Inawezekana ni pumu ya Ngozi jifunze kuhusu hilo hata huku jf wameliongelea nadhani,
Ushauri hakikisha Hilo eneo haliwi na ukavu inashauriwa kupaka mafuta yasiyo na manukato hasa Vaseline blue seal original Mara kwa Mara, pia atumie sabuni zisizo na manukato zilikuwepo zile B29 nyeupe sijui...
Kiwanja kinauzwa kipo eneo la mawelewele Iringa manispaa kimepimwa na kinafikika kwa barabara ya lami urefu ni 40m na upana 20m eneo la tambarare.
Bei 28,000/= kwa meta moja ya mraba
Nimekupata kiongozi, msaada hapa nmesoma engine oil inayotakiwa kwa engine husika ni kati ya hizi 5W-30, 10W-30, 15W-40, 20W-50 kwa hali ya hewa ya Iringa ushauri wako ipi ni muafaka zaidi?
Ila pia kuna kitu Iringa wanaita msango au ndo mchango sijui jaribu kuwaonyesha wananchi wa kawaida hiyo aina ya vipele au pigia ndugu zako wa Iringa vijijini waulize kuhusu msango/mchango uone kama wenyewe watakupa dawa zake zinatokana na miti kabla haijapelekwa kiwandani kutengenezwa tena kuwa...
Hivi kuna njia ya kugundua tv unayonunua ni og labda kupitia online hasa kwa hizi brand kubwa maana unaweza kujiaminisha kwa kununua kwenye maduka makubwa nao wakawa "wajanja"
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakunukuu
"Mimi ningelikuwa mwalimu wa serikali mwanafunzi wangu asingepata F"
Kwa hiyo kumbe wewe ni mwalimu? Ambaye hujui hata matumizi sahihi ya 'r' na 'l'! Maelezo yote uliyotoa mwenye akili angeweza kuandika mistari 10 na kueleweka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali la jumla kwa dini zote nmeona kwenye masuala ya ndoa wenza wa dini tofauti kukubaliana mmoja kufata dini ya mwenzake, hivi ni jambo la afya kuingia dini fulani kwa sababu ya ndoa na sio kusukumwa zaidi na misingi ya dini husika?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.