BEST ONE BOY
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 309
- 221
- Thread starter
- #141
Maamuzi ya kusamehe yanakuwa kwangu na mwisho wa mwezi huu ndio nimemwambia kuwa ntamjibu KUWA itakuajeBasi msamehe, ila Mimi ndo principle yangu, sisamehi
Maamuzi ya kusamehe yanakuwa kwangu na mwisho wa mwezi huu ndio nimemwambia kuwa ntamjibu KUWA itakuajeBasi msamehe, ila Mimi ndo principle yangu, sisamehi
Sasa weww mtu ashakuacha bado tu nifanyeje ngoja nijiweke mieCesiliaa swali lako hilooo mmmm
Hahaaaaaaa unabidi utafute ili umpotezeeeSijaamua kuwa na mtoto mkali kwa sasa
Teteteee.....Hahaaaaaaa unabidi utafute ili umpotezeee
I believe what you sayHuyo hakufai coz alionesha kutokuwa na subira toka mwanzo, hatakuwa na subira hata ukija kuyumba tena kimaisha.
Tafuta mwingine OVER!
Ujiweke tenaaaSasa weww mtu ashakuacha bado tu nifanyeje ngoja nijiweke mie
Second chanceMkuu second chance ni muhimu katika mahusiano ila sikushauri maana huyo Dada anakurupuka hatumii sana kichwa chake usimkubali tena just move on
Nimekusoma Mkuu somo zuriMkuu tafadhari sana tena sana, ile kikwetu unasema chonde chonde ndugu yangu usijaribu kumrudia huyo mwanamke. Kwanza sifa yake kubwa sio mvumilivu, sio mwaminifu, hana heshima kwa mumewe na ni omba omba. Alishindwa kukusubiria kisa wewe ulikuwa hauna kitu bali unatafuta, akaolewa lakini hakumuheshimu mumewe akaanza kuomba pesa kwa mwanaume mwingine, kisha kaamua kuachana nae na sasa anataka aje kwako kwenye "future".
Nakuhakikishia huyo ukimuoa wewe atakutenda tena kama mwanzo na kama alivyomtenda huyo mume wake wa sasa.
Kama hauamini njoo PM nikutumie contact zangu ili itakapokutokea uje unipe mrejesho hata kama itapita miaka 7 au 8. Usije kuniona mtabiri kama Marehemu Sheikh Yahaya, hapo ukweli upo dhahiri huitaji mganga kuuona na kuchukua hatua.
What goes around ..comes around.
Utarudiana vipi na mke wa mtu?
Japo hatujui kinachoendelea moyoni mwako lakin unasema huna hisia nae, utaaezaje kuish na mtu ambae humpendi na huna hisia nae?
Kwanini hakukuvumilia mda kidogo tu wakat unaondoka?
Na huyo jamaa wa TRA walianza mahusiano hata wakat bado unasoma, nkimanisha ni MSALITI, alipagawa na neno TRA,
Mtafute mwambie kwa ustarabu kabisa arud kwa mumewe walee mtoto wao
Wewe na yeye mtasaidiana tu shida za hapa duniani kama marafiki au ndugu
Pole sana kwa maswaibu yaliyokupata ila usije ukageuka nyuma ukawa jiwe. Mtu alishakuambia uvumilivu ulimshinda itakuaje sasa ajifanye kwamba ndio anakutakaaaaaa? Mimi kwa mtizamo wangu huyo anatafuta tuu mahali pa kupunguzia stress zake na wewe cha kufanya kwa sasa sali sana umwombe mungu akupe mtu wa kufanana na wewe kwa sababu huyo tayari hafananani na wewe. Saasawa kijana? EPUKA MIHEMKO.HABARI za mda huu usiku tulivu
Naomba niende direct kwenye mada
Mimi ni kijana mwanzoni kipindi nipo
O level niliwahi kuwa na uhusiano na msichana mmoja ila yeye alikua anasoma shule ya jirani lakini baada ya kumaliza masomo ya o level Mimi nilifanikiwa kwenda advanced yeye hakufanikiwa hivyoo alibaki mtaani na wazazi wake walimwambia ngoja wajipange ili waje wamsomeshe mwaka mmoja baadae kipindi nipo likizo baada ya muhula wa kwanza wa advance nilimwambia
