Wataalamu wa ku upgrade android version

Wataalamu wa ku upgrade android version

Heshima kwenu wakuu. Nina tatizo kwenye simu yangu ninaomba msaada wenu. Ninatumia simu ya Sony Xperia L (C2105). Ni miezi minne sasa device hii inashindwa kutoa sauti kama ilivyokuwa mwanzoni. KWANZA; Nikipiga/nikipigiwa simu huwa inanilazimu kuweka loudspeaker ndio niweze kupata perfect conversation. PILI; Audios na Videos hazitoi sauti mpaka pale ninakapokuwa nimepiga simu na kufanya maongezi through a loudspeaker and eventually simu ikikata na Audio/Video nayo hupoteza sauti. TATU; headset nayo haifanyi kazi, everything runs through a loudspeaker tena wakati nikiwa on Call pekee. Kitu pekee ambacho kimebaki kinafanya kazi kwenye upande wa sauti ni RINGTONE tu. Tatizo lilianza siku ambayo nilikuwa najaribu kuconnect simu kwenye subwoofer ili nisikilize muziki kwa ujazo mkubwa (nimekuwa nikifanya hivyo mara kadhaa kabla ya tatizo kutokea). Still ninashindwa kuelewa kama tatizo lilikuwa Subwoofer au kuna tatizo lingine zaidi kwenye system ya Audio. Mwanzoni nilidhani Subwoofer imepiga shoti simu yangu lakini nakosa logic connection kabisa. Naomba msaada wenu wataalamu. Ninatanguliza shukrani zangu za dhati.
 
Heshima kwenu wakuu. Nina tatizo kwenye simu yangu ninaomba msaada wenu. Ninatumia simu ya Sony Xperia L (C2105). Ni miezi minne sasa device hii inashindwa kutoa sauti kama ilivyokuwa mwanzoni. KWANZA; Nikipiga/nikipigiwa simu huwa inanilazimu kuweka loudspeaker ndio niweze kupata perfect conversation. PILI; Audios na Videos hazitoi sauti mpaka pale ninakapokuwa nimepiga simu na kufanya maongezi through a loudspeaker and eventually simu ikikata na Audio/Video nayo hupoteza sauti. TATU; headset nayo haifanyi kazi, everything runs through a loudspeaker tena wakati nikiwa on Call pekee. Kitu pekee ambacho kimebaki kinafanya kazi kwenye upande wa sauti ni RINGTONE tu. Tatizo lilianza siku ambayo nilikuwa najaribu kuconnect simu kwenye subwoofer ili nisikilize muziki kwa ujazo mkubwa (nimekuwa nikifanya hivyo mara kadhaa kabla ya tatizo kutokea). Still ninashindwa kuelewa kama tatizo lilikuwa Subwoofer au kuna tatizo lingine zaidi kwenye system ya Audio. Mwanzoni nilidhani Subwoofer imepiga shoti simu yangu lakini nakosa logic connection kabisa. Naomba msaada wenu wataalamu. Ninatanguliza shukrani zangu za dhati.
Ringer itakuwa imekwenda na maji, nenda kwa fundi simu yoyote aliyekaribu akubadilishie hiyo ringer, ni kama sh 5,000 mpaka 7,000 kwa Dar
 
Wakuu mi natumia Samsung S2 LTE ice cream sandwich. Nataka kuupgrade kuwa Jelly bean. Nifanyeje?
 
Wadau nimepata ujumbe toka Sony juu ya ku-Update OS ya simu yangu z3 kwenda Mashmallow..... Naombeni wenye uzoefu na hili.

Vipi nikiupgrade haiwezi niletea shida, maana nimeizoea hii lollipop na haija nisumbua kabisa kwenye issue ya kutunza chaji na matumizi mengine ya kawaida.

Nimesoma mahali hapa ndani, wengi wakilalamika kuwa baada ya ku-upgrade simu zao zimekuwa zikiwaletea usumbufu vipi haliwezi nitokea pia?

Na incase nikitaka Upgrade ni njia ipi inafaa kati ya kutumia WiFi au mobile network?

Natanguliza shukrani za dhati.....
3ade1fdb9e3fe8def13f4f02abb4f19d.jpg
e96c827507faaa6360abf037a23431bc.jpg
 
Nili updates simu yangu toka KitKat 4.4.4 kwenda lollipop nilitamani kuipasua simu imekuwa nzito pia imepoteza apps zingine nzuri,, mwenye link au utalamu juu ya kutoa lollipop to marshmallow au lollipop to KitKat, lenove S 90-A
 
Nili updates simu yangu toka KitKat 4.4.4 kwenda lollipop nilitamani kuipasua simu imekuwa nzito pia imepoteza apps zingine nzuri,, mwenye link au utalamu juu ya kutoa lollipop to marshmallow au lollipop to KitKat, lenove S 90-A
Nasikia huwezi ku reverse Installation labda uiroot hiyo simu.

CC CHIEF MKWAWA
 
Wadau nimepata ujumbe toka Sony juu ya ku-Update OS ya simu yangu z3 kwenda Mashmallow..... Naombeni wenye uzoefu na hili.

Vipi nikiupgrade haiwezi niletea shida, maana nimeizoea hii lollipop na haija nisumbua kabisa kwenye issue ya kutunza chaji na matumizi mengine ya kawaida.

Nimesoma mahali hapa ndani, wengi wakilalamika kuwa baada ya ku-upgrade simu zao zimekuwa zikiwaletea usumbufu vipi haliwezi nitokea pia?

Na incase nikitaka Upgrade ni njia ipi inafaa kati ya kutumia WiFi au mobile network?

Natanguliza shukrani za dhati.....
3ade1fdb9e3fe8def13f4f02abb4f19d.jpg
e96c827507faaa6360abf037a23431bc.jpg


incase
Nili updates simu yangu toka KitKat 4.4.4 kwenda lollipop nilitamani kuipasua simu imekuwa nzito pia imepoteza apps zingine nzuri,, mwenye link au utalamu juu ya kutoa lollipop to marshmallow au lollipop to KitKat, lenove S 90-A
Pinoy Tech tutorials and News: Downgrade to Kitkat from Lollipop - Lenovo S90-a
 
Back
Top Bottom