Chombezo: Nelly Muosha Magari Wa Posta

Chombezo: Nelly Muosha Magari Wa Posta

SEHEMU YA 33


Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale sharobaro Nelly aliyekuwa amefika Keko Bora na kumpigia simu Atu na kumweleza alikuwa pale ndipo msichana huyo alimwambia atangulie kwenye gesti waliyokutana siku ya kwanza. Je, kilifuatia nini? Songa mbele na utamu huu…


Sharobaro Nelly alipoambiwa hivyo, aliachia tabasamu kwani alikuwa na uhakika wa asilimia mia moja kwamba siku hiyo angemchinjia mtu baharini.
Alipofika pale gesti hakutaka kusubiri, alichukua rumu kabisa kisha alimwomba mhudumu ampelee bia mbili, akavua shati, suruali na kubaki na boksa pekee akawa anamsubiri Atu.


“Huyu kiumbe akifika tu baada ya salamu jambo la kwanza nikumpatia mkomboti ndiyo mambo mengine yatafuata, nataka mpaka tutakapoachana niwe nimempa mikomboti miwili au mitatu,” Nelly aliwaza.
Hakumaliza hata dakika kumi na tano simu yake iliita alipoangalia mpigaji alikuwa ni Atu akapokea na kumwelekeza amuulize mhudumu amuoneshe namba ya chimbo alilokuwepo.
“Oke mpenzi wangu,” Atu alimwambia Nelly.


Ile kijana huyo mpenda mademu wazuri anaweka glasi iliyokuwa na pombe juu ya meza iliyokuwa mle chumbani akasikia mtu akigonga, akamfungulia na mtoto Atu aliyekuwa kapendeza akaingia.
Atu alipoingia alianza kucheka baada ya kumuona Nelly akiwa na boksa pekee huku mkuu wake wa kaya akiwa kachangamka, akajisemea moyoni; ‘Leo hapa ni kazi tu!”
Nelly hakutaka kusubiri, alimkumbatia na kumpiga mabusu kadhaa ya fasta midomoni, shavuni na masikioni, kufuatia msichana huyo kufanyiwa hivyo na kwa vile alimuona mkuu wa kaya wa Nelly alivyochangamka mwili ukamsisimka si kidogo.


Wawili hao, kwa dakika kadhaa walisahau kabisa shida za Bongo yetu wakawa wanakula tu denda a.k.a mua huku wakishikana maeneo mbalimbali ya miili yao hasa yale yenye shoti ya umeme.
Kama unavyofahamu joto linapopanda kwa watu ambao wapo sehemu ambayo ni salama kwao kufanya chochote bila kubughudhiwa na mtu zaidi ya kumchukiza tu mola wao, Nelly na Atu si wakajikuta wapo kama walivyokuja duniani.
Nelly alipomtazama binti wa watu akiwa kalegea na kamtumbulia macho huku akihema, akaona akimchelewesha bila kumpa haki yake itakuwa dhambi kubwa, sijui alimbinuaje bwana, Atu akaanza kutoa ushirikiano huku akilia kwa raha.
Rigwaride lilichezwa kwa kila mmoja kuhakikisha anamfurahisha mwenzake, wa kwanza kupeperusha bendera ya ushindi alikuwa Atu ndipo mzee mzima akalishusha kombora lake lenye ujazo wa kutosha lililomlegeza kabisa Atu.


Baada ya wawili hao kumaliza awamu hiyo ya kwanza walipeana asante na kwenda kuoga ndipo Nelly alimuagizia Atu kilevi alichotumia, akamwita mtu wa jikoni na kuagiza michemsho ya kuku miwili ili warudishe damu zao.
Nelly na Atu walikunywa bia na walipomaliza kula mchemsho wa kuku, si wakaanza tena vimichezo vyao vya chumbani zaidi, miili yao ilipopata joto jamaa akamkwangua tena, awamu hiyo aliunganisha mashuti mawili ya dabodabo.
Walitoka pale saa tatu na nusu wakiwa hoi kwa kibarua walichokuwanacho na ulevi, Nelly alimpatia Atu teni moja, wakapanga kukutana tena wikiendi iliyofuata kisha kila mmoja akatoka kivyake.
Kama kawaida, ili kuficha harufu ya pombe Nelly alipofika gengeni kwa Chinga akanunua tango na ndizi mbivu akala na kuelekea kwao ambapo aliwakuta wazazi wake wakiwa wanaangalia runinga.
Kwa vile hakujiamini aliwasalimia na kuunga chumbani kwake alikobadili nguo kisha akachukua mswaki na kuelekea bafuni, alipomaliza kuoga aliamua kulala.


