Tatizo nini kuhoji? Je wanao hoji hawana haki yakujua cdf yuko wapi? Sio watanzania walioa kodi? Cdf yuko nje kwa pesa za watanzania nasio pesa za familia yake kwa nini wtz wasihoji kiongozi wao wanae mlipa yuko wapi ? Hilo nalo hamlijui halihitaji elimu ya chuo kikuu ,toeni majibu nasio...
Jipange uje na uzi mwingine huu umekwama huna lolote zuzu tu wewe umekalia kupika majungu . Hukuziona hongo namna watu walivyonunuliwa wakati wa kura za maoni ccm? Acha unafki
Wakuu naomba msaada wenu laptop yangu inasumbua sana kwa sasa haisomi network kabisa . upande wa window system haisomi ram wala prosesa sijui tatizo ni nini japo nahisi partition moja ya window imejaa nakuweka alama nyekundu . naomba msaada wenu wakuu mimi sina ujanja wowote juu ya mambo haya
Sijaelewa ni kwa nini hawa shemeji zetu hupenda kufanya hivyo, mara nyingi unakuta hataki ndugu wa mume wakanyage kwa ndugu yao wakati huohuo unakuta yeye karundika wadogo zake wote mama yake mzazi wifi zake wake wa kaka zake wote wamejaa hapo ,
ila ikatokea ndugu wa mume umekwenda kusalimia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.