Ulimwengu mzima unapambana kuusimika ufalme wa Shetani (satanic empire). Ulimwengu au dunia ambayo uzinzi, ulawiti, unyanyasaji kingono, starehe zisizo na mipaka, ushoga, kamari, dhulma na uchafu wa kila sampuli n.k n.k vitaeneo kote ulimwenguni pasi na upinzan wowote ule kutoka popote pale. Dunia ambayo mambo ambayo yanachukiza katk jamii yatakuwa halali.
Dini pekee yenye nguvu ya kukemea na yote haya ni Uislam, Kwahiyo target ya kuusimika ufalme wa shetani ni kudidimiza mataifa yote yenye waislam wengi na kuchochea Vita ndani yao.
Kwa upande wa ukristo mambo hayo kw sasa ni swala la muda tu mana kanisa na ukristo umeshakubali yote hayo. Mashoga saiv wanafungishw ndoa kanisani, ulawiti na unyanyasaji kingono umeshamir na yote nilioeleza Hapo juu.
Kupitia kivuli cha UN, mauaji yote yanayoendelea huko yanatekelezw kwa mpango maalum.
Kila Rais wa marekan lazima amuue Kiongoz yoyote mwenye ushawishi mkubwa.
Bushi alimuua Saddam
Obama alimuua Gaddafi
Tusubir Trump naye atammaliza nani
Sent using
Jamii Forums mobile app