Mama yake alipokwenda kumgongea ili akale alimwambia alikula alikotoka, akamuacha na kurudi sebuleni na kumwambia mumewe kwamba siku hiyo kijana wao alionekana kuchoshwa sana na kazi za ujenzi kwani hawakujua kama hakwenda Madale na fundi Yassin.


Kulipokucha Nelly aliamka na kumkuta mama yake akiwa anafanya usafi jikoni, akamweleza kila kitu kuhusu kusimama kwenda site na fundi Yassin, akamfahamisha kwamba alipata kazi nyingine.
Mama alipomwuliza ni kazi gani alimwambia ya kuosha magari Posta, mama akashindwa kujizuia kucheka, akamwuliza:
Itaendelea
 
SEHEMU YA 34


Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Nelly alipomfahamisha mama yake kwamba alikuwa akifanya kazi ya kuosha magari Posta, mama huyo akashindwa kujizuia kucheka na kuamua kumwuliza. Alimwuliza nini? Songa mbele…


“Yaani wewe Nelly ninayekufahamu umeamua kuosha magari tena Posta?”
“Ndiyo maana yake, mbona nilikuwa nafanya kazi ya ujenzi bila matatizo, tena mama naona kazi ya kuosha magari inalipa zaidi kuliko ya ujenzi,” Nelly alimwambia mama yake ambaye hakujua nyuma ya kazi hiyo kulikuwa na nini.


Mama huyo alicheka na kumwambia alimfurahisha kwa kuamua kufanya kazi yoyote ilimradi apate fedha, kwa furaha aliyokuwanayo akaenda kumwambia mumewe.
“Mimi nilikuambia kitafika kipindi huo usharobaro wake utaisha, umeniamini mama Nelly?” baba Nelly alimwambia mkewe, wakacheka.


Wakati mke na mume wanazungumza chumbani, Nelly alipomaliza kujiandaa ile anatoka kwenye korido akamuona baba yake akamwamkia.


“Vipi nasikia kule kwa fundi Yassin hauendi umeanza kazi ya kuosha magari Posta?” baba yake alimwuliza.
“Ni kweli baba, si unajua maisha ya leo hayahitaji kuchagua kazi!” Nelly alimwambia mzazi wake.
Baba yake alifurahi na kumweleza kikubwa afanye kazi hiyo kwa uaminifu na kuwaheshimu watu wote atafanikiwa kwani wengine wanaweza kumpa msaada mkubwa.


Nelly alipomaliza kuzungumza na baba yake alielekea nyumbani kwa akina Ipyana, akamkuta msichana wao wa kazi aitwaye Kisa akifanya usafi, alipomuuliza kama Ipyana alikuwepo akamwambia alikuwepo.
Kijana huyo mpenda mademu wazuri alivutiwa sana na kifua cha Kisa kilichopambwa na viembe bolibo vya kuchoma akaamua kumuweka kiporo, akaelekea geto kwa rafiki yake.


Marafiki hao walipopeana hi hawakuona sababu ya kuchelewa wakaenda kupanda gari na kuelekea Posta, njiani Ipyana kila alipomtupia macho Nelly akawa anatabasamu tu!
“Vipi naona unanitazama na kuachia tabasamu kulikoni?” Nelly alimwuliza Ipyana.
Rafiki yake huyo alimwambia alifurahishwa na mambo yake hasa jinsi alivyomuaga jana kwamba anakwenda kumuona mshkaji wake kumbe alikuwa na miadi na totoz.


