Dereva wa lori kakodiwa akamwage takataka.....akaenda kumwaga .....alipoondoka kuna wale watu wanachambuachambua taka....wakakuta viungo.....hawajakaa sawa jamaa akarudi kumwaga mara ya pili.....wakamng'ang'ania.......ikabidi awapeleke alikoyatoa.....humo ndani wamekuta nyama za watu....ila...
Mkuu kuna mwingine haoneshi behavioural change yeyote.....utamuona yupo sawa cku zote......na mwingine anazidisha tabia nzur zaidi au anakuwa mwema kupita kiasi kwako.........inakuwa ndo mwamvuli wake wa kujifichia humo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.