Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,570
- 19,443
BTW: Wanafunzi wale walikuwa na sababu legitimate kabisa. hata katika chuo ninakofanyia kazi, tulifanya curriculum review tukaagiza Mathematics department inavyofundisha math kwa engineering ikumbuke kuwa sisi tunataka applications za mathematics, siyo abstract content ya mathematical theories. Kwa hiyo tumeweka guiedlines za kuhakikisha kuwa Math inawapa wanafunzi wetu tools za kusolve engineering problems, siyo tools za kuwa theoreticians tu. Wakati huo Engineering Math iliyokuwa inafundishwa kwa wanafunzi wetu FoE ilikuwa inaelekea kutayarisha mathematical theorists wa aina ya DEFINITION+THEOREM+PROOF; hata vitu basic kabisa katika vector analysis, differential equations, real analysis na compex analysis ambayo ndiyo ilikuwa core ya engineering math, vilikuwa vinatoweka. Kuna wakati walikuwa wakifundishwa Topology mahala pa Real Analysis, bila wao kujua kutokana na kuwa mathematicians wanaona Real Analysis kama sehemu laini ya Topology. Ila wanafunzi walipokosa msimamo basi waalimu tukawaachia wajijue wenyewe.