Tunakoelekea wakusanya Tozo za parking mijini -TARURA; wataanza kucharge hadi kwenye foleni barabarani maana;
Kiufupi hawa jamaa wanavuna wasichopanda.
Tena sasa hivi wanakula dili na watu Mara mbili mbili, Anayekupokea kukuelekeza parking anaomba umtoe, TARURA nae anaomba umtoe yaani Tafrani tupu
Updates
Ikumbukwe kila Gari inalipia road licence!
Haya malipo ya parking ni kukosa ubunifu, hii ni kero nyingine imehamia huku, tunatozana hadi misikitini na hospitalini kweli? tena parking hamkujengewa nyie, walijenga wengine
- Sasa hivi ukisimama tu na gari hata kabla hujashuka, tayari wanakuandikia parking; wakati sheria inataka parking itozwe kwa muda usiopungua dk30,
- Magari marefu centers wanayapark mbele ya maduka hadi wateja wanashindwa kuuona mlango wa Duka
- Maegesho ya parking yanajengwa na wengine halafu TARURA wanachukua tozo za parking mahala ambapo hawakujenga wala kuchangia hata tone la shillingi
Kiufupi hawa jamaa wanavuna wasichopanda.
Tena sasa hivi wanakula dili na watu Mara mbili mbili, Anayekupokea kukuelekeza parking anaomba umtoe, TARURA nae anaomba umtoe yaani Tafrani tupu
Updates
Ikumbukwe kila Gari inalipia road licence!
Haya malipo ya parking ni kukosa ubunifu, hii ni kero nyingine imehamia huku, tunatozana hadi misikitini na hospitalini kweli? tena parking hamkujengewa nyie, walijenga wengine