Ushauri kwa huyu ex-wangu

Ushauri kwa huyu ex-wangu

Huyo hakufai coz alionesha kutokuwa na subira toka mwanzo, hatakuwa na subira hata ukija kuyumba tena kimaisha.

Tafuta mwingine OVER!
 
Mkuu second chance ni muhimu katika mahusiano ila sikushauri maana huyo Dada anakurupuka hatumii sana kichwa chake usimkubali tena just move on
 
Mkuu tafadhari sana tena sana, ile kikwetu unasema chonde chonde ndugu yangu usijaribu kumrudia huyo mwanamke. Kwanza sifa yake kubwa sio mvumilivu, sio mwaminifu, hana heshima kwa mumewe na ni omba omba. Alishindwa kukusubiria kisa wewe ulikuwa hauna kitu bali unatafuta, akaolewa lakini hakumuheshimu mumewe akaanza kuomba pesa kwa mwanaume mwingine, kisha kaamua kuachana nae na sasa anataka aje kwako kwenye "future".
Nakuhakikishia huyo ukimuoa wewe atakutenda tena kama mwanzo na kama alivyomtenda huyo mume wake wa sasa.
Kama hauamini njoo PM nikutumie contact zangu ili itakapokutokea uje unipe mrejesho hata kama itapita miaka 7 au 8. Usije kuniona mtabiri kama Marehemu Sheikh Yahaya, hapo ukweli upo dhahiri huitaji mganga kuuona na kuchukua hatua.
 
Mkuu tafadhari sana tena sana, ile kikwetu unasema chonde chonde ndugu yangu usijaribu kumrudia huyo mwanamke. Kwanza sifa yake kubwa sio mvumilivu, sio mwaminifu, hana heshima kwa mumewe na ni omba omba. Alishindwa kukusubiria kisa wewe ulikuwa hauna kitu bali unatafuta, akaolewa lakini hakumuheshimu mumewe akaanza kuomba pesa kwa mwanaume mwingine, kisha kaamua kuachana nae na sasa anataka aje kwako kwenye "future".
Nakuhakikishia huyo ukimuoa wewe atakutenda tena kama mwanzo na kama alivyomtenda huyo mume wake wa sasa.
Kama hauamini njoo PM nikutumie contact zangu ili itakapokutokea uje unipe mrejesho hata kama itapita miaka 7 au 8. Usije kuniona mtabiri kama Marehemu Sheikh Yahaya, hapo ukweli upo dhahiri huitaji mganga kuuona na kuchukua hatua.
Nimekusoma Mkuu somo zuri
 
What goes around ..comes around.
Utarudiana vipi na mke wa mtu?
Japo hatujui kinachoendelea moyoni mwako lakin unasema huna hisia nae, utaaezaje kuish na mtu ambae humpendi na huna hisia nae?
Kwanini hakukuvumilia mda kidogo tu wakat unaondoka?
Na huyo jamaa wa TRA walianza mahusiano hata wakat bado unasoma, nkimanisha ni MSALITI, alipagawa na neno TRA,
Mtafute mwambie kwa ustarabu kabisa arud kwa mumewe walee mtoto wao
Wewe na yeye mtasaidiana tu shida za hapa duniani kama marafiki au ndugu
 
What goes around ..comes around.
Utarudiana vipi na mke wa mtu?
Japo hatujui kinachoendelea moyoni mwako lakin unasema huna hisia nae, utaaezaje kuish na mtu ambae humpendi na huna hisia nae?
Kwanini hakukuvumilia mda kidogo tu wakat unaondoka?
Na huyo jamaa wa TRA walianza mahusiano hata wakat bado unasoma, nkimanisha ni MSALITI, alipagawa na neno TRA,
Mtafute mwambie kwa ustarabu kabisa arud kwa mumewe walee mtoto wao
Wewe na yeye mtasaidiana tu shida za hapa duniani kama marafiki au ndugu

Pamoja Mkuu nimekuelewaa sanaa
 
HABARI za mda huu usiku tulivu
Naomba niende direct kwenye mada
Mimi ni kijana mwanzoni kipindi nipo
O level niliwahi kuwa na uhusiano na msichana mmoja ila yeye alikua anasoma shule ya jirani lakini baada ya kumaliza masomo ya o level Mimi nilifanikiwa kwenda advanced yeye hakufanikiwa hivyoo alibaki mtaani na wazazi wake walimwambia ngoja wajipange ili waje wamsomeshe mwaka mmoja baadae kipindi nipo likizo baada ya muhula wa kwanza wa advance nilimwambia
Mpenzi wangu kuwa naomba MUNGU akijalia tuwe wanandoa mbeleni akakubali na alifurahi sana na hapo mahusiano yalikolea sana na hadi ikafikia hatua ya kunitambulisha
KWA wadogo zake kuwa huyu shemeji yenu
Nilipokuwa form six mwishoni nilipata taarifa kwa mmoja kwa marafiki zangu kuwa mpenzi wangu kuna jamaa mmoja dereva wa TRA anafukuzia mpenzi wako nilipopata taarifa hizo nilikua kimyaaa nafanya utafiti na kimya kimya bila ya kumuuliza mpenzi wangu mana
Nilitaka kuthibitisha jambo hiloo

