Mnyalu Junior
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 573
- 199
Baada ya kufunga Antena ya Azam nilipambana kuona INTENSITY na QUALITY lakini naona tu kote inasoma ZERO ingawa chanels zinaonesha. Japo kuna mda kunatokea scratches za hapa na pale kitu ambacho ndicho kinachonilazimu kutaka kujua nguvu ya hizo signal na bahati mbaya ndo hivo HAZIONEKANI!
Naomba kuuliza; inamaana kwa visimbuzi vya Antena; Intensity na Quality huwezi ona au kuna namna nyingine ya kuangalia?
Naomba kuuliza; inamaana kwa visimbuzi vya Antena; Intensity na Quality huwezi ona au kuna namna nyingine ya kuangalia?