Mimi kwa kiukweli nimekuelewa.Swala si kuolewa Au kuoa unayemuamini au anayekuamini.Hapa ni natural interest kwamba unampenda kwa Sababu gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Niseme ukweli kuomba ushauri ni jambo jema sana.Tusimulaumu maana alikuwa hana uhakika na fikira zake.Cha msingi ni kuwa wewe dada hujajua raha ya kumpata mtu anayekuamini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naweza kubaliana na consultant kwamba aina ya chakula kwa wachezaji wa Simba na ni tatizo,ukilinganisha na Alahly.Wenzetu wanatumia zaidi raw food (Ngano).Hiki chakula humpa mtu nguvu na uwezo wa juu Sana katika kufikiria.Hivyo maamuzi yao uwanjani yanakuwa sahihi sana na kwa haraka.
Sent using...
Kubwa zaidi ukiona mtu kakwambia jambo muda huo ujue huo ni ukweli mtupu USIPUUZIE kabisa.Maana mtu anatoa hisia zake za ndani kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.