Recent content by mlekwajh

  1. mlekwajh

    Ana ugonjwa wa moyo niachane nae au nikomae tuu

    Hebu tuma picha yake kwanza mkuu
  2. mlekwajh

    Natafuta MELI mbovu

    Yani acha tu Mzee baba, kuna watu nimeshakutana nao wanatafuta Wale wadudu wanaowaka waka Usiku, wakaniambia hata kama nikipata tani 30 wao wananunua, niwaangalia kwa uchungu na sikuwamaliza, nadhani watakua wameshatajirika
  3. mlekwajh

    Umewahi kuvuta bangi alafu muda huo huo ukatembea barabarani? Mwendo wake unauonaje?

    Kuna ubaya gani,kwani walianza kuvuta bangi vijana wa sasa tu? Wengine humu ni matapeli ya kutupwa na kuiba sadaka za waumini,hawa ndo mna ona wataishia pazuri sio?
  4. mlekwajh

    Ujenzi wa nyumba yenye ghorofa tano

    Me mwenyewe nimestuka sana kama sio kushangaa
  5. mlekwajh

    Utaratibu wa Ushuru wa maegesho mijini, TARURA mnavuna msichopanda

    Acha kujibu kama mtoto mdogo we andazi,umeelewa logic ya jamaa au? Kwani unadhani pesa ya maegesho ndo inayoenda kwenye kujenga roads?
  6. mlekwajh

    Riwaya: Siri

    [emoji1417]
  7. mlekwajh

    Simulizi: Soka Lilivyonikutanisha Na Shetani

    This one is hot
  8. mlekwajh

    Simulizi: Scaila Michael

    Mapenzi kizunguzungu
  9. mlekwajh

    Mbeya: Majambazi yamewafanyia unyama wahudumu wa Bar ya Diwani wa CCM

    Umeambiwa soda na biskuti mzee, eats tunakwama wapi? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. mlekwajh

    Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

    Story nzuri sana ila nimecheka sana pale bwana Alex alipopata stim ya Bangi na kuwapita kama kishada then yeye mwenyewe kurudishwa mzobemzobe dah! Its inspirational lazima nitumize ndoto hii Sent using Jamii Forums mobile app
  11. mlekwajh

    Tetesi: Hii ndio sababu halisi iliyowafanya Clouds Media Group waahirishe tamasha la Tigo Fiesta

    Bangi ukivutia chooni alafu siku ya jumapili matokeo yake ni haya
Back
Top Bottom