“Huo ndiyo uanaume, ukiwa na fedha mfukoni lazima utafute kiburudisho tena jana nilikula bata ndefu na dogo aliondoka akiwa kachoka balaa kwa swaga nilizompa,” Nelly alijisifia ujinga.


Ipyana aliishia kucheka na kumwambia lakini pale wizarani ndiyo itakuwa mwisho wake asipokuwa makini kwani palikuwa na wanawake wazuri na wenye fedha zao wapenda viserengeti boy.
“Umakini gani kaka au unazungumzia ngoma nini?” Ipyana alimwuliza.
“Ndo maana yake,” Ipyana alimjibu.


Alipoambiwa hivyo Nelly alicheka na kumwambia asiwe na wasiwasi kilichozaliwa lazima siku moja kife, iwe kwa maradhi au kwa sababu zingine hivyo hawezi kumuacha mwanamke yeyote atakayejipendekeza kwake eti kwa kuogopa kufa.
Kufuatia stori kunoga wakajikuta wamefika Posta, waliteremka na kwenda eneo lao la kazi, kama ilivyokuwa siku ya kwanza wafanyakazi kibao wa wizara hiyo wakiwemo mabosi waliwachangamkia vijana hao.


Siku hiyo mishale ya saa mbili kasoro alifika dada Fatu aliyemchangamkia sana Nelly na kumfahamisha Ipyana kwamba alikuja na gari lake lingine alilotaka lioshwe na Nelly kufuatia jana yake kumuoshea vizuri gari aliloliacha nyumbani.


“Nelly nafikiri umemsikia dada Fatu kakupa tenda hiyo, kazi kwako,” Ipyana alimwambia Nelly aliyeishia kucheka.
Kabla Nelly hajasema chochote Fatu akachomoa noti ya shilingi elfu tano akawaambia ya chai na kumuomba Nelly jioni watakapotoka kazini aende naye nyumbani kwake akamsaidie kazi f’lani.
“Kazi gani dada Fatu?” Ipyana alimwuliza dada huyo.


“Na wewe Ipyana bwana, akija kuifanya atakwambia ninyi si marafiki?” Fatu alimwambia.


Je ni kazi gani ambayo dada Fatu anataka Nelly akaifanye? Usikose wiki ijayo. Maoni nicheki kwa namba hiyo hapo juu.
 
SEHEMU YA 35


Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale dada Fatu alipomwomba Nelly aende nyumbani kwake kumsaidia kazi ndipo Ipyana alimwuliza ni kazi gani akamwambia asubiri atakuja kuambiwa na Nelly. Je, ni kazi gani hiyo? Endelea na utamu huuu.


Baada ya Fatu aliyepania kutoka na Nelly siku hiyo ili kumburudisha kufuatia kukaa mufa mrefu bila kuletewa fujo za kikubwa kuondoka, vijana hao walipomaliza kuosha gari lake aina ya RAV 4 wakaenda kunywa chai.



“Nelly nilikwambia jana, Fatu katokea kukupenda naona sasa umeamini na leo hana kazi wala nini anataka kukupa ofa tu, da kijana una balaa wewe!” Ipyana alimwambia Nelly kwa sauti ya chini walipokuwa wakinywa chai.
“We ngoja hiyo jioni ifike, mimi akijipendekeza namlamba bakora zakutosha kwani siyo dada yangu yule,” Nelly alimwambia Ipyana, wakacheka.


Waliporejea eneo la kazi, kwenye saa tano kasorobo alifika mama Maduu aliyejazia nyuma aliyetokea kumtamani Nelly, baada ya salamu alimwuliza Ipyana Nelly alikuwa akiishi wapi akamwambia Tandika.


“Kumbe mnaishi eneo moja, sasa nakuomba kama hutajali saa sita twende mara moja pale Vetenary Tazara ukanisaidie kubeba mabati nitakayoyanunua tuyapeleke nyumbani kisha tunarudi, unasemaje?” mama Maduu alimwambia Nelly.
“Hakuna shida mama yangu, si hatutachelewa sana?” Nelly alimwuliza.


