Mwanamke akiwa na harufu namuacha aisee

Mwanamke akiwa na harufu namuacha aisee

Niambie Tu

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2022
Posts
272
Reaction score
700
Habari.

Mimi sijui nina shida gani wazoefu.

Nikibahatika kulala na mwanamke yoyote nikakutana na harufu kali Ile ya shombo nashindwa kuelewa sijui wanawake hawajijui kama baadhi wanatoa harufu.

Aisee hata niwe serious vipi na wewe kwa mahusiano Tutaachana Tu
 
Mwanaume ni kiongozi,unashindwa nini kumsaidia aondokane na hiyo harufu?
Niambie Tu Kumwacha tu bila kumsaidia ni Utoto, though Kuna wengine ukiwaambia ndio kamwe hatakaa akusemeshe, anakuchukia ila ukipata atakayekuwa muelewa na kukubali ni jambo la heri.

Ila pia Mwanaume unapaswa utafute mhl na namna poa ya kumueleza sio kumropokea mbele za watu...au km vp unamuwekea clips zinazoonesha namna ya bora ya kusafisha hilo eneo au km ni Bacterial infections unamletea dawa.. that''s all
 
Mwanaume ni kiongozi,unashindwa nini kumsaidia aondokane na hiyo harufu?
Poleni sana mabinti wa kizazi cha sasa kwani mnagombea nafasi moja ya kuolewa na vijana wa sasa wanaowananga na kuwadhalilisha kutwa humu ili mkose kujiamini ili waolewe wao.

Kumekuwa na shinikizo kubwa la kuwasema na kuwadhalilisha ili msijiamini kama mabinti na ndio chanzo cha hizi threads nyingi humu JF za kuwa bully kutoka kwa vijana waliotoka kundini kawa mleta muanzisha uzi. 😂😂
 
Habari.

Mimi sijui nina shida gani wazoefu.

Nikibahatika kulala na mwanamke yoyote nikakutana na harufu kali Ile ya shombo nashindwa kuelewa sijui wanawake hawajijui kama baadhi wanatoa harufu.

Aisee hata niwe serious vipi na wewe kwa mahusiano Tutaachana Tu
mwanzo nilijua hii tabia ninayo peke yangu dah na ukweli huwa napotezaga hamasa ya kiwa naye karibu tena kila nikiikumbuka hamu yote inakata
 
Habari.

Mimi sijui nina shida gani wazoefu.

Nikibahatika kulala na mwanamke yoyote nikakutana na harufu kali Ile ya shombo nashindwa kuelewa sijui wanawake hawajijui kama baadhi wanatoa harufu.

Aisee hata niwe serious vipi na wewe kwa mahusiano Tutaachana Tu
Na wewe ukiwa na Uvundo, uachwe?
 
Habari.

Mimi sijui nina shida gani wazoefu.

Nikibahatika kulala na mwanamke yoyote nikakutana na harufu kali Ile ya shombo nashindwa kuelewa sijui wanawake hawajijui kama baadhi wanatoa harufu.

Aisee hata niwe serious vipi na wewe kwa mahusiano Tutaachana Tu
ni muhimu sana na ni vizuri kusaidiana na kuambiana ukweli mtupu gentleman, bila aibu wala kificho au kuvumilia harufu kali na mbaya sana.

Wanazisafisha sana na kuondoa bakteria wa kutunza mazingira ya nyuchi zao na kuvaa mavazi ya kiume kama vile suruali na hivyo nyuchi zinashindwa kupumua na matokeo yake nyuchi hizo huchacha ndani ya muda mfupi tu na kutoa harufu kali zaidi ya feri.

Tuambiane ukweli itasaidia sana,

na hata mabrazameni watanashati wa mjini na vijijini, wanalalamikiwa sana kwa harufu zao kali na mbaya sana za uvundo uliochachuka kwenye sehemu zao za siro.
Lakini pia hawaswaki kabisa.

Ni muhimu sana kwa wanaume kuzingatia hili pia na kulifanyia kazi, hii itasaidia sana kuimarisha mahusiano na kuondoa manung'uniko ya chini chini 🐒
 
Ni kweli, harufu ya uvundo na shombo inakata mizuka ya kummang'anyua mwanamke.

Lakini kuna wale wanawake ambao wanakuwa na ile harufu (mnukio) wa asili wa mwanamke........nazungumzia mwanamke ambaye hatumii manukato wala vipodozi vya aina yyt anakuwa na harufu ya mtu mwanamke aseeeeeh anakuwa na mvuto wa aina yake kunako mitiano
 
Back
Top Bottom