Recent content by MR BINGO

  1. MR BINGO

    Ni kweli Mange kimambi una hoja je baada ya matokeo nini na pia dhumuni lako nini?

    Mange alikuwa anampinga sana Magufuli lakini asingeweza kushawishi watu waandamane kipindi cha Magufuli (WASINGEKUBALI) Swali mnalotakiwa kujiuliza nyie chawa ni kwa nini sasa hivi amefanikiwa kuwashawishi (actually serikali imemsaidia pakubwa kuwapa wananchin ushawishi) NB:Na mshukuru Mungu...
  2. MR BINGO

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    huyu na ndugu zake frimpong na Connor Bradley ndo chanzo cha matatizo yetu mimi siwez kumlaumu kocha bado hata tukifungwa mechi 10 mfululizo we have to find a way to build up our play from the center maana sasa hivi mashambulizi kuanzia kwa gravenberg timu pinzani zimeshstuka zinapiga...
  3. MR BINGO

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    nilisema hapa kwenye mechi ya kwanza kabla ya tsimikas hajaondoka kuwa aachwe cause Kerkez is "not him" na Robertson amechoka KIUFUPI root ya matatizo yetu ni wing backs zetu kushindwa kufanya build ups na hatuwez kufanya build up from the center
  4. MR BINGO

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    From NUNEZ TO ISAK Kweli mtu sie nyau usimkatie mtu tamaa
  5. MR BINGO

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Elliot slow????when???where???? he was a good soldier na huko alikoenda atakichafua sana huyu dogo mark my words
  6. MR BINGO

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    ushindi wa leo mzuri sana maana umewakata kidomodomo arsenal wamezoea kuja anfield kutafuta draw halafu wanavimba mtaani ila naomba nielekezwe kama mtoto wa darasa la tatu..... majukumu ya wirtz ni yapi hasa? na mpaka sasa hv tunarate vp utekelezaji wake katika hayo majukumu yake
  7. MR BINGO

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    narudia kusema hili kama Kostas tsimikas hajaondoka basi asiuzwe cause he's way better than Kerkez na Robertson is washed hatuwez kumtegemea.....goli la kwanza ni la Kerkez 100%. wirtz kuna haja ya kurudi gym maana ni kama anakuwa bullied physically
  8. MR BINGO

    Zitto Kabwe Ubunge atausikia redioni tu, CCM ni mafundi sana kumpelekea Baba Levo!

    Yaani zitto ndo kamleta baba levo kwenye siasa halafu unasema zitto hamuwezi baba levo.
  9. MR BINGO

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    naona Kostas anasepa ila mimi kwa upande wangu naona bora angesepa Robertson maana hata huyu Kerkez aliyekuja sioni kama ni mzuri kihivyo(tuseme haja adopt)
  10. MR BINGO

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    bila 55M mtu asije kumtaka Elliot
  11. MR BINGO

    Sioni Rais Samia akiongoza miaka 5 ijayo.

    haya maneno ni kama yanachekesha au hayana uhalisia ila kwa miezi miwili now mimi pia sioni kama Samia atakuwa rais wa awamu ijayo NB: Inawezekana ni ndoto zangu za mchana tu lakini I'm so convinced by it siyo kikawaida
  12. MR BINGO

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    JOnes naona ana damu ya kunguni watu huwa hawampi credits anazostahili ila siyo kwenye mechi ya leo tu ila kuna mechi nyingi akiingia huwa anajua kutuliza timu na kuifanya icheze mpira unaoeleweka kitu ambacho grav na Szobo huwa kinawashinda
  13. MR BINGO

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    huyu ekeitike mbona nimemcheki naona hata Nunez ana afadhali.....mpira hautulii mguuni kabisa yaan Au mm ndo nimemuangalia kwa wenge
  14. MR BINGO

    Hivi kuna propaganda iliyofanikiwa kwa miaka ya karibuni kuzidi "Ruto must go"?

    Nchini kenya kumekuwa na maandamano ya kila mara yaliyoibuka kuanzia Rais William Ruto alivyoingia madarakani na yamekuwa yakishinikiza mambo mbalimbali yanayofanywa na Ruto na tukumbuke kuwa Ruto aliingia madarakani September 2022 na maandamano ya kwanza yalikuwa March 2023. Kwa kipindi hicho...
  15. MR BINGO

    GE2025 Money VS Power: Siri ya Matajiri na Watu maarufu kuutaka Ubunge Tanzania

    Hiyo ni mbinu mojawapo inayotumika pia ukiona Babu Tale yuko bungeni na Romy Jons anautaka ubunge ujue Diamond anahusika 100% Ukiona Hersi anaenda kugombea ubunge ujue GSM anahusika 100% Hivyo hizo endorsement zinatumika sana kuingiza watu bungeni kwa maslahi maalumu japokuwa endorsement...
Back
Top Bottom