Recent content by Mkurdi

  1. M

    Uhakika: Walimu Morogoro wajaziwa fomu za uanachama wa CWT bila wao kujua

    Moderators tafadhali msitoe habari hii ni muhimu sana: Habari za uhakika kabisa ambazo ninazo kutoka kwa chanzo cha kuaminika ni kuwa cwt morogoro manispaa wamakubaliana na mwajiri wa walimu, mkurugenzi wa manispaa na kuwajazia fomu za kuomba mishahara yao ikatwe ada ya uanachama ili hali wao...
  2. M

    Nataka kuoa mrembo wa KIMERU

    Ni sawa kuoa MMERU, mm ni mmeru na angallia jina langu hapo halafu uwakumbuke wakurdi wa kule Iraq ambao ndio walisababisha Sadam Kunyongwa. Ishu ni kuwa kwanza wanawake wa kimeru ni Wakali, kwa hilo jiandae, pili hawataki longolongo katika maisha ni kama wachaga tu uhakikishe unatulia na...
  3. M

    Kutoa shilingi na Kushikiria mshahara wa Waziri

    Hii ni civics ya form ii, au hujabahatika kufundishwa, tumwombe zitto, lissu mnyika aje hapa atupe somo. Ni concept yenye nguvu sana kwenye legislature
  4. M

    Elimu kushuka: Chanzo siasa kuingilia utaalamu

    Ndg wana JF, tukiwa bado tunaangalia sakata la matokeo mabovu ya CSEE 2012, ambapo MaCCM yameendelea kuonyesha utendaji mbovu kwa kufuta matokeo hayo( nasema mbovu kb mpaka matokeo yanatangazwa kikao kilikaa Mwenyekiti akiwa Kawambwa, makamu akiwa Mulugo-kilaza, katibu akiwa Katibu Mkuu...
  5. M

    Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA

    Hiyo imekaa vizuri sana na ukiona kijana yeyote anashabikia MACCM ama akili zake hazina akili au anafaidi ufisadi kwa namna moja au nyingine. Wengine hatuna uwezo wa nje wa kisiasa lakini uwezo wa ndani wa mipango, support ya hela na mawazo tutayatoa na yatasaida sana kuleta mageuzi tutakayo
  6. M

    Natangaza nia: Nitagombea ubunge 2015- morogoro mjini kupitia chadema

    Ndugu wana CDM na wapenda Maendeleo wote wa Morogoro, ninakusudia kugombea Ubunge jimbo la Morogoro Mjini mnamo 2015. Tunahitaji mabadiliko Morogoro na haya yanahitaji ushupavu na weledi unaogusa maeneo yote ya kijamii. Kwa Taaluma yangu nina chembechembe zote za Uchumi, Siasa, Elimu, Afya...
  7. M

    Nguo na Mitindo ya Zamani ambayo kwa sasa ukivaa ni kituko

    Anzia mika y sabini mwishoni mimi nilikuta Crimplin hiyo wanavaa wenye hela,Jeans hazikuwepo kb zilizokuwepo japo zilifanana ziliitwa Lee na hizi lazima uwe umeletewa toka ulaya ila common ilikuwa suruali bwanga halaf haina selebration na shati tait lazima liwe na mistari ndio kaka modo za siku...
  8. M

    Msaada-ni kwa vipi mtu ana ji-unscribe na serv/ miito ya nyimbo alizojiunga ktk simu

    Ndugu wadau, sijui mimi tu nimezidiwa na ukali wa maisha nikaacha kufatilia haya au ndivyo ilivyo. Nakukmbuka nilijiunga na huduma ya miito ya nyimbo katika mtandao wa TIGOzamani nikijua kuwa wimbo huo nitausikia mimi wakati napigiwa. Kinyume chake kumbe ni yule anayekupigia ndie anaburudika at...
  9. M

    Tukumbuke majina ya utani kwa walimu shule tulikotoka

    da umenikumbusha GM NI MAREHEMU SASA, Kijo yupo, Pusi yupo Moro, Saito kastaafu, Makaranga pia, Master alienda Sua, huyo mwnye miguu kama anaendesha baskeli ni Njiku sio? Bob je? Nkwera je mzee wa viboko visivyo na idadi hadi ukimbie? daah long tym
  10. M

    Tukumbuke majina ya utani kwa walimu shule tulikotoka

    Waliosema Pussi mzee wa Moustachi yupo Morogoro, sijui Kina Bob mzee wa form 6 lakini anafundisha hesabu /BAM form six, bila kusahau mr Njae a.k.a Ikemefuna akiwa anachambua The River Between hawa wote ni wa Makumira enzi hizo.
  11. M

    Tukumbuke majina ya utani kwa walimu shule tulikotoka

    Pale Makumira ALIKUWEPO Saito baada ya kufundisha saitoplasm Kijogoo a.ka Kidamo alikuwa discpline anachomekea suruali kwenye soksi Makaranga alikuwa headmaster Pale Siha Sec Kimondo alikuwa headmaster anakuja mabwenini kujua wanafunzi wanmsemaje Babu mzee Ngunda wa GS mwanaume mzee...
  12. M

    Yajue Majina ya Ukoo Katika Makabila mbalimbali Tanzania

    Wameru .Kaaya .Mbise .Pallangyo .Ndosi .Mafie .Sumari .Isangya .Sarakikya .Nanyaro .Mangusha .Mboro .Nkuku .Kitoi .Kiborony .Ayo .Kiwandai .Soori
  13. M

    Msaada; Ni hatua gani mtu anatakiwa kufuata ili amiliki silaha kihalali

    Mimi ni raia wa Tanzania kwa Kuzaliwa, nimekuwa na safari ndefu ya kutafuta maisha, bado sijafanikiwa sana lakini kidogo hivyohivyo. Nimefungua shamba la mifugo ambalo kidogo lipo porini. Kidogo naona usalama si mzuri kwani siku hizi mnaweza kutekwa na kufanywa chochote. Ndio nawaza walau niwe...
  14. M

    Mkurdi: Nini kigezo cha Vyeo Taasisi za Elimu ya Juu?

    Ndg wana JF, NIMEKUWA NIKIFUATILIA SANA PROSPECTUS ZA VYUO MBALIMBALI NA KUBAINI KUWA WALIOPEWA VYEO KAMA WAKUU WA IDARA WANA ELIMU NDOGO KULIKO WANAOWAONGOZA. MATHALANI UTAKUTA ASSITANT LECTURE YAANI MWENYE MASTERS NDIE MKUU WA IDARA YENYE MA-DR, MA-ASSOCIATE PROF, NA MAPROF FULL. JE ELIMU SI...
  15. M

    Ni,karibisheni tushee Issues na Kushauriana, kushauri, Jamii, Serikali n.k

    Mimi ni Mtaalam katika Masuala ya Elimu,(Mkufunzi wa Vyuo vya Ualimu) Sayansi ya Viumbe(Biolojia) na Utawala- Bsc Ed,TEP na Masters ya Administration, Planning na Policy Studies. Naomba mnikaribishe na kushare nanyi mambo yanayojenga jamii. Nitakuwa tayari kujibu au kuchangia hoja...
Back
Top Bottom