Once upon a time, pale arsenal tulikua na kiumbe anaitwa Nicolus Pepe, ndio. Mchezaji machachari machachari lakini impact ni D iliyokaribu na F
Kwasasa pale city unamkuta Semenyo
Kwa kenge unamkuta Neto, na mashabiki wao wanamshangilia utahisi ndio neymar wao
Mechi incident panel wanakuambia ile game na aston villa tulinyimwa penalty
Kenge wanakuambia kuna dhuruma nyingi wamefanyiwa na arsenal kupelekea wao kupoteza ile game
Hauwezi kuona arsenal analalamikia ile game na aston villa. Na matukio kama hayo ya kiwack tumeshafanyiwa sana.
Kwaio Hatima ya man u inaweka mikononi mwa baleba?
Toa majina ya wachezaji 7 ambao unaamini hawa wasipopata majerui watawavusha kipindi hiki kigumu. Na sio kumbebesha mtoto wa watu (22 years) mzigo mzito
Arsenal alifanya mazoezi how to win a game while chelsea walifanya mazoezi ya rugby 🏉 jinsi ya kutuzuia. Hasa magoli ya kona
Hadi hapo nilishaona hii game kenge ameshakufa. Ndio maana nilitaka mfe kuanzia chuma 3
Sasa kenge inabidi wafanye mazoezi mengine ya kushinda games zao waachane na...
Matatizo ya nyumbu nayaweka katika sehemu kuu tatu
1. Nyumba mpo wazi sana, hii inafanya muda wote kipa anakua kwenye pressure kubwa.
Beki watatu wabovu hata huyo mmoja martinez nae ataoneka mbovu pia
2. Kiungo kinakatika sana, hasa kwenye switch positions, unaweza ukawakuta wote wapo upande...
Nyumbu jinsi mnavyocheza, ni dhahiri mlikua mnamuhitaji skelly.
Hakuna kiungo wa nyumbu ambae anaweza kumueka bench huyo dogo. Na laiti mngempata basi angewa boost sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.