Mama huyo alimwambia wasingechelewa ndipo alifungua pochi na kutoa noti ya shilingi elfu kumi na kuwaambia wagawane na kwamba anakwenda ofisini kwake kumalizia kazi f’lani itakapofika saa sita kamili atamwita Nelly.
“Kwani wewe Nelly hauna simu?” mama huyo alimwuliza.


Nelly alimwambia alikuwa nayo na bila kusubiri aulizwe namba akamwambia namba zake ambapo mama huyo akazisevu, kisha akaachia bonge la tabasamu lililomchanganya sana sharobaro Nelly.


“Kaka wewe una nyota ya kupendwa, nahisi huyo mama hana kazi yoyote zaidi ya kukutunuku, kwa ninavyomfahamu huenda anataka kwenda kukufanyia shopping ya nguvu, ngoja tusubiri,” Ipyana alimwambia Nelly.


Saa sita kasoro dakika tano, simu ya Nelly iliita alipoangalia namba ya mpigaji hakujua ilikuwa ya nani, alipopokea alisikia sauti nzuri ya mwanamke aliyejitambulisha aliitwa mama Maduu!
“Kumbe ni wewe mama!” Nelly aliuliza baada ya kupokea simu.


“Usiniite mama Nelly, niite anti au…” mama huyo hakumalizia sentensi yake na kumwambia Nelly amkute kwenye geti la kutokea.


Nelly aliachia tabasamu na kumwambia Ipyana alikuwa akizungumza na mama Maduu aliyemwambia amkute geti la kutokea nje, Ipyana hakuwa na la kusema zaidi ya kucheka na kumtania Nelly kwamba akirudi naye alitaka zawadi kutoka kwa mama.
Nelly alimuaga Ipyana huku akimwambia kama atapewa zawadi wala asijali angempelekea, kijana huyo aliyebadili nguo na kuvaa alizotokanazo nyumbani alikwenda kumsubiri mama Maduu getini.


Hazikupita hata dakika nne aliliona gari la mama huyo likielekea getini kisha kusimama, Nelly aliingia kwenye gari la mama huyo huku baadhi ya madereva waliokuwepo pale getini wakiwasubiri mabosi wao kuanza kumjadili.
“Jamani mmemuona mama Maduu katoka na yule dogo mgeni anayeosha magari?” dereva mmoja ambaye wenzake walipenda kumwita Mwarabu kutokana na weupe wake aliwaambia wenzake.


“Tumemuona bwana, kwa tabia zake za kupenda viserengeti boy huenda anakwenda kujirusha naye,” dereva Mwarabu aliwaambia wenzake waliokubaliana naye.


Mama Maduu akiwa na Nelly kwenye gari bila aibu alimweleza kwamba hakuelewa kwa nini tangu alipomuona jana yake alitokea kumpenda kiasi cha kumfikiria sana.
“Kwa binadamu hilo ni jambo la kawaida, mimi nashukuru mama kwa kunipenda,” Nelly alimwambia.
“Nimekwambia usiniite mama…niite anti,” mama Maduu alimwambia Nelly huku akikanyaga mafuta hivyo gari kwenda kasi.
“Oke anti,” Nelly alimwambia.


Nelly ambaye hakujua walikuwa wakienda wapi alitulia huku akijisemea moyoni kwamba kama mama huyo akirogwa kutaka mambo angemvuruga kisawasawa.


Mama Maduu aliyeonekana kuwa na furaha alipofika kwenye mataa ya Barabara ya Kawawa na Nyerere alikata kushoto kuelekea Keko, akaongeza mwendo kisha alikata kuelekea Maduka Mawili.


“Awali nilitaka twende Vetenary kununua mabati lakini nimekumbuka kuna kazi f’lani nyumbani ngoja ukanisaidie kwanza hiyo ndipo twende Vetenary kama muda utaruhusu,” mama Maduu alimwambia Nelly.


Je, unajua kilichojiri baada ya mama huyo mpenda viserengeti boy kufika na Nelly nyumbani kwake? Usikose uhondo huu wiki ijayo.
 
Nelly anaenda kutunukiwa bumunda na anti... Lakini wasiwasi wangu baadae kijana atabeba virusi..ngoja tusubiri!
 
