Anita Baby
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 1,265
- 541
Hata wanaume wapo wasopenda ndugu. ukiona mwenzio hapend ndg ujue una mapunguf coz unayo haki ya kumlazimisha awapende atake asitake. la cvyo mwambie atafute asie na ndg.
Sijaelewa ni kwa nini hawa shemeji zetu hupenda kufanya hivyo, mara nyingi unakuta hataki ndugu wa mume wakanyage kwa ndugu yao wakati huohuo unakuta yeye karundika wadogo zake wote mama yake mzazi wifi zake wake wa kaka zake wote wamejaa hapo ,Sidhani kama ni shida hata wewe una kaka yako hivyo na wewe ni ndugu wa mume pia hivyo na wewe ni shida kwa mke wa kaka yako kama ndio hivyo, tatizo ni la kisaikolojia zaidi yaani watu wanaingia kwenye ndoa wanawaza mabaya dhidi ya ndugu wa mume badala ya kuwaza vitu vizuri vya kufanya pindi wanapoingia kwenye ndoa, kwa kuwa ana mtazamo hasi na ndugu wa mume inakuwa rahisi kukwazika hata kama itatokea wametofautiana kidogo. (hii ni sawa na mtu let say public figure au ndugu yoyote unaempenda hata kama akikosea huoni kwa kuwa unawaza mazuri dhidi yake)
Solution hapa unapokuwa na watoto au wadogo zako au ndugu wa karibu ni kuhakikisha kuutumia ujana vizuri ili mwisho wa siku kila mmoja awe na maisha yake na kama unapita kwa ndugu yako ni siku moja ama mbili unaendelea na mambo yako mpaka wakukumbuke ama imetokea umepita mkoa wanaokaa (maisha ya waafrika hata kama una hela vipi kuna ka eement ka extended family ambazo hazikwepeki sana maana ndio mbadala wa social security just in case kuna matatizo na furaha)
Tatizo ndugu wa wanaume wanamidomo na wanaona wivu vile mumeo anavyokufanyia
Kabla ya kuoa unakuta mwanamke anajipendekeza ukweni mara ampeleke mama mkwe vizawadi ili mradi aolewe akishaolewa vitimbi vinaanza hataki kuona mwanaume anasaidia kwao.
Lakini ukisaidia kwao hakuna shida hivi kweli inafikia sehemu mwanamke anamzuia mume wake kumsomesha mdogo wa ndugu zake wakiwatembelea wanaishi vizuri wakija ndugu wa mwanaume wanaishi kwa gubu.
Wanawake wenye tabia kama hii badilikeni hakuna aijuae kesho unaweza siku moja kwenda kuomba msaada kwa hao uliokuwa unawafanyia gubu.