Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,276
Kumbe....!!! Ngoja ukalime kwanza, mabosi wako tunakuchora tu
Watu wanakulaumu bure. Mi nikiwa shule nimewashuhudia sana mabinti wanafata walimu na kujilengesha. Huwezi kuwakwepa wote na wengine wanakuja kwa technic za hali ya juu kiasi kuwa hujui unaingia kwenye mtego. Kuwa mwalimu wa kiume hakukufanyi usiwe na mazungumzo na wanafunzi wa kike,sasa utafundishaje? Na katika harakati kama hizo akijisogeza ndo unakuwa mtihani lakini watu wakija wanalaumu mwanaume. Walee mabinti zenu kwa maadili
Usitumie neno tunakataa, mnakataa wewe na nani? Kwani hakuna wanaoangukia mikononi mwa hao unaowaita Malaya, by the way huyo unaye muita malaya pia alikuwa mwanafunzi, usije sema umalaya alijifunzia shule, think about it
Kama ana 30 akitoka ana 60 moja kwa moja anaenda psssf kucheki kama atapewa kiinua mgongoDuuuh pole mzeebaba una miaka mingapi ? Jumlisha na miaka 30 utatoka atleast huko above 55 years daaah !! Papuchi Tamu ila sio ya Mwanafunzi au Ya Mke wa mtu mkuuuu!!!
bahati nzuri hapa hatupo mahakamani, tupo kwenye platform ya kutafuta suluhisho na kuelimishana, nacho jaribu kukuelimisha ni kuwa msikimbilie sana kuwalaumu walimu bila kusahau mchango wa jamii nzima katika maadili ya watoto wenu, bahati nzuri mimi ni mwalimu so ninachokiandika hapa naelewa naandika nini, wewe hujiulizi hiyo simu huyo mtoto ameitoa wapi, na ikiwa shureni haturuhusu mtoto kuwa na simu? shuleni haturuhusu mtoto kumiliki simu, nyumbani mzazi anamlegezea mtoto anamiliki simu, unategemea nini? malezi ya nyumbani yanamchango mkubwa sana kwenye tabia na mafanikio ya mwanafunzi, wewe huelewi hilo umeng'ag'ana jela, jela mtafunga wa ngapi, asipogongwa na mwalimu wake atagongwa na bodaboda mtaani,bro mlee vizuri mwanao hutakuna na hizi kesi.Take responsibility for your actions. Usisingizie "mitego". Mitego is a lame excuse. Ukilala na mtoto umembaka. Simple any clear. Do stray away from the point of the discussion. Nincompoop... Kajitetee hivyo mahakani kama hautakula mvua ya miaka 30. Watu wote wanaolala na watoto wa shule sehemu yenu ni jela.
Usikae kimya hapo kama unaona dalili ya mambo kuharibika jaribu kusoma mazingira kama mkuu wako wa kazi anaeleweka jaribu kumuelezea scenario nzima ilovyoenda ili mambo yaekwe sawa upate msaidizi ikotokea la kutokea.Habarini wadau.
Mimi ni baba wa familia ya mtoto mmoja na mke ambaye tunapendana sana. Pia Mimi ni mwalimu mpya wa shule moja hapa jiji kasoro bahari nina kama miezi mitano (5) hapa shuleni ila naona muda wowote naenda kufukuzwa.
Kisa chenyewe.
Mwezi huu mwanzoni kuna binti wa kidato cha tatu alinifuata ofisini jioni na maswali kadhaa ya somo ninalofundisha. nikamuelekeza kwa muda baadae anavyoondoka akasema anaomba namba yangu akawape wazazi wake pindi watakapomuuliza kwanini amechelewa kurudi home, nilikubali maana sikuona unayaendeleza wowote, usiku WA saa 4 hivi nikapokea message nyingi zikijitambulisha ni yule binti nikachukuliwa kawaida tu na nilimjibu kawaida maana wife alianza kuchukia so nikaacha kuchat.
Ila yule binti hakukoma aliendelea na siku moja usiku alinipigia nikiwa kwenye bia kupunguza mawazo,, alivyonipigia nadhani aligundua nimelewa akaanza kunichombeza ingawa sikuwa nimelewa sana ila nilishindwa mkataa pindi aliponiambia ananipenda maana kilakotu nilijibu sawa mpaka alivyokata simu.. Siku yako Pili asubuhi ndo nikakumbuka kama aliniambia vitu vya ajabu nikajilaumu sana na kabla sijatoka nyumbani kwenda kazini akatuma message yenye maneno ya mahaba sikumjibu.
Baada ya siku kadhaa nikajikuta nachat nae kuhusu mambo ya mahaba, ingawa sikupanga kuonana nae kwa namba yoyote.
