelalaje,Unafanya Nn,Umelala Na Nani.
Ushenzi Mtupu Kama Na Kuachwa Kwa Sababu Hiyo Niachwe!
 
Kuna somewhere nilienda kucheki issue Fulani, fortunately nikakuta kumbe ni sehemu majirani zangu tuliotoka wote kijijin huwa wanakaa so tukasalimiana and so on.

Among them kulikua na one girl ambae she is just younger kwangu but through story from some people nilikuwa najua she got pregnance and is single mum. Unfortunately on our growth nilimuacha mbali she was neither my friend at that time I grew up and nilimtangulia three classes.

Aliponiona ananikumbuka jina kwa tabu tu, nilipoondoka sasa akaomba namba yangu from mtu their ambae alikua nayo. Akapga ooh Mimi fulan ulikuja hapa Jana naomba tuchart tumechat bt naona anakomaa kutaka kuwa close na Mimi Mara simu SAA sita kasoro.

Namvumilia maana hua mi sio mtumiaji wa simu na pia sitak kumjibu kunya mbovu sana mana lazma we shall meet either kwenye shughul or at village and I m never interested on her kabsaaa na as a single mother sina mpango nae kabsaa sasa ananiuliza na upo wapi? unafanya nini? Lini utanitembelea? najaribu kuonesha simtaki on way that sintamuuza bt haelewwi najiulza ana nikaba kwani mi ndo nilimwahisha hukoo au?
Daah unaongea kama yule mkubwa anayeshughulikia usajili Hazina.
 
Kiukweli Katika Vitu Ambavyo Nimeshindwa Ni Kuongea Na Simu Usiku.
Hayo Mapenzi Mimi Sinaga Kabisa.
Mnaishiwa Maneno Mnaanza Enhee,Niambie,Tell Me,Mbona Unaguna,Umelala,Umevaaje,Umelalaje,Unafanya Nn,Umelala Na Nani.
Ushenzi Mtupu Kama Na Kuachwa Kwa Sababu Hiyo Niachwe!
yaani Mkuu huu ni ushamba ulioptiliza mi kwa upande wako naona waafrica tunadandia treni kwa mbele wenzetu wapo mbali na wapo kwenye peak sis tunaiga na hali tunatambaa kimaendeleo
 
Back
Top Bottom