Familia ya CDF Mwamunyange: Yupo nje ya nchi kwa majukumu ya Kitaifa

Mleta uzi alikuwa na haraka kama kakimbizwa. Ni kwamba wamekanusha uzushi na uzandiki wa watu ktk mitandao juu ya mkuu huyo. Wanasema hizi ni tabia za wanasiasa kutaka kuchanganya watu hasa wakati huu wa kuelekea uchaguzi. Wamesema ndg yao huyo yupo salama kikazi nje ya nchi, na soon atarejea. Kifupi wanadai walozusha mambo haya wameidhalilisha familia yao
Mi najiuliza tu, Dada anadai watu wanazusha wamepewa hela wakanushe, nani alijua watahojiwa mpaka wazushe kwamba wamepewa hela ??? Mke wa Mgimwa Aliwahi kukanusha kwenye situation kama hii lakini ukweli ulifahamika
 
Kwanini azushiwe General Mwamunyange na sio mtu/kiongozi mwingine yeyote? siku hizi teknologia iko juu sana so popote alipo ana uwezo wa kukanusha uzushi huu yeye mwenyewe na watu wakaona na kuamini au hata mkewe basi aseme mumewe yuko salama na hajapewa sumu ama kudhuriwa kwa namna yeyote. mimi binafsi naona kuna kitu hakipo sawa hapa kuhusu huyu mkuu wetu wa majeshi ya ulinzi
 
Hata issue ya Balali ilikuwa hivi hivi, serikali haisemi ukweli, na familia kwa kuihofia serikali inashirikiana nayo kudanganya umma. Haingii akilini Mkuu wa majeshi awe nje ya nchi kwa muda mrefu pasipo serikali kuufahamisha umma hadi pale tetesi zinapoanza kuzagaa hukimbilia kukanusha. Tusubiri, ni suala la muda tu.
 
NIMEJIFUNZA kitu kupitia post hii na comment zake. nilijiuliza kwann wanausupport swala hili ni chadema na wanaopinga ni ccm. hili si jambo la kushabikia kuna siri nzito hapa, hii nchi si ya amani kama tunavyodhani. GENERALI AMEPEWA SUMU KWELI ILI CHADEMA WAKOSE MTETEZI KATIKA MATOKEO YA KUIBIWA KURA. ILA KWAKUA FAMILIA YAKE IMESEMA ANAENDELEA VIZURI, INAWEZEKANA BADO HAJAFA ILA NINAAPA HAMTOMUONA TANZANIA MPAKA UCHAGUZI UPITE. (TAFADHALI USINUKUU MANENO YANGU ISIJE YAKAKUKUTA YA DOKTA MWANGOSI. HII NDO TANZANIA NCHI YA WENYEWE)

mkuu general amekufa nakuhakishia mgimwa ilikuwa ivi ivi amerudi mzima? na hili la general tumwombe mungu ila naona hayupo nasi
 
Jeshi halihitaji kubishana na wapumbavu. Siasa zenu marufuku jeshini

kweli wewe akili zako fupi kama jina lako. kwani hujui kuwa huyo jenerali amekataa ofa ya raisi kwenda kusoma nje ya nchi akisema huu ni wakati wa uchaguzi taifa linahitaji ulinzi wa hali ya juu hivyo yeye hawezi kwenda kipindi hiki. then akasema "matokeo yoyote yatakayo patikana sisi tutayapokea (hiyo haiusiani na siasa?). au unadhani ccm hawajui kama shemeji ana nguvu kuliko chama?
 
kweli wewe akili zako fupi kama jina lako. kwani hujui kuwa huyo jenerali amekataa ofa ya raisi kwenda kusoma nje ya nchi akisema huu ni wakati wa uchaguzi taifa linahitaji ulinzi wa hali ya juu hivyo yeye hawezi kwenda kipindi hiki. then akasema "matokeo yoyote yatakayo patikana sisi tutayapokea (hiyo haiusiani na siasa?). au unadhani ccm hawajui kama shemeji ana nguvu kuliko chama?
Mungu wangu najihisi kuumia moyo...ooh Lord nchi yangu.
 
