Wadau naombeni msaada wa kujua dawa ya kutibu harufu ya kikwapa permanently, nimechoka kutumia deodorants daily, naomba anaefahamu dawa yeyote whether mbadala au kawaida, pliiiz, with thaks!
jamani hii hoja ya ukabila imekua ikiendelezwa na wavivu wa kufikir,tunaangalia ilani na mipango ya chama kwa watanzania,hivi tukisema ccm imejaa watoto wa wakubwa waliorithishwa vyeo mtasemaje,we angalia kama jina lako halina ubini wa,kawawa,nnauye,makamba,mzindakaya,huna chako ccm,lakini...
sasa jaman kweli nape unajivunia kwa hili? kubakiza watoto mikutanoni mh?,hivi kwa akili yako unajua kwanini tumekua tukihamasika kwa wingi kwenda kuwasikiliza wapinzani coz wameonekana kuwa wapo karibu yetu kuliko nyinyi mmejaa vitambi tu na pengine kuhemea juu juu,wakati maisha yetu magumu
sasa jaman kweli nape unajivunia kwa hili? kubakiza watoto mikutanoni mh?,hivi kwa akili yako unajua kwanini tumekua tukihamasika kwa wingi kwenda kuwasikiliza wapinzani coz wameonekana kuwa wapo karibu yetu kuliko nyinyi mmejaa vitambi tu na pengine kuhemea juu juu,wakati maisha yetu magumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.