Hatari sana...

Nelly Huko anapopelekwa na huyo mama sijui kama kuna usalama...

Alafu inaonekana Nelly atakuja kufikwa na makubwa sana...


Cc: mahondaw
 
SEHEMU YA 35


Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale dada Fatu alipomwomba Nelly aende nyumbani kwake kumsaidia kazi ndipo Ipyana alimwuliza ni kazi gani akamwambia asubiri atakuja kuambiwa na Nelly. Je, ni kazi gani hiyo? Endelea na utamu huuu.


Baada ya Fatu aliyepania kutoka na Nelly siku hiyo ili kumburudisha kufuatia kukaa mufa mrefu bila kuletewa fujo za kikubwa kuondoka, vijana hao walipomaliza kuosha gari lake aina ya RAV 4 wakaenda kunywa chai.



“Nelly nilikwambia jana, Fatu katokea kukupenda naona sasa umeamini na leo hana kazi wala nini anataka kukupa ofa tu, da kijana una balaa wewe!” Ipyana alimwambia Nelly kwa sauti ya chini walipokuwa wakinywa chai.
“We ngoja hiyo jioni ifike, mimi akijipendekeza namlamba bakora zakutosha kwani siyo dada yangu yule,” Nelly alimwambia Ipyana, wakacheka.


Waliporejea eneo la kazi, kwenye saa tano kasorobo alifika mama Maduu aliyejazia nyuma aliyetokea kumtamani Nelly, baada ya salamu alimwuliza Ipyana Nelly alikuwa akiishi wapi akamwambia Tandika.


“Kumbe mnaishi eneo moja, sasa nakuomba kama hutajali saa sita twende mara moja pale Vetenary Tazara ukanisaidie kubeba mabati nitakayoyanunua tuyapeleke nyumbani kisha tunarudi, unasemaje?” mama Maduu alimwambia Nelly.
“Hakuna shida mama yangu, si hatutachelewa sana?” Nelly alimwuliza.


Mama huyo alimwambia wasingechelewa ndipo alifungua pochi na kutoa noti ya shilingi elfu kumi na kuwaambia wagawane na kwamba anakwenda ofisini kwake kumalizia kazi f’lani itakapofika saa sita kamili atamwita Nelly.
“Kwani wewe Nelly hauna simu?” mama huyo alimwuliza.


Nelly alimwambia alikuwa nayo na bila kusubiri aulizwe namba akamwambia namba zake ambapo mama huyo akazisevu, kisha akaachia bonge la tabasamu lililomchanganya sana sharobaro Nelly.


“Kaka wewe una nyota ya kupendwa, nahisi huyo mama hana kazi yoyote zaidi ya kukutunuku, kwa ninavyomfahamu huenda anataka kwenda kukufanyia shopping ya nguvu, ngoja tusubiri,” Ipyana alimwambia Nelly.


Saa sita kasoro dakika tano, simu ya Nelly iliita alipoangalia namba ya mpigaji hakujua ilikuwa ya nani, alipopokea alisikia sauti nzuri ya mwanamke aliyejitambulisha aliitwa mama Maduu!
“Kumbe ni wewe mama!” Nelly aliuliza baada ya kupokea simu.


“Usiniite mama Nelly, niite anti au…” mama huyo hakumalizia sentensi yake na kumwambia Nelly amkute kwenye geti la kutokea.


Nelly aliachia tabasamu na kumwambia Ipyana alikuwa akizungumza na mama Maduu aliyemwambia amkute geti la kutokea nje, Ipyana hakuwa na la kusema zaidi ya kucheka na kumtania Nelly kwamba akirudi naye alitaka zawadi kutoka kwa mama.
Nelly alimuaga Ipyana huku akimwambia kama atapewa zawadi wala asijali angempelekea, kijana huyo aliyebadili nguo na kuvaa alizotokanazo nyumbani alikwenda kumsubiri mama Maduu getini.


