Mkuu,,, hv inapokea employer akavunja mkataba, kwenye termination letter hakukuwa na reason yeyote ya termination, haki za mwajiriwa ni zipi,,, na kayoka hilo mkataba uko valid kwa muda wa miez 9 ijayo!!! Je muajiriwa ana haki ya kulipwa na miez yote iliyobakia? Natanguliza shukrani kwa hili