NIMEJIFUNZA kitu kupitia post hii na comment zake. nilijiuliza kwann wanausupport swala hili ni chadema na wanaopinga ni ccm. hili si jambo la kushabikia kuna siri nzito hapa, hii nchi si ya amani kama tunavyodhani. GENERALI AMEPEWA SUMU KWELI ILI CHADEMA WAKOSE MTETEZI KATIKA MATOKEO YA KUIBIWA KURA. ILA KWAKUA FAMILIA YAKE IMESEMA ANAENDELEA VIZURI, INAWEZEKANA BADO HAJAFA ILA NINAAPA HAMTOMUONA TANZANIA MPAKA UCHAGUZI UPITE. (TAFADHALI USINUKUU MANENO YANGU ISIJE YAKAKUKUTA YA DOKTA MWANGOSI. HII NDO TANZANIA NCHI YA WENYEWE)
Kwahiyo Mwamunyange kumbe ni CHAGGADEMA??
 
Hamuiamini serikali, sasa Familia yake imesema General yuko salama na bado yupo nje ya nchi kikazi.
Kaka yake Kapteni Aden Mwamunyange na Dada yake wamesema huo uzushi unawaumiza kama family .

Source: ITV

Siyo kapteni bwana,ni SACP mstaafu au msemaji wa jeshi la polisi Tanzania mstaafu.
 
Mbowe asipokuwepo chadema in-charge anakuwa nani? Nadhani jamii forums imeingiliwa kuna watu humu ndani nadhani umri wao pengine ni chini ya miaka 12. Maswali gani haya wanauliza?Upo wakati nilitaka kujitoa JF kwa upuuzoi kama huu wa hoja na maswali yasiyo na kichwa wala mguu. Hivi ni swali gani hili la kuuliza kuwa eti asipokuwepo CDF ni nani anakuwa in-charge. Hivi asipokuwepo rais wa nchi ni nani in-charge. Asipokuwepo mkuu wa taasisi ni nani in-charge. Ni maswali ya ajabu kabisa. Hawa UKAWA wanaleta utamaduni mpya katika nchi hii. Ni vema wadhibitiwe mapema. Hawajui hata taasisi zinaendeshwaje. Hawasomi vitabu wala journals. kazi yao ni kupinga each and everything. Wao kutoheshimu mamlaka ndiyo itikadi na sera. Rubbish. Hatuwezi kuwa na nchi ya aina hii, ya watu wasiofikiri. Kwao kufagia barabara ili apite LOWASSA ndiyo mtaji. Kujikusanya uwanjani kwa mamia na maelfu eti ndio mafuriko na ndio ushindi. Umati ule wa magufuli eti ni wa kupikwa na ule wa LOWASSA ndio uhalisia. Hatuwezi kuwa na taifa la watu wasiofikiri. Kuzomea barabarani msafara wa magufuli au samia eti ndio watanzania wameamua kukataa CCM. Yaani wahuni 300 wamekusanywa wajipange barabarani kumzomea magufuli eti kwao ndi watanzania hawaitaki CCM. Wamefunikwa na illussions na emotions. Niliwahi kumuuliza kijana mmoja aliyeahi kutumia madawa na sasa ameacha kutumia madawa hayo ya kulevya kwamba wakati anatumia madawa hayo alikuwa anajisikiaje. Jibu lake lilikuwa ni kuwa alikuwa anajiona kuwa yuko pamoja na Rais George Bush wa Marekani (wakati huo) wakipanga mipango ya namna ya kuongoza dunia. ILLUSIONS.Hao ndio UKAWA, wana ndoto a ajabu.
umeandika makala ndefu sijaona hata cha maana ulichosema zaidi ya wewe kuendeshwa na illussions na emotions kwasababu kama mtu haelewi unamuelewesha otherwise wewe mpumbavu zaidi ya muuliza swali
 
Tatizo nini kuhoji? Je wanao hoji hawana haki yakujua cdf yuko wapi? Sio watanzania walioa kodi? Cdf yuko nje kwa pesa za watanzania nasio pesa za familia yake kwa nini wtz wasihoji kiongozi wao wanae mlipa yuko wapi ? Hilo nalo hamlijui halihitaji elimu ya chuo kikuu ,toeni majibu nasio blablaaa hapa
 

Pathetic! Yaani kwenye 'equations' zako za kuingia ikulu na kuasi kwa jeshi kumo? Yaani mkuu wa majeshi muaminifu ni yule ambaye ukilalamikia bao la mkono, hata kiulongoulongo, AVIAMURU VIKOSI VYA JESHI VIASI? VITAMTII VYOTE? WEWE NA WENZIO MLIOKAZANIA HUU UPUUZI MNATAKIWA MUENDE KIZUIZINI, KWA UHAINI, HADI BAABA YA UCHAGUZI!