Hazikupita hata dakika nne aliliona gari la mama huyo likielekea getini kisha kusimama, Nelly aliingia kwenye gari la mama huyo huku baadhi ya madereva waliokuwepo pale getini wakiwasubiri mabosi wao kuanza kumjadili.
“Jamani mmemuona mama Maduu katoka na yule dogo mgeni anayeosha magari?” dereva mmoja ambaye wenzake walipenda kumwita Mwarabu kutokana na weupe wake aliwaambia wenzake.


“Tumemuona bwana, kwa tabia zake za kupenda viserengeti boy huenda anakwenda kujirusha naye,” dereva Mwarabu aliwaambia wenzake waliokubaliana naye.


Mama Maduu akiwa na Nelly kwenye gari bila aibu alimweleza kwamba hakuelewa kwa nini tangu alipomuona jana yake alitokea kumpenda kiasi cha kumfikiria sana.
“Kwa binadamu hilo ni jambo la kawaida, mimi nashukuru mama kwa kunipenda,” Nelly alimwambia.
“Nimekwambia usiniite mama…niite anti,” mama Maduu alimwambia Nelly huku akikanyaga mafuta hivyo gari kwenda kasi.
“Oke anti,” Nelly alimwambia.


Nelly ambaye hakujua walikuwa wakienda wapi alitulia huku akijisemea moyoni kwamba kama mama huyo akirogwa kutaka mambo angemvuruga kisawasawa.


Mama Maduu aliyeonekana kuwa na furaha alipofika kwenye mataa ya Barabara ya Kawawa na Nyerere alikata kushoto kuelekea Keko, akaongeza mwendo kisha alikata kuelekea Maduka Mawili.


“Awali nilitaka twende Vetenary kununua mabati lakini nimekumbuka kuna kazi f’lani nyumbani ngoja ukanisaidie kwanza hiyo ndipo twende Vetenary kama muda utaruhusu,” mama Maduu alimwambia Nelly.


Je, unajua kilichojiri baada ya mama huyo mpenda viserengeti boy kufika na Nelly nyumbani kwake? Usikose uhondo huu wiki ijayo.
hii noumah
 
Muosha magari toka kaondoka na jimama nahisi walipata ajali mbaya wameshazikwa maana kimyaaaaa
 
Nelly Muosha magari wa Posta Opposite na Mahakama kuu hakuwa HANDSOME.
 
SEHEMU YA 35


Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale dada Fatu alipomwomba Nelly aende nyumbani kwake kumsaidia kazi ndipo Ipyana alimwuliza ni kazi gani akamwambia asubiri atakuja kuambiwa na Nelly. Je, ni kazi gani hiyo? Endelea na utamu huuu.


Baada ya Fatu aliyepania kutoka na Nelly siku hiyo ili kumburudisha kufuatia kukaa mufa mrefu bila kuletewa fujo za kikubwa kuondoka, vijana hao walipomaliza kuosha gari lake aina ya RAV 4 wakaenda kunywa chai.



“Nelly nilikwambia jana, Fatu katokea kukupenda naona sasa umeamini na leo hana kazi wala nini anataka kukupa ofa tu, da kijana una balaa wewe!” Ipyana alimwambia Nelly kwa sauti ya chini walipokuwa wakinywa chai.
“We ngoja hiyo jioni ifike, mimi akijipendekeza namlamba bakora zakutosha kwani siyo dada yangu yule,” Nelly alimwambia Ipyana, wakacheka.


Waliporejea eneo la kazi, kwenye saa tano kasorobo alifika mama Maduu aliyejazia nyuma aliyetokea kumtamani Nelly, baada ya salamu alimwuliza Ipyana Nelly alikuwa akiishi wapi akamwambia Tandika.


“Kumbe mnaishi eneo moja, sasa nakuomba kama hutajali saa sita twende mara moja pale Vetenary Tazara ukanisaidie kubeba mabati nitakayoyanunua tuyapeleke nyumbani kisha tunarudi, unasemaje?” mama Maduu alimwambia Nelly.
“Hakuna shida mama yangu, si hatutachelewa sana?” Nelly alimwuliza.