Mpenzi wangu kuwa naomba MUNGU akijalia tuwe wanandoa mbeleni akakubali na alifurahi sana na hapo mahusiano yalikolea sana na hadi ikafikia hatua ya kunitambulisha
KWA wadogo zake kuwa huyu shemeji yenu
Nilipokuwa form six mwishoni nilipata taarifa kwa mmoja kwa marafiki zangu kuwa mpenzi wangu kuna jamaa mmoja dereva wa TRA anafukuzia mpenzi wako nilipopata taarifa hizo nilikua kimyaaa nafanya utafiti na kimya kimya bila ya kumuuliza mpenzi wangu mana
Nilitaka kuthibitisha jambo hiloo
Baada ya kumaliza paper ya form six narudi tuu home mpenzi wangu mapokezi yake hayakuwa na furaha sana alinipokea kawaidaaa tuu kama nimetoka sokoni ila nilipiga moyo konde kusema labda kwa kuwa tumezoeana
Si unajua siku hizi mifumo ya serikali lazima kupitia jkt kwa form six nami jina langu lilikuwepo basi nilimpa taarifa mpenzi wangu kuwa baada ya week moja na nusu ntaondoka
Kwenda jkt akasema sawa
Kumbe yeye wakati huo mapenzi yapo motomoto na dereva wake wa TRA na alimuahidi kuja kumtolea mahali mwezi wa saba wakati Mimi mwezi wa Sita ndio naenda jkt
Zimebakia siku tatu jioni napata sms kuwa" boyfriend wangu niilikupenda sana ila nimepata mwanaume natolewa mahali mwezi ujao ila mimi siwezi kukuacha mana nimekuozea ila kuvumilia mpaka uje kumaliza masomo ndio kumenishindaa"niliumia sana nikaja kujua ukweli juu ya taarifa ambayo rafiki yangu alinipa lakini nilipitia wakati mgumu sana ila kwa kuwa nilikua nipo depo hisia zilikata na nikawa nipo kimyaaa
Baadae nipo chuo sasa naendelea na masomo yangu siku nilipata sms habari yako
Wakati huo nilipata taarifa kuwa ex wako tayari mjamzito jamaa kaishamjaza na life Lao NI la kawaidaa na mwanaume kabadilishwa kituo cha kazi kutoa mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine
Basi nilienda kipindi cha DINI na nilitoka nikapiga namba Ile kumbe alikuwa ex wangu akapokea simu kwa kuanza kuomba misamaha mkubwa sana Mimi nilishakusamehe ila naomba utambue KUWA wewe ni mkewa mtu akanijibu kuwa ndio ila nimekwama sana hivyoo naomba unisaidie kama utaweza hela kama laki moja kwa kuwa nipo nasoma na Nina shughuli zangu zingine za kibiashara hapa mjini nikaona sio mbaya nilimpa akanishukuru sana
Kuanzia pale nilibadili line ila alinitafuta tena akiwa na mimba ya miezi saba kuwa anaomba hela ya mana ameambiwa aende hospital kubwa mana ndio mimba ya kwanza kwa check up zaidi mana anaumwa mara kwa mara nilimsaidia ila sikupendakuwasiliana naye mana mkewa mtu
Kuanzia mwezi uliopita kaachana na bean yake na karudi kwao sasa hapo simu kila siku kwangu na kaisha tuma watu wamsaidie kuomba msamaha kwangu anataka kurudiana na Mimi naomba ushauri wenu wadau wa jf kwa kijana mwenzenu
Yes Mkuu kwa sasa nasali sanaa na pia tangu niachane naye sija wahi kutafuta mwingine NIPO nazidisha maombi tuuuPole sana kwa maswaibu yaliyokupata ila usije ukageuka nyuma ukawa jiwe. Mtu alishakuambia uvumilivu ulimshinda itakuaje sasa ajifanye kwamba ndio anakutakaaaaaa? Mimi kwa mtizamo wangu huyo anatafuta tuu mahali pa kupunguzia stress zake na wewe cha kufanya kwa sasa sali sana umwombe mungu akupe mtu wa kufanana na wewe kwa sababu huyo tayari hafananani na wewe. Saasawa kijana? EPUKA MIHEMKO.
Msamehe, maana inaonyesha dhahiri unampenda bado.
yaan ametombwa miaka yote hiyo nipo shule na jkt,kazaa na mtoto alafu nimrudie???khaaaaaaaa,,mabinti wabichi wapo mama