Baada ya kumaliza paper ya form six narudi tuu home mpenzi wangu mapokezi yake hayakuwa na furaha sana alinipokea kawaidaaa tuu kama nimetoka sokoni ila nilipiga moyo konde kusema labda kwa kuwa tumezoeana

Si unajua siku hizi mifumo ya serikali lazima kupitia jkt kwa form six nami jina langu lilikuwepo basi nilimpa taarifa mpenzi wangu kuwa baada ya week moja na nusu ntaondoka
Kwenda jkt akasema sawa

Kumbe yeye wakati huo mapenzi yapo motomoto na dereva wake wa TRA na alimuahidi kuja kumtolea mahali mwezi wa saba wakati Mimi mwezi wa Sita ndio naenda jkt

Zimebakia siku tatu jioni napata sms kuwa" boyfriend wangu niilikupenda sana ila nimepata mwanaume natolewa mahali mwezi ujao ila mimi siwezi kukuacha mana nimekuozea ila kuvumilia mpaka uje kumaliza masomo ndio kumenishindaa"niliumia sana nikaja kujua ukweli juu ya taarifa ambayo rafiki yangu alinipa lakini nilipitia wakati mgumu sana ila kwa kuwa nilikua nipo depo hisia zilikata na nikawa nipo kimyaaa


Baadae nipo chuo sasa naendelea na masomo yangu siku nilipata sms habari yako

Wakati huo nilipata taarifa kuwa ex wako tayari mjamzito jamaa kaishamjaza na life Lao NI la kawaidaa na mwanaume kabadilishwa kituo cha kazi kutoa mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine
Basi nilienda kipindi cha DINI na nilitoka nikapiga namba Ile kumbe alikuwa ex wangu akapokea simu kwa kuanza kuomba misamaha mkubwa sana Mimi nilishakusamehe ila naomba utambue KUWA wewe ni mkewa mtu akanijibu kuwa ndio ila nimekwama sana hivyoo naomba unisaidie kama utaweza hela kama laki moja kwa kuwa nipo nasoma na Nina shughuli zangu zingine za kibiashara hapa mjini nikaona sio mbaya nilimpa akanishukuru sana

Kuanzia pale nilibadili line ila alinitafuta tena akiwa na mimba ya miezi saba kuwa anaomba hela ya mana ameambiwa aende hospital kubwa mana ndio mimba ya kwanza kwa check up zaidi mana anaumwa mara kwa mara nilimsaidia ila sikupendakuwasiliana naye mana mkewa mtu

Kuanzia mwezi uliopita kaachana na bean yake na karudi kwao sasa hapo simu kila siku kwangu na kaisha tuma watu wamsaidie kuomba msamaha kwangu anataka kurudiana na Mimi naomba ushauri wenu wadau wa jf kwa kijana mwenzenu
Pole sana kwa maswaibu yaliyokupata ila usije ukageuka nyuma ukawa jiwe. Mtu alishakuambia uvumilivu ulimshinda itakuaje sasa ajifanye kwamba ndio anakutakaaaaaa? Mimi kwa mtizamo wangu huyo anatafuta tuu mahali pa kupunguzia stress zake na wewe cha kufanya kwa sasa sali sana umwombe mungu akupe mtu wa kufanana na wewe kwa sababu huyo tayari hafananani na wewe. Saasawa kijana? EPUKA MIHEMKO.
 
Pole sana kwa maswaibu yaliyokupata ila usije ukageuka nyuma ukawa jiwe. Mtu alishakuambia uvumilivu ulimshinda itakuaje sasa ajifanye kwamba ndio anakutakaaaaaa? Mimi kwa mtizamo wangu huyo anatafuta tuu mahali pa kupunguzia stress zake na wewe cha kufanya kwa sasa sali sana umwombe mungu akupe mtu wa kufanana na wewe kwa sababu huyo tayari hafananani na wewe. Saasawa kijana? EPUKA MIHEMKO.
Yes Mkuu kwa sasa nasali sanaa na pia tangu niachane naye sija wahi kutafuta mwingine NIPO nazidisha maombi tuuu
 
mchezee tuu mpigee kurungee weee piga sana kurungee msaidiee afu theni mpige chini na ww inshort mchezee tuuuu akija geto mdhalilishe mdhalilushe weee mtumie sana piga sana mashina malaya uyo afu achana nae iyo ndo dawa yake ila tumia kinga man usiweke malengo nae kabisa yani ww uwe unamtafuta pale unapotaka kusafisha lungu tuuu bac piga mashine uyo....ila usije ukamuoa..!!!tafuta demu wako mkali wa marengo ambaye utamuoa uyo uwe unamchezea tuu bac ndo dawa yake iyo vye the way demu akikuacha akirudi tena kwako ww mchezee tuu bac...
 
Back
Top Bottom