Loans Board kuweni serious na mfumo wa kuapply mkopo

WEKKI

JF-Expert Member
Feb 17, 2014
477
145
Ni wiki nzima sasa tangu Loans Board wafungue maombi ya mkopo kupitia OLAS. Kinachokera watu wanataka wawahi jeshini halaf kila ukiingia OLAS ukaweka mpesa code unaambiwa haipo kwenye mfumo wao.

Kama Loans Board wameshindwa kuhandle application za mkopo ni kazi basi wapewe wengine maana watu wana shughuli kibao za kufanya ila wiki nzima sasa tunahaha na application za mkopo.

Kuweni serious, muda unaenda na hakuna jipya.
 
NI WIKI NZIMA SASA TANGU LOAN BOARD WAFUNGUE MAOMBI YA MKOPO KUPITIA OLAS. KINACHOKERA WATU WANATAKA WAWAHI JESHINI HALAF KILA UKIINGIA OLAS UKAWEKA MPESA CODE UNAAMBIWA HAIPO KWENYE. MFUMO WAO.

KAMA LOAN BOAD WAMESHNDWA KUHANDLE APPLICATION ZA MKOPO N KAZI BASI WAPEWE WENGINE MAANA WATU WANA SHUGHULI KIBAO ZA KUFANYA ILA WIKI NZIMA SASA TUNAHAHA NA APPLICATION ZA, MKOPO .
KUWEN SERIOUS DA UNAENDA NA HAKUNA JIPYA.

kuwa mpole mkuu, ila kiukweli loan board wanazingua kinoma, chamsingi tuvute subira maana hii ni serikali mpya ukute wanaweka mambo sawa.
 
NI WIKI NZIMA SASA TANGU LOAN BOARD WAFUNGUE MAOMBI YA MKOPO KUPITIA OLAS. KINACHOKERA WATU WANATAKA WAWAHI JESHINI HALAF KILA UKIINGIA OLAS UKAWEKA MPESA CODE UNAAMBIWA HAIPO KWENYE. MFUMO WAO.

KAMA LOAN BOAD WAMESHNDWA KUHANDLE APPLICATION ZA MKOPO N KAZI BASI WAPEWE WENGINE MAANA WATU WANA SHUGHULI KIBAO ZA KUFANYA ILA WIKI NZIMA SASA TUNAHAHA NA APPLICATION ZA, MKOPO .
KUWEN SERIOUS DA UNAENDA NA HAKUNA JIPYA.
acha utani wewe utaliwaa,bado hawajafunguaa
 
Ni wiki nzima sasa tangu Loans Board wafungue maombi ya mkopo kupitia OLAS. Kinachokera watu wanataka wawahi jeshini halaf kila ukiingia OLAS ukaweka mpesa code unaambiwa haipo kwenye mfumo wao.

Kama Loans Board wameshindwa kuhandle application za mkopo ni kazi basi wapewe wengine maana watu wana shughuli kibao za kufanya ila wiki nzima sasa tunahaha na application za mkopo.

Kuweni serious, muda unaenda na hakuna jipya.
TAARIFA NI KWAMBA BODI YA MIKOPO BADO HATUJAFUNGUA APPLICATION,
 
Basi ninyi mlio na uhakika siku wakifungua julishen humu ili vijana waende
 
Ni wiki nzima sasa tangu Loans Board wafungue maombi ya mkopo kupitia OLAS. Kinachokera watu wanataka wawahi jeshini halaf kila ukiingia OLAS ukaweka mpesa code unaambiwa haipo kwenye mfumo wao.

Kama Loans Board wameshindwa kuhandle application za mkopo ni kazi basi wapewe wengine maana watu wana shughuli kibao za kufanya ila wiki nzima sasa tunahaha na application za mkopo.

Kuweni serious, muda unaenda na hakuna jipya.
Bro Umeliwa Chako Kiulaini, HESLB bado Kabisa Hawajaanza Kupokea Maombi yoyote, Na kwasasahivi Hawahusiki na Upotevu Wowote wa Hela Yako.
Hakuna Official Announcement yoyote iliyotolewa na Bodi ya Mikopo ya Kupokea Maombi.
 
Hawahusiku...?? hiyo.hela n
Bro Umeliwa Chako Kiulaini, HESLB bado Kabisa Hawajaanza Kupokea Maombi yoyote, Na kwasasahivi Hawahusiki na Upotevu Wowote wa Hela Yako.
Hakuna Official Announcement yoyote iliyotolewa na Bodi ya Mikopo ya Kupokea Maombi.
Hawahusiki?? hiyo.hela.ntairudshaje.sasa??.nldhan washafungua.nkalipa30 yangu maana.nna pressure.za kwenda jkt
 
Hawahusiku...?? hiyo.hela n
Hawahusiki?? hiyo.hela.ntairudshaje.sasa??.nldhan washafungua.nkalipa30 yangu maana.nna pressure.za kwenda jkt
Hiyo Hela Sidhani Kama Utaweza Kuipata Tena, Na Niliposema Hawahusiki Ni Kwamba Hile System ya M-pesa na Airtel-money ndiyo automatically inayokata Hela hata kama si muda wa kuapply.
kwahiyo rabda Uwapigia hao Voda/Airtel Uangalie Zari Kama Unaweza Ambulia Chochote.
 
Kikubwa tunachohofia jeshin muda unakaribia na hatuwez enda bila kujaza mkopo
 
wewe ucwaze jeshi waza kwanz HESLB,, labda kama mzee wako ni waziri lakn kama ni mtt wa mkulima hakikisha unajaza kwanz form za mkopo
 
Back
Top Bottom