Tena mimi nimenunua November hii hapo Kigamboni kwenye store yao. Hapo kutoweka indication yoyote wamechemka; ingefaa QUALITY na INTENSITY ziwe zinaonekana ili mtu anapofunga Antena yake ajue strength ya signal. Hii itamrahisishia kujua km Antena ipo kwenye uelekeo sahihi ama la
Baada ya kufunga Antena ya Azam nilipambana kuona INTENSITY na QUALITY lakini naona tu kote inasoma ZERO ingawa chanels zinaonesha. Japo kuna mda kunatokea scratches za hapa na pale kitu ambacho ndicho kinachonilazimu kutaka kujua nguvu ya hizo signal na bahati mbaya ndo hivo HAZIONEKANI...
Habari wana JF,
Nahitaji kupata matokeo ya kidato cha pili kuanzia mwaka 2000 hadi sasa lakini bahati mbaya NECTA hayaonekani, yapo tu ya miaka ya hivi karibuni.
Nahitaji kwa ajili ya kutengeneza database ya shule yangu. Je, ni njia gani nitayapata?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana JF.
Nilikuwa na SATA Hard Disk yangu aina ya SEAGATE yenye ukubwa wa 250GB. Hard Disk hii mwanzo nilikuwa naitumia ndan (As Internal Hard Disk). Baadaye nikanunua Hard Disk case nikawa naitumia as External Hard Disk.
Ilitokea tatizo fulani ikawa imeungua ile terminal ya kijani...
Kwasababu Iringa kuna vivutio vingi km vile:
Ruaha National Park
Makumbusho ya Chief Mkwawa Kalenga na Isimila
Utajili wa mali asili
Misitu ya asili na kupandwa (Sao Hill, Twico etc
Mto Ruaha
Kitovu cha biashara na mawasiliano
Urahisi wa usafiri na usafirishaj kwenda Mbeya, Dodoma, Morogoro...
Mtoa mada una busara cjapata ona. Napenda unavojibu hizo negativity za watu juu yako. Angekuwa mwingine hapo naye povu lingeanza kumtoka na kurudisha mijitusi ya maana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajui ugumu wa kupass form four
Hajui mtiti wa Adavanced Level
Hajui mziki wa kutafuta courseworks
Hajui mziki wa UE
Hajui hata SUPP ni nin
Hajui hta CARRY OVER ni nin
Kwani ziwa lipo tu Uganda? Au Uganda ndo mmiliki wa ziwa? Inamaana nchi za Tanzania na Kenya hazina mamlaka?
Yeye mwenyewe jina "JACOB" ni la kizungu basi nalo alibadilishe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.