Yenye uwezo wa kubeba tani ngapiKama una connections na wamiliki wenye meli mbovu (write off) nahitaji kununua ziwe kubwa ama ndogo
NB: zile na document kamili
Zipo kibao feri ila wataalam wanakujaKama una connections na wamiliki wenye meli mbovu (write off) nahitaji kununua ziwe kubwa ama ndogo
NB: zile na document kamili
Yeah. You can scrap it to get scrap metal.Bongo kwa madili aijawai kufeli,meli mbovu ni dili!?
Leeches unawajua? Ulishawahi kujua kama ni dili kubwa?Bongo kwa madili aijawai kufeli,meli mbovu ni dili!?
Tangu niachane na ushirikina nimeamua kujikita kwenye biashara zisizojulikana na wengi ana zisizo za kawaida lakini halali na zenye malipo mazuri.. Na baadhi ya wana JF kwasasa wanafaidika nazo mfanoBongo kwa madili aijawai kufeli,meli mbovu ni dili!?
Hawa wadudu wanatumika kufanyia nini?Leeches unawajua? Ulishawahi kujua kama ni dili kubwa?
Uwekezaji wake ni bwawa lenye tope na maji chakula chake damu ya wanyama...miezi mitatu unavuna.. Kilo unauza kwa dola.. Ishi mjini ufahamu mengiView attachment 1941968View attachment 1941969
Yani acha tu Mzee baba, kuna watu nimeshakutana nao wanatafuta Wale wadudu wanaowaka waka Usiku, wakaniambia hata kama nikipata tani 30 wao wananunua, niwaangalia kwa uchungu na sikuwamaliza, nadhani watakua wameshatajirikaBongo kwa madili aijawai kufeli,meli mbovu ni dili!?
Leeches are effective at increasing blood circulation and breaking up blood clots. It should be no surprise that they can be used to treat circulatory disorders and cardiovascular disease. Chemicals derived from leech saliva have been made into pharmaceutical drugs that can treat: hypertension.Hawa wadudu wanatumika kufanyia nini?
Nyuzi za operation na vibamia ni dili sana China.. Niliwahi kufanya maramoja .. Kilo moja iliyokaushwa si chini ya $30Ila aisee kuna watu wana madili hata huwezi fikiria, kuna jamaa namfahamu anaenda machinjioni ananunua mboo za ng'ombe, anaziuza huko ughaibuni kwa pesa ndefu sana.
Nasikia wanatengenezea nyuzi,sasa sijafanya utafiti nahisi ni mbadala wa mabondo.
Ngoja nizungumze na mwamba nitakupa jawabu kaka.Tafadhali niambie zipo ngapi pesa sio tatizo