Shahada halisi aliyopewa mkwere

Hujaona kitu kwasababu ya internet browser ya PC yako. Click hiyo link halafu juu kulia kutakuwa na link (maelezo) yafuatayo unayotakiwa ku-click hapo: "Click here if your browser does not automatically redirect you". Baada ya hapo utaifikia attachment yenyewe
 
Hujaona kitu kwasababu ya internet browser ya PC yako. Click hiyo link halafu juu kulia kutakuwa na link (maelezo) yafuatayo unayotakiwa ku-click hapo: "Click here if your browser does not automatically redirect you". Baada ya hapo utaifikia attachment yenyewe


mkuu ukifungua hiyo attached hakuna kitu
 
Unamaanisha kuwa alipewa BLANK PHD (PHD HEWA) ama vipi kwani attachment yako haina kitu!!!!!!
 
Kamanzi usitusumbue....JK hana Ph.D yoyote.Wanaomwitw Dr. wote ni mamluki,wahamiaji na wanaohitaji kwenda Loliondo
 
Nadhani Kamanzi kamaanisha blank phd kama kweli ipo maana hata mie attachment haina kitu!
 
Salute, Nimeiona mkuu.. Bila Microscope haoni mtu, ha ha haaaaa!
 
Back
Top Bottom