Recent content by MR BINGO

  1. MR BINGO

    Nani apewe maua yake kwa review kali za magari: Abel Shoo wa east cars, Dr. Mechanics, Mshana Jr au Samatimes

    Samatime Hana mpinzani kwenye uandishi East cars Yuko vizur ila I will go with Dr mechanics
  2. MR BINGO

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    tell me you were not watching Liverpool games without telling me "you were not watching Liverpool games" nigga klop miaka yake mitatu kama siyo minne ya mwanzo alikuwa anachezesha vijana Sana tu kwenye hizo carabao na FA ukiuchimba huu Uzi wenyewe utakuonyesha jinsi gani watu walikuwa...
  3. MR BINGO

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Sasa rasmi wavulana ELLIOTT KELLEHER wamekuwa wanaume
  4. MR BINGO

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    I was impressed by Elliott yesterday ila nadhani inabid pale mbele wawe wanabadilishana position maana 1st half Diaz alifichwa Sana na yule dogo Rasta (mengi)....Diaz awe anaenda kwa Elliott, Elliott acheze kati kama false 9 na gakpo akae kwa Diaz kuwachanganya wapinzani
  5. MR BINGO

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    timu imecheza vizur juzi tu hapa na yeye kaiona Leo kawaacha wachezaji karibia wanne nje...ntamwelewa kwa szobo ambaye alikuwa anaumwa ila kwa Nunez na Bradley amekosea aisee Grav's naye bado Hana Ile fluidity ya EPL Bora hata dogo Elliott
  6. MR BINGO

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    klop mtoe huyo mholanzi aisee
  7. MR BINGO

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    TAA kikombe alichomnywesha Clyne nahisi hicho hicho anaenda kukinywa yaan TAA anapasha dogo Bradley anampiga bonge moja la assist kwa Diaz kama ni kocha mwingine unaweza kuona aibu kumtoa unamwambia TAA arud kwanza kwenye bench On a serious note though Trent anatakiwa Sasa apambanie kombe...
  8. MR BINGO

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    that's the Liverpool Way ndugu yangu Nunez angekuwepo Tz tungesema amelogwa aisee Leo utulivu alikuwa nap wakutosha sema ndo hivyo kila kila akiona mpira umetoka kwa Nunez anageuka kuwa prime De gea
  9. MR BINGO

    Wenye nyumba kuweni waelewa

    Nakuombea siku na wewe uwe mwenye nyumba ili ujue wanayopitia Real estate business in Tanzania ni pasua kichwa just imagine mtu akienda dukani analipa Cash na hata akikopa analipa ila akidaiwa na mwenye nyumba anaona anasumbuliwa kuliko kujenga nyumba ya kupangisha zingatia location tu utoe...
  10. MR BINGO

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Jones has been Fabolous tuombe Mungu wasimuumize Tena maana injini yake ni ya Diesel Inachelewa kuchanganya Diogo Jota that's someones you can count on (mchezaji ambaye ukimuona benchi wakati mambo ni mabovu kidogo unapata tumaini)he is giving Dirk kuyt vibes Diaz had ana amazing performance...
  11. MR BINGO

    Papi Kocha na babu Seya! Mbona kimya sana?

    pesa za live band zinakusahaulisha kwenda studio muulize Banana Zoro
  12. MR BINGO

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    [emoji419]said it.....we lost two easy points hiyo ya arsenal nayo ni a must win game maana unai naye hana urafiki na sisi kabisa maadui wanakuwa wengi tu -Mwanangu szobo sijui wamempiga misumari aisee[emoji18]
  13. MR BINGO

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    tunatakiwa tuwe makini Sana mechi ya kesho tusiingie tukiwa overconfident maana Kuna kombe la Ligi tulishapoteza kwa kudraw na Man u wakti wakiwa wako hoi na sisi tulikuwa vizuri Sana(ilikuwa OT) Game ya arsenal nayo tunatakiwa tuwe makini kupitiliza tukishinda hiyo the future is...
  14. MR BINGO

    Kisa Chid Benz, bifu la Lady Jaydee na Ray C laibuka upyaaaaaa

    hivi kweli mtu uko serious unauliza hit songs za jide chukua album ya binti utapata hitsong 5 hiyo ni album moja tu
Back
Top Bottom