Recent content by MR BINGO

  1. MR BINGO

    JamiiForums Tanzania Odemba hayuko analytical kama Khalifa wa The Chanzo

    ni kama msanii wa hip hop anayetafuta punchline wakati wote ukiwa analyitical catchy moments zitakuja tu haina haja ya kuziforce.......binafsi sikuona haja ya kumuuliza kihongosi nchimbi yuko wapi (hili halikuwa na mantiki)
  2. MR BINGO

    JamiiForums Tanzania Michango ya Harusi Single 100,000 na Dabo 150,000, watu wanaumia kimoyomoyo!

    waongo tu hawa wanajimwambafy hapa
  3. MR BINGO

    JamiiForums Tanzania Kwa nini nyama choma nyingi bongo ni ngumu sana?

    marination 0.....watu wanapika kama wamekurukupushwa
  4. MR BINGO

    JamiiForums Tanzania Maskini Pacome. Kweli kuimba kupokezana. "Kama Simba hawataki Kuguswa wakacheze karata" Pacome leo kaguswa

    watu ni either hamjui mpira au mmeweka mahaba ya timu mbele Hiyo foul ukisema jamaa amekusudia kumuumiza pacome utakuwa mwongo kwa sababu it's clearly alikuwa anataka kucheza mpira or kufanya tackling block ambayo bahati mbaya imekutana na mguu wa pacome ukiwa kwenye movement
  5. MR BINGO

    JamiiForums Tanzania Mwanamke akiwa na harufu namuacha aisee

    chanzo cha hiyo hali huwa ni nini?
  6. MR BINGO

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Mange kimambi una hoja je baada ya matokeo nini na pia dhumuni lako nini?

    Mange alikuwa anampinga sana Magufuli lakini asingeweza kushawishi watu waandamane kipindi cha Magufuli (WASINGEKUBALI) Swali mnalotakiwa kujiuliza nyie chawa ni kwa nini sasa hivi amefanikiwa kuwashawishi (actually serikali imemsaidia pakubwa kuwapa wananchin ushawishi) NB:Na mshukuru Mungu...
  7. MR BINGO

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    huyu na ndugu zake frimpong na Connor Bradley ndo chanzo cha matatizo yetu mimi siwez kumlaumu kocha bado hata tukifungwa mechi 10 mfululizo we have to find a way to build up our play from the center maana sasa hivi mashambulizi kuanzia kwa gravenberg timu pinzani zimeshstuka zinapiga...
  8. MR BINGO

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    nilisema hapa kwenye mechi ya kwanza kabla ya tsimikas hajaondoka kuwa aachwe cause Kerkez is "not him" na Robertson amechoka KIUFUPI root ya matatizo yetu ni wing backs zetu kushindwa kufanya build ups na hatuwez kufanya build up from the center
  9. MR BINGO

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    From NUNEZ TO ISAK Kweli mtu sie nyau usimkatie mtu tamaa
  10. MR BINGO

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Elliot slow????when???where???? he was a good soldier na huko alikoenda atakichafua sana huyu dogo mark my words
  11. MR BINGO

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    ushindi wa leo mzuri sana maana umewakata kidomodomo arsenal wamezoea kuja anfield kutafuta draw halafu wanavimba mtaani ila naomba nielekezwe kama mtoto wa darasa la tatu..... majukumu ya wirtz ni yapi hasa? na mpaka sasa hv tunarate vp utekelezaji wake katika hayo majukumu yake
  12. MR BINGO

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    narudia kusema hili kama Kostas tsimikas hajaondoka basi asiuzwe cause he's way better than Kerkez na Robertson is washed hatuwez kumtegemea.....goli la kwanza ni la Kerkez 100%. wirtz kuna haja ya kurudi gym maana ni kama anakuwa bullied physically
  13. MR BINGO

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe Ubunge atausikia redioni tu, CCM ni mafundi sana kumpelekea Baba Levo!

    Yaani zitto ndo kamleta baba levo kwenye siasa halafu unasema zitto hamuwezi baba levo.
  14. MR BINGO

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    naona Kostas anasepa ila mimi kwa upande wangu naona bora angesepa Robertson maana hata huyu Kerkez aliyekuja sioni kama ni mzuri kihivyo(tuseme haja adopt)
  15. MR BINGO

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    bila 55M mtu asije kumtaka Elliot
Back
Top Bottom