bujibuji aliyoyasema huyo bibi mbona yote yalitabiriwa kwenye Biblia (hasa Daniel na Ufunuo) , ila ukweli wa siku yenyewe ya kuja kwa Yesu ambapo ndo tunasema mwisho wa hii dunia hakuna ajuaye ila Mungu mwenyewe. Tuwe makini tu kwamba tuwe tayari kwa siku hiyo kulingana na ishara tulizopewa...
Tigo wame post hii kwenye wall yao ya facebook
Tigo Pesa upholds the highest standards of security and privacy in accordance with local and international regulatory procedure. Should you be experiencing any problems or issues with your service, please refer to our customer service department...
Hayo yamenikuta na mie last week. Sijafanikiwa kurudishiwa 5,000 niliyonunua vocha kwa tigo pesa.Ingia kwenye http//m.tigo.co.tz/customercare usajili tatizo lako.Niliambiwa labda kuanzia kesho mambo yatakuwa sawa, tusubiri, ila ni vyema ukasajili tatizo lako customer care.
Jaribu kuwaita mafundi wao, yawezekana ni suala la kuelekeza antenna sehemu nzuri zaidi yenye kukamata signal.Mie nimekuwa natumia king`amuzi hicho toka mwaka jana sijapata matatizo.
Mbona hajatueleza jinsi unavyoweza ku earn hizo 17000 badala yake anaelekeza tu kuwekewa 77000 kwenye M-Pesa? Utapeli mwingine bwana! Ahhh watanzania kuweni macho.
Biblia inasema kutakuwa na utawala mpya hapa duniani utakaoanzishwa na Mungu mwenyewe. Ndio, wanyama wote watakuwepo pia! Tafadhali soma kitabu cha Isaya sura ya 11 mstari wa 1 hadi wa 9 utayapata hayo.
Yale yale ya mwenye shibe hamjui mwenye njaa. Imeandikwa kwamba kilio cha mnyonge humfikia Mungu naye humsikia. Tuboreshe maisha yetu watanzania kwa kuchagua upinzani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.