Recent content by mkorea

  1. mkorea

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Once upon a time, pale arsenal tulikua na kiumbe anaitwa Nicolus Pepe, ndio. Mchezaji machachari machachari lakini impact ni D iliyokaribu na F Kwasasa pale city unamkuta Semenyo Kwa kenge unamkuta Neto, na mashabiki wao wanamshangilia utahisi ndio neymar wao
  2. mkorea

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mechi incident panel wanakuambia ile game na aston villa tulinyimwa penalty Kenge wanakuambia kuna dhuruma nyingi wamefanyiwa na arsenal kupelekea wao kupoteza ile game Hauwezi kuona arsenal analalamikia ile game na aston villa. Na matukio kama hayo ya kiwack tumeshafanyiwa sana.
  3. mkorea

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    https://x.com/SkySportsNews/status/2097626598685986885/video/1?s=46
  4. mkorea

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kwaio Hatima ya man u inaweka mikononi mwa baleba? Toa majina ya wachezaji 7 ambao unaamini hawa wasipopata majerui watawavusha kipindi hiki kigumu. Na sio kumbebesha mtoto wa watu (22 years) mzigo mzito
  5. mkorea

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Sasa naanza kuamini tatizo la nyumbu mizizi yake imeanzia mbali 😀😀
  6. mkorea

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Arsenal alifanya mazoezi how to win a game while chelsea walifanya mazoezi ya rugby 🏉 jinsi ya kutuzuia. Hasa magoli ya kona Hadi hapo nilishaona hii game kenge ameshakufa. Ndio maana nilitaka mfe kuanzia chuma 3 Sasa kenge inabidi wafanye mazoezi mengine ya kushinda games zao waachane na...
  7. mkorea

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Matatizo ya nyumbu nayaweka katika sehemu kuu tatu 1. Nyumba mpo wazi sana, hii inafanya muda wote kipa anakua kwenye pressure kubwa. Beki watatu wabovu hata huyo mmoja martinez nae ataoneka mbovu pia 2. Kiungo kinakatika sana, hasa kwenye switch positions, unaweza ukawakuta wote wapo upande...
  8. mkorea

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Acha atembeze spana tu
  9. mkorea

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Nitajie game ambayo Caicedo alikuwepo na akaonekana mbele rice
  10. mkorea

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Nyumbu jinsi mnavyocheza, ni dhahiri mlikua mnamuhitaji skelly. Hakuna kiungo wa nyumbu ambae anaweza kumueka bench huyo dogo. Na laiti mngempata basi angewa boost sana
  11. mkorea

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kenge wanakuanbia front three, wakimaanisha palmer, pedro na Rogers. Kimsingi hao wote ni average player Kenge tafuteni kipa
  12. mkorea

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    James mtu, waliobak 99% ni average players Sijui kwanini Kenge hii kauli wananipinga
  13. mkorea

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kupunguza idadi ya magoli. Laiti leo angekua Sanchez basi mkono ulikua unawahusu
  14. mkorea

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Nilijua tu, Huu uzi lazima watu waukimbie
  15. mkorea

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Zubimendi
Back
Top Bottom