Mama huyo alimwambia wasingechelewa ndipo alifungua pochi na kutoa noti ya shilingi elfu kumi na kuwaambia wagawane na kwamba anakwenda ofisini kwake kumalizia kazi f’lani itakapofika saa sita kamili atamwita Nelly.
“Kwani wewe Nelly hauna simu?” mama huyo alimwuliza.


Nelly alimwambia alikuwa nayo na bila kusubiri aulizwe namba akamwambia namba zake ambapo mama huyo akazisevu, kisha akaachia bonge la tabasamu lililomchanganya sana sharobaro Nelly.


“Kaka wewe una nyota ya kupendwa, nahisi huyo mama hana kazi yoyote zaidi ya kukutunuku, kwa ninavyomfahamu huenda anataka kwenda kukufanyia shopping ya nguvu, ngoja tusubiri,” Ipyana alimwambia Nelly.


Saa sita kasoro dakika tano, simu ya Nelly iliita alipoangalia namba ya mpigaji hakujua ilikuwa ya nani, alipopokea alisikia sauti nzuri ya mwanamke aliyejitambulisha aliitwa mama Maduu!
“Kumbe ni wewe mama!” Nelly aliuliza baada ya kupokea simu.


“Usiniite mama Nelly, niite anti au…” mama huyo hakumalizia sentensi yake na kumwambia Nelly amkute kwenye geti la kutokea.


Nelly aliachia tabasamu na kumwambia Ipyana alikuwa akizungumza na mama Maduu aliyemwambia amkute geti la kutokea nje, Ipyana hakuwa na la kusema zaidi ya kucheka na kumtania Nelly kwamba akirudi naye alitaka zawadi kutoka kwa mama.
Nelly alimuaga Ipyana huku akimwambia kama atapewa zawadi wala asijali angempelekea, kijana huyo aliyebadili nguo na kuvaa alizotokanazo nyumbani alikwenda kumsubiri mama Maduu getini.


Hazikupita hata dakika nne aliliona gari la mama huyo likielekea getini kisha kusimama, Nelly aliingia kwenye gari la mama huyo huku baadhi ya madereva waliokuwepo pale getini wakiwasubiri mabosi wao kuanza kumjadili.
“Jamani mmemuona mama Maduu katoka na yule dogo mgeni anayeosha magari?” dereva mmoja ambaye wenzake walipenda kumwita Mwarabu kutokana na weupe wake aliwaambia wenzake.


“Tumemuona bwana, kwa tabia zake za kupenda viserengeti boy huenda anakwenda kujirusha naye,” dereva Mwarabu aliwaambia wenzake waliokubaliana naye.


Mama Maduu akiwa na Nelly kwenye gari bila aibu alimweleza kwamba hakuelewa kwa nini tangu alipomuona jana yake alitokea kumpenda kiasi cha kumfikiria sana.
“Kwa binadamu hilo ni jambo la kawaida, mimi nashukuru mama kwa kunipenda,” Nelly alimwambia.
“Nimekwambia usiniite mama…niite anti,” mama Maduu alimwambia Nelly huku akikanyaga mafuta hivyo gari kwenda kasi.
“Oke anti,” Nelly alimwambia.


Nelly ambaye hakujua walikuwa wakienda wapi alitulia huku akijisemea moyoni kwamba kama mama huyo akirogwa kutaka mambo angemvuruga kisawasawa.


Mama Maduu aliyeonekana kuwa na furaha alipofika kwenye mataa ya Barabara ya Kawawa na Nyerere alikata kushoto kuelekea Keko, akaongeza mwendo kisha alikata kuelekea Maduka Mawili.


“Awali nilitaka twende Vetenary kununua mabati lakini nimekumbuka kuna kazi f’lani nyumbani ngoja ukanisaidie kwanza hiyo ndipo twende Vetenary kama muda utaruhusu,” mama Maduu alimwambia Nelly.