NB: WAKATI MWINGINE MPANGILIO WA MAWAZO YA MTU TU UNATOSHA KUKUAMBIA MAMBO MENGI SANA KAMA UMRI, ELIMU, TAALUMA, IQ, MALEZI......
HUU UPUUZI UNAOENDELEA KUHUSU MKUU WA MAJESHI, NINAVYOONA MIMI, NI MJADALA WA WATOTO. NJE YA HAPO NI MJADALA WA WAHAINI NA USALAMA WA TAIFA HAWAFANYI KAZI YAO!

Yaani UMERUSHA POVU, MATE nadhani mpaka JASHO limetoka!! Em kunywa maji kidogo urudishe energy zako!!
Haya rudi kwenye mada, Kwani haiwezekani???
Hahahah, mihemko hii bwana??
 
iv n sahihi kumsemea kwa utetezi mtu aliyeko??wanaosema yupo wako sahh..wanaosema hayupo wako sahh zaid..kwa uma?!!mkuu akijitokeza na kusema kwa mdomo wako utata huo utaisha mtandaon na kwa uma kwa ujumla
 
Mbowe asipokuwepo chadema in-charge anakuwa nani? Nadhani jamii forums imeingiliwa kuna watu humu ndani nadhani umri wao pengine ni chini ya miaka 12. Maswali gani haya wanauliza?Upo wakati nilitaka kujitoa JF kwa upuuzoi kama huu wa hoja na maswali yasiyo na kichwa wala mguu. Hivi ni swali gani hili la kuuliza kuwa eti asipokuwepo CDF ni nani anakuwa in-charge. Hivi asipokuwepo rais wa nchi ni nani in-charge. Asipokuwepo mkuu wa taasisi ni nani in-charge. Ni maswali ya ajabu kabisa. Hawa UKAWA wanaleta utamaduni mpya katika nchi hii. Ni vema wadhibitiwe mapema. Hawajui hata taasisi zinaendeshwaje. Hawasomi vitabu wala journals. kazi yao ni kupinga each and everything. Wao kutoheshimu mamlaka ndiyo itikadi na sera. Rubbish. Hatuwezi kuwa na nchi ya aina hii, ya watu wasiofikiri. Kwao kufagia barabara ili apite LOWASSA ndiyo mtaji. Kujikusanya uwanjani kwa mamia na maelfu eti ndio mafuriko na ndio ushindi. Umati ule wa magufuli eti ni wa kupikwa na ule wa LOWASSA ndio uhalisia. Hatuwezi kuwa na taifa la watu wasiofikiri. Kuzomea barabarani msafara wa magufuli au samia eti ndio watanzania wameamua kukataa CCM. Yaani wahuni 300 wamekusanywa wajipange barabarani kumzomea magufuli eti kwao ndi watanzania hawaitaki CCM. Wamefunikwa na illussions na emotions. Niliwahi kumuuliza kijana mmoja aliyeahi kutumia madawa na sasa ameacha kutumia madawa hayo ya kulevya kwamba wakati anatumia madawa hayo alikuwa anajisikiaje. Jibu lake lilikuwa ni kuwa alikuwa anajiona kuwa yuko pamoja na Rais George Bush wa Marekani (wakati huo) wakipanga mipango ya namna ya kuongoza dunia. ILLUSIONS.Hao ndio UKAWA, wana ndoto a ajabu.

Hahahah..... Yaani kweli Nyani haoni kun.dule, wewe mbona huo most wako mreeeefu halafu pointless watu hawakupigii kelele?? Af usivyo na akili still umeuliza mimaswali ya kishwain ambayo hapo juu ndo unayaponda??
Halafu Mbona hujajitoa JF mpk leo?? Kapumzike jombaa
 
Back
Top Bottom