MSAADA NINAOTAKA.
juzi usiku nilitumiwa message nyingi kwa namba ngeni nilivyojibu ndo akawa anasema baba ake ameona message amempiga haswa na anampango wa kuja shuleni kesho, wadau Msaada wenu muhimu je nifanyaje Wakuu na nijiteteaje?
Asanteni
bahati nzuri hapa hatupo mahakamani, tupo kwenye platform ya kutafuta suluhisho na kuelimishana, nacho jaribu kukuelimisha ni kuwa msikimbilie sana kuwalaumu walimu bila kusahau mchango wa jamii nzima katika maadili ya watoto wenu, bahati nzuri mimi ni mwalimu so ninachokiandika hapa naelewa naandika nini, wewe hujiulizi hiyo simu huyo mtoto ameitoa wapi, na ikiwa shureni haturuhusu mtoto kuwa na simu? shuleni haturuhusu mtoto kumiliki simu, nyumbani mzazi anamlegezea mtoto anamiliki simu, unategemea nini? malezi ya nyumbani yanamchango mkubwa sana kwenye tabia na mafanikio ya mwanafunzi, wewe huelewi hilo umeng'ag'ana jela, jela mtafunga wa ngapi, asipogongwa na mwalimu wake atagongwa na bodaboda mtaani,bro mlee vizuri mwanao hutakuna na hizi kesi.
Nipe namba za huyo mwanafunzi nikusaidie ndugu mkuu ndugu yanguHabarini wadau.
Mimi ni baba wa familia ya mtoto mmoja na mke ambaye tunapendana sana. Pia Mimi ni mwalimu mpya wa shule moja hapa jiji kasoro bahari nina kama miezi mitano (5) hapa shuleni ila naona muda wowote naenda kufukuzwa.
Kisa chenyewe.
Mwezi huu mwanzoni kuna binti wa kidato cha tatu alinifuata ofisini jioni na maswali kadhaa ya somo ninalofundisha. nikamuelekeza kwa muda baadae anavyoondoka akasema anaomba namba yangu akawape wazazi wake pindi watakapomuuliza kwanini amechelewa kurudi home, nilikubali maana sikuona unayaendeleza wowote, usiku WA saa 4 hivi nikapokea message nyingi zikijitambulisha ni yule binti nikachukuliwa kawaida tu na nilimjibu kawaida maana wife alianza kuchukia so nikaacha kuchat.
Ila yule binti hakukoma aliendelea na siku moja usiku alinipigia nikiwa kwenye bia kupunguza mawazo,, alivyonipigia nadhani aligundua nimelewa akaanza kunichombeza ingawa sikuwa nimelewa sana ila nilishindwa mkataa pindi aliponiambia ananipenda maana kilakotu nilijibu sawa mpaka alivyokata simu.. Siku yako Pili asubuhi ndo nikakumbuka kama aliniambia vitu vya ajabu nikajilaumu sana na kabla sijatoka nyumbani kwenda kazini akatuma message yenye maneno ya mahaba sikumjibu.
Baada ya siku kadhaa nikajikuta nachat nae kuhusu mambo ya mahaba, ingawa sikupanga kuonana nae kwa namba yoyote.
MSAADA NINAOTAKA.
juzi usiku nilitumiwa message nyingi kwa namba ngeni nilivyojibu ndo akawa anasema baba ake ameona message amempiga haswa na anampango wa kuja shuleni kesho, wadau Msaada wenu muhimu je nifanyaje Wakuu na nijiteteaje?
Asanteni
Mbona hajafanya naye chochote?Miaka 30 inakuita
Walimu wanaonewa tuNgoja uvune ulichopanda mshenzy mkubwa wewe!! Unampaje mwanafunzi namba zako za simu? Walimu wa siku hizi sijui mpoje[emoji32][emoji51][emoji48]
Mlianzaje kuombana namba za simu kama hamjaanza mambo yenu muda?anavyoondoka akasema anaomba namba yangu akawape wazazi wake
Ikawaje uendelee kuchat na mwanafunz ilhali unajua kwa mwanafunzi kuwa na simu ni makosa?, ila wewe ukachukulia poa maana uliendelea kuchat naeusiku WA saa 4 hivi nikapokea message nyingi zikijitambulisha ni yule binti
Aha kumbe? kwahiyo ni wazi mliendelea kuwasiliana walahukuna tatizo , ukijua wazi huyo ni mtoto anatakiwa asome sio kuwasiliana mambo ya mapenziIla yule binti hakukoma aliendelea na siku moja usiku alinipigia nikiwa kwenye bia
Aisee 😳akaanza kunichombeza
Basi ulikuwa tayari kukubaliana na matokeo ambayo yatatokea baada ya kumkubalinilishindwa mkataa pindi aliponiambia ananipenda maana kilakotu nilijibu sawa mpaka alivyokata simu