Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

Ruhazwe jr pole sn ila najua wenye kukufitini wapo humu humu
Pia Madame B ni kwa ajili ya heat and run nilishangaa unaoa lol
Nawewe ulichemsha kweli

yamesha nikuta sina jinsi,yaan huwezi amini shemeji yako alishafikia hatua mpaka ya kutembe bila kuvaa pichu,namuuliza eti anajisikia joto,juzi tu nikamkuta kainamisha kwenye garden ya nyumbani kwangu na houseboy wangu Bishanga sijakb sawa kaniacha ndani nimelala naumwa,anadai anamfata dokta kumbe yupo kwa jilani anajipimia,mi sina hamu kabisa hiv namgoja mama yangu Mamndenyi nione atatoa ushauri gan
 
Last edited by a moderator:
Mh! Mie sisemi nisije kuwa shehata

nashukuru ulipokua unagonganae gest hukusita kunipigia simu, very good Comi najua unamengi ya kuyasema ila we jinyamanzie tu usije ntia aibu bure
 
Last edited by a moderator:
Unaweza toa neno kumbe wanataka kufunga ndoa ya maandazi kimya kimya baadae upate aibu,michango yetu ndiyo watafanyia mradi wao

muulize shemeji Kijino atakuambia ukweli,mamamkwe mwenyewe ametimkia Tanga sijui kaenda kumtafutia dawa mwanae ili nisimpige chin?....maana shemeji Kijino aliniambia kua mama yake anastress juu ya hili we acha tu
 
Last edited by a moderator:
Mamndenyi uko wapi mama yangu?maji yamezidi unga,yule binti niliyekuja kumtambulisha kwako kuwa ndio mtalajiwa wangu ameota mapembe,mwanao nalia mama sitaki harus tena.
 
Last edited by a moderator:
muulize shemeji Kijino atakuambia ukweli,mamamkwe mwenyewe ametimkia Tanga sijui kaenda kumtafutia dawa mwanae ili nisimpige chin?....maana shemeji Kijino aliniambia kua mama yake anastress juu ya hili we acha tu

co mamamkwe aliyeenda TA, Madame B ndo ameenda huko kupumzika kwa mda, ila kasema akirudi ataniambia ukweli, mana kila nikipiga cm anasema subiri nirudi, ila ndoa itafungwa na wala c ya kimyakimya, Ruhazwe JR, Madame B bado anakupenda, ucwe na hofu
 
Last edited by a moderator:
co mamamkwe aliyeenda TA, Madame B ndo ameenda huko kupumzika kwa mda, ila kasema akirudi ataniambia ukweli, mana kila nikipiga cm anasema subiri nirudi, ila ndoa itafungwa na wala c ya kimyakimya, Ruhazwe JR, Madame B bado anakupenda, ucwe na hofu

no!,no!,no!.....hata ashuke mungu aseme tusamehane sipo tayar piga ua galagaza....
 
Ruhazwe JR,
mwanangu nilikuambia hawa mabinti ya leo
wote ni wazuri wanang'aa wote,
twende kijijini tukatafute binti,
ukasema kijijini nako ni hivyo hivyo mama,

Tulia kwanza malizia PHD yako utapata binti mwingine,
umesikia eeeh.

Mamndenyi uko wapi mama yangu?maji yamezidi unga,yule binti niliyekuja kumtambulisha kwako kuwa ndio mtalajiwa wangu ameota mapembe,mwanao nalia mama sitaki harus tena.
 
Ruhazwe JR
kwani mchumba akikukataa na mimi mama yako unaninunia
wapo wengi hapa jf utapata mwingine ondoa hofu.
 
Ruhazwe JR
kwani mchumba akikukataa na mimi mama yako unaninunia
wapo wengi hapa jf utapata mwingine ondoa hofu.

mmmmh!...mwanao nilikutananae wakati naenda kisimani alikua anakamba mbuzi mkono sikujua kinachoendele,sasa sijui vp itabid ufatilie maana haya mambo ya mapenzi unaweza kujikuta umempoteza kijana wako
 
Kwa ulivyokua ukinijibu wakati nakuonya kuhusu huyo shemeji wacha yakukute tu.

Nakumbuka ulifikia hata kunifukuza kwako kwamba naleta umbea, na ukafikia hata kusema yale yote nliyokuambia kuhusu huyo demu wako, tena mbele yake.

Unakumbuka ulifikia kunitukana kama namtaka niseme tu, kuliko kuzusha maneno ili muachane nimchukue?

Wewe ni ndugu yangu, lakini bora yalivyokukuta!!!!
 
Back
Top Bottom