tell me you were not watching Liverpool games without telling me "you were not watching Liverpool games"
nigga klop miaka yake mitatu kama siyo minne ya mwanzo alikuwa anachezesha vijana Sana tu kwenye hizo carabao na FA ukiuchimba huu Uzi wenyewe utakuonyesha jinsi gani watu walikuwa...
I was impressed by Elliott yesterday ila nadhani inabid pale mbele wawe wanabadilishana position maana 1st half Diaz alifichwa Sana na yule dogo Rasta (mengi)....Diaz awe anaenda kwa Elliott, Elliott acheze kati kama false 9 na gakpo akae kwa Diaz kuwachanganya wapinzani
timu imecheza vizur juzi tu hapa na yeye kaiona Leo kawaacha wachezaji karibia wanne nje...ntamwelewa kwa szobo ambaye alikuwa anaumwa ila kwa Nunez na Bradley amekosea aisee
Grav's naye bado Hana Ile fluidity ya EPL Bora hata dogo Elliott
TAA kikombe alichomnywesha Clyne nahisi hicho hicho anaenda kukinywa
yaan TAA anapasha dogo Bradley anampiga bonge moja la assist kwa Diaz kama ni kocha mwingine unaweza kuona aibu kumtoa unamwambia TAA arud kwanza kwenye bench
On a serious note though Trent anatakiwa Sasa apambanie kombe...
that's the Liverpool Way
ndugu yangu Nunez angekuwepo Tz tungesema amelogwa aisee Leo utulivu alikuwa nap wakutosha sema ndo hivyo kila kila akiona mpira umetoka kwa Nunez anageuka kuwa prime De gea
Nakuombea siku na wewe uwe mwenye nyumba ili ujue wanayopitia
Real estate business in Tanzania ni pasua kichwa just imagine mtu akienda dukani analipa Cash na hata akikopa analipa ila akidaiwa na mwenye nyumba anaona anasumbuliwa
kuliko kujenga nyumba ya kupangisha zingatia location tu utoe...
Jones has been Fabolous tuombe Mungu wasimuumize Tena maana injini yake ni ya Diesel Inachelewa kuchanganya
Diogo Jota that's someones you can count on (mchezaji ambaye ukimuona benchi wakati mambo ni mabovu kidogo unapata tumaini)he is giving Dirk kuyt vibes
Diaz had ana amazing performance...
[emoji419]said it.....we lost two easy points
hiyo ya arsenal nayo ni a must win game maana unai naye hana urafiki na sisi kabisa maadui wanakuwa wengi tu
-Mwanangu szobo sijui wamempiga misumari aisee[emoji18]
tunatakiwa tuwe makini Sana mechi ya kesho tusiingie tukiwa overconfident maana Kuna kombe la Ligi tulishapoteza kwa kudraw na Man u wakti wakiwa wako hoi na sisi tulikuwa vizuri Sana(ilikuwa OT)
Game ya arsenal nayo tunatakiwa tuwe makini kupitiliza tukishinda hiyo the future is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.