First year UDSM wapewa pesa pungufu za boom

First year UDSM wapewa pesa pungufu za boom

Huu ndio mwisho wa uwezo wako wa kufikiri kwamba kila mtu ni wa umri wako na ni mwanafunzi, kwamba kila mtu anategemea bodi ya mikopo kusoma wakati wenzanko tumesoma kwenye i20 system kitambo sana inawezekana ukiwa bado upo kwenye korodani za baba'ko.

Mtoto wa mama kamwe huwezi kuijuwa suruba, kama unadhani kila kitu kinafundishwa darasani pole sana subiri upate degree yako ya kukariri mitihani uje mtaani ukutane na walioferi darasa la saba na form four ndio wanaoshikilia channel zote za pesa.
Wakati huo we upo kwenye korodani za mamako sio
 
Hii ni hasara kwako na kwa familia yako, msomi wa chuo kikuu hata kuandika hujui unawaza boom tu.

Upper case na lower case nadhani ni vitu ulivyofundishwa tangu Primary school, sasa iweje kijana unayetalajia kuwa mbobebezi mpaka leo hata kanuni tu za uandishi hujui?

Unapoanza sentensi huwa tunaanza na herufi kubwa. Sitalajii excuse kwa jambo kama hili kutoka kwa mwanafunzi ambaye akili yake bado haijakutana na suruba za kitaa.
Kweli nyani haoni kundule. Wewe umeandika nini sasa? Wewe primary ulifundishwa "Sitalajii" maana yake nini? Unamnanga mwenzio wakati wote ni jahazi na tanga.......
 
Duuuuh poleni Sana hili ndio taifa la stress ambalo kazi ni kutoa watalaam wababaishaji maana hawana utulivu ktk masomo yao.
 
Iv wajamen kwa wale tulioandikiwa not allocated, kwel kuna uwezekano wa kutoka batch nyengne kwel maana wiki ijayo ndio narud nyumban kwenda kufuga kuku.
 
Boom lina sheria kali mpaka kulipata,
Wale wa mwanzo kusign walitumia temporary ID Kusign ila ajabu kwa walioenda kuanzia leo bila permanent ID huwez sign..
Na izo ID kila ukifata kwenye college yako,mizinguo tu......

Sasa sijui wanataka tuzamie meli twende ULAYA
Ndio kinachofata tena bandar ipo apo posta mtanikuta ujeruman tu
 
Huu ndio mwisho wa uwezo wako wa kufikiri kwamba kila mtu ni wa umri wako na ni mwanafunzi, kwamba kila mtu anategemea bodi ya mikopo kusoma wakati wenzanko tumesoma kwenye i20 system kitambo sana inawezekana ukiwa bado upo kwenye korodani za baba'ko.

Mtoto wa mama kamwe huwezi kuijuwa suruba, kama unadhani kila kitu kinafundishwa darasani pole sana subiri upate degree yako ya kukariri mitihani uje mtaani ukutane na walioferi darasa la saba na form four ndio wanaoshikilia channel zote za pesa.
Ona sasa umekosea tena

walioferi badala ya waliofeli... acha kutoa povu mkuu,, kabla hujanyoosha kidole kwa mwenzio,, vingine vinne vinakuelekea wewe.
 
Hii ni hasara kwako na kwa familia yako, msomi wa chuo kikuu hata kuandika hujui unawaza boom tu.

Upper case na lower case nadhani ni vitu ulivyofundishwa tangu Primary school, sasa iweje kijana unayetalajia kuwa mbobebezi mpaka leo hata kanuni tu za uandishi hujui?

Unapoanza sentensi huwa tunaanza na herufi kubwa. Sitalajii excuse kwa jambo kama hili kutoka kwa mwanafunzi ambaye akili yake bado haijakutana na suruba za kitaa.
mkuu kuna tofauti kati ya kujua na kuzingatia
 
Me nimepata zoteeeee laki saba zangu na kumi....na nipo udsm huhu imoooooo hauihitaji hasira mchezo huuuu....
Nyuma geuka kutangulia si kufika....nilipokosa jina langu Mara yakwanza nili[emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]
[emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]
But Mungu mkubwa
 
Hii ni hasara kwako na kwa familia yako, msomi wa chuo kikuu hata kuandika hujui unawaza boom tu.

Upper case na lower case nadhani ni vitu ulivyofundishwa tangu Primary school, sasa iweje kijana unayetalajia kuwa mbobebezi mpaka leo hata kanuni tu za uandishi hujui?

Unapoanza sentensi huwa tunaanza na herufi kubwa. Sitalajii excuse kwa jambo kama hili kutoka kwa mwanafunzi ambaye akili yake bado haijakutana na suruba za kitaa.

Umemnanga mwenzio we mwenyewe umeandika kizaramo eti sitalajii badala ya sitarajii;suluba badala ya shuruba ujinga mtupu
 
Back
Top Bottom