Je, unajua kilichojiri baada ya mama huyo mpenda viserengeti boy kufika na Nelly nyumbani kwake? Usikose uhondo huu wiki ijayo.
aijaendeleaga jamani hii hadithi naitafuta sana
 
MTUNZI: IRENE MWAMFUPE NDAUKA
SEHEMU YA 01


Jumapili moja baada ya kula chakula cha usiku, baba mzazi wa kijana Nelson ambaye wengi walipenda kukatisha jina lake na kumwita Nelly, Mzee Reli ya Uhuru akiwa ameketi sebuleni na kijana wake huyo aliyehitimu kidato cha nne, alimweleza kwamba kwa wakati ule hakuwa na fedha za kuweza kumuendeleza kielimu hivyo ajichanganye mjini kujitafutia maisha.
Wakati mzee huyo aliyepewa jina la utani la Reli ya Uhuru kufuatia kuwa mmoja wa watu waliojenga reli hiyo, akimweleza hivyo, mkewe alikuwa akimsikiliza ambapo alimuunga mkono mumewe kwani hali yao kiuchumi aliielewa vizuri.
“Nelly, ni kweli kabisa kwa hivi sasa baba yako hana fedha na unaona jinsi familia yetu ilivyo kubwa na wote tunamtegemea yeye, mimi nakubaliana na ushauri wake wa wewe kujichanganya mjini kufanya vibarua ambavyo vitakuwezesha kupata riziki yako na yetu,” mama huyo alimwambia kijana wake.
Nelly kijana ambaye tangu udogo wake ni handsome boy kiasi cha kuwavutia wasichana wengi wakiwemo watu wazima, aliposikia kauli hiyo ya wazazi wake aliinamisha kichwa na kuanza kufikiria hatima ya maisha yake ingekuwaje.
“Hivi baba, huwezi kuuza lile shamba la Kimanzichana ili fedha zitakazopatikana niweze kuendelea na masomo nitimize ndoto zangu za kuwa mhasibu?” Nelly alimwuliza baba yake.
Baba yake alimfahamisha kwamba baada ya mambo yake kuanza kumwendea kombo, aliuza nusu ya shamba hilo na nusu iliyobaki asingeweza kuiuza kwani alipanga ije iwasaidie wadogo zake ambao walikuwa wadogo.
Kwa kuwa Nelly alikuwa akielewa ukubwa wa familia yao na jinsi mzazi wake alivyokuwa akihangaika kuitunza, akawa hana jinsi zaidi ya kuingia mitaani kusaka kibarua chochote ambacho kingemuwezesha kupata fedha.
“Oke baba na mama, kwa kuwa naielewa hali halisi ya maisha yetu hapa nyumbani, nitazungumza na fundi Yassin ili niongozane naye kwenye shughuli zake za ujenzi,” Nelly aliwaambia wazazi wake.
Alipotoa kauli hiyo, baba yake licha ya kujiuliza moyoni kama kweli Nelly aliyemlea kimayai angeweza kufanya kazi ya uwashi lakini hakutaka kumuonesha wasiwasi wake, akamwambia sawa.
Baada ya mazungumzo hayo, Nelly aliwaaga wazazi wake na kwenda kwenye chumba alichokuwa akilala na wadogo zake wawili kilichokuwa uani, akawa anatafakari ugumu wa maisha uliokuwa ukiwakabili.
Chumbani kwa wazazi wake, baba na mama yake walimjadili sana kijana wao kama angeweza kufanya kazi ya ujenzi lakini baadaye walikubaliana wasubiri kuona matokeo.
Alfajiri na mapema Nelly alikwenda kumgongea fundi Yassin ambaye alikuwa fundi washi aliyekuwa akisifika sana kwa umahiri wake wa kujenga nyumba maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar.
“Niambie Nelly, naona leo umenivamia alfajiri yote hii, umekwama nini?” fundi Yassin aliyekuwa akimpa fedha Nelly siku moja moja alipokwama alimwuliza.
“Ukiacha kukwama, leo nataka tuongozane huko site unakokwenda kujenga japo nikakusaidie kazi yoyote maana mtoto wa kiume kumtegemea baba kila kitu haipendezi,” Nelly alimwambia fundi Yassin.
“Yaani Nelly na huo usharobaro wako unataka kwenda kufanya kazi ya kukoroga zege au kuranda mbao, utaweza kweli?” fundi Yassin alimwuliza